MASHINDANO YA NGUMI YA KUMI BORA YAENDELEA KUSHIKA KASI
Bondia Saleh Said wa Magereza 'kulia' akioneshana umwamba na Sudi Mohamed wa Mavituzi wakati wa mpambano wa kumi bora yanayoendelea kila jumamosi katika ukumbi wa Manyara Park Manzese Dar es salaam Said alishinda mpambano huo
Bondia Iddi Juma wa Midizini akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Jumanne Mashombo wa Ndame wakati wa mpambano wa kumi bora uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Manyara Park Mahombo alishinda kwa point
Bondia Julius Kisalawe kushoto...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi07 Sep
MASHINDANO ya ngumi kupata mabondia 10 bora mkoa wa Dar es salaam yashika kasi
Bondia Hamad Mbonde wa Magereza kushoto akipiga ngumi bila matumaini yoyoyo na mwenzake Said Kassimu wa Amana akimpiga konde la kulia wakati wa mashindano ya kumi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yTLQqGT10hU/UyiNCLAeQQI/AAAAAAAFUu0/59rK7aURiJI/s72-c/4.jpg)
KAMPENI ZA CCM CHALINZE ZAZIDI KUSHIKA KASI
![](http://1.bp.blogspot.com/-yTLQqGT10hU/UyiNCLAeQQI/AAAAAAAFUu0/59rK7aURiJI/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-V-ods2TvirU/UyiI_gABXqI/AAAAAAAFUp8/7Mss7NNDWBU/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OIMWS6MeWv8/UyiNaimFG_I/AAAAAAAFUvw/TSy0MyYsF3g/s1600/7.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nXXWIwLD2RU/UxQlvxK-NtI/AAAAAAAFQtU/VGg1RuZR7mc/s72-c/1.+Mgombea,+Msabatavangu+na+Mwigulu+wakiserebuka+na+wananchi+baada+ya+kuwasili+katika++Kijiji+ya+Kibebe+Kata+ya+Ulanda.jpg)
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA KALENGA ZAZIDI KUSHIKA KASI
![](http://2.bp.blogspot.com/-nXXWIwLD2RU/UxQlvxK-NtI/AAAAAAAFQtU/VGg1RuZR7mc/s1600/1.+Mgombea,+Msabatavangu+na+Mwigulu+wakiserebuka+na+wananchi+baada+ya+kuwasili+katika++Kijiji+ya+Kibebe+Kata+ya+Ulanda.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ty5SabFmcWo/UxQlwct2ogI/AAAAAAAFQtY/dgvxvt_lrcc/s1600/2.+Mgombea,+Msabatavangu+na+Mwigulu+wakihanikiza+baada+ya+kuwasili+katika++Kijiji+ya+Kibebe+Kata+ya+Ulanda.jpg)
10 years ago
Habarileo07 Mar
Bomoabomoa kwa waliojenga holela Dar kushika kasi
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imebomoa nyumba 11 zilizojengwa kiholela bila kufuata utaratibu na sheria za ardhi katika maeneo ya Mbezi Beach, Boko, Tegeta na Ununio.
10 years ago
Michuzi16 Feb
Zoezi la uandikishaji vijana kuingia NSSF Real Madrid Sports Academy lazidi kushika kasi
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kushirikiana na klabu maarufu duniani ya mpira wa miguu ya Real Madrid ya Hispania, leo imeendelea na zoezi lake la usajili wa vijana walio na umri wa chini ya miaka 14 watakaofanyiwa majaribio kwa ajili ya kujiunga na kituo cha michezo cha NSSF-REAL MADRID SPORTS ACADEMY katika uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam, huku idadi ya vijana wanaojisajili ikiongezeka.
Mchakato huo wa usajili ulianza Oktoba 14 lakini leo idadi...
10 years ago
Michuzi04 Dec
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-feEhwFEag-s/UxH85khES4I/AAAAAAACbYw/T1a-IoTL9To/s72-c/3.jpg)
KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA ZAZIDI KUSHIKA KASI,CCM YATAMBA KUNYAKUA JIMBO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-feEhwFEag-s/UxH85khES4I/AAAAAAACbYw/T1a-IoTL9To/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6GXqgDp6kj4/UxH8vP0yjaI/AAAAAAACbXc/ZMAW2mThT1w/s1600/13.jpg)