Bomoabomoa kwa waliojenga holela Dar kushika kasi
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imebomoa nyumba 11 zilizojengwa kiholela bila kufuata utaratibu na sheria za ardhi katika maeneo ya Mbezi Beach, Boko, Tegeta na Ununio.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Nov
Bomoabomoa Dar yashika kasi
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakishirikiana na Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, jana iliendesha bomoabomoa ya nyumba zilizojengwa bila kufuata taratibu za ujenzi katika Manispaa hiyo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yTLQqGT10hU/UyiNCLAeQQI/AAAAAAAFUu0/59rK7aURiJI/s72-c/4.jpg)
KAMPENI ZA CCM CHALINZE ZAZIDI KUSHIKA KASI
![](http://1.bp.blogspot.com/-yTLQqGT10hU/UyiNCLAeQQI/AAAAAAAFUu0/59rK7aURiJI/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-V-ods2TvirU/UyiI_gABXqI/AAAAAAAFUp8/7Mss7NNDWBU/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OIMWS6MeWv8/UyiNaimFG_I/AAAAAAAFUvw/TSy0MyYsF3g/s1600/7.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nXXWIwLD2RU/UxQlvxK-NtI/AAAAAAAFQtU/VGg1RuZR7mc/s72-c/1.+Mgombea,+Msabatavangu+na+Mwigulu+wakiserebuka+na+wananchi+baada+ya+kuwasili+katika++Kijiji+ya+Kibebe+Kata+ya+Ulanda.jpg)
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA KALENGA ZAZIDI KUSHIKA KASI
![](http://2.bp.blogspot.com/-nXXWIwLD2RU/UxQlvxK-NtI/AAAAAAAFQtU/VGg1RuZR7mc/s1600/1.+Mgombea,+Msabatavangu+na+Mwigulu+wakiserebuka+na+wananchi+baada+ya+kuwasili+katika++Kijiji+ya+Kibebe+Kata+ya+Ulanda.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ty5SabFmcWo/UxQlwct2ogI/AAAAAAAFQtY/dgvxvt_lrcc/s1600/2.+Mgombea,+Msabatavangu+na+Mwigulu+wakihanikiza+baada+ya+kuwasili+katika++Kijiji+ya+Kibebe+Kata+ya+Ulanda.jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Sep
MASHINDANO YA NGUMI YA KUMI BORA YAENDELEA KUSHIKA KASI
10 years ago
Michuzi16 Feb
Zoezi la uandikishaji vijana kuingia NSSF Real Madrid Sports Academy lazidi kushika kasi
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kushirikiana na klabu maarufu duniani ya mpira wa miguu ya Real Madrid ya Hispania, leo imeendelea na zoezi lake la usajili wa vijana walio na umri wa chini ya miaka 14 watakaofanyiwa majaribio kwa ajili ya kujiunga na kituo cha michezo cha NSSF-REAL MADRID SPORTS ACADEMY katika uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam, huku idadi ya vijana wanaojisajili ikiongezeka.
Mchakato huo wa usajili ulianza Oktoba 14 lakini leo idadi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-feEhwFEag-s/UxH85khES4I/AAAAAAACbYw/T1a-IoTL9To/s72-c/3.jpg)
KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA ZAZIDI KUSHIKA KASI,CCM YATAMBA KUNYAKUA JIMBO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-feEhwFEag-s/UxH85khES4I/AAAAAAACbYw/T1a-IoTL9To/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6GXqgDp6kj4/UxH8vP0yjaI/AAAAAAACbXc/ZMAW2mThT1w/s1600/13.jpg)
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Maamuzi mawili kwa leo kutoka Mahakama Kuu Dar kuhusu ishu ya bomoabomoa.. (+Pichaz)
Maamuzi haya yalikuwa yakisubiriwa na wengi Dar es Salaam, na kwa sababu Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam iliahidi kwamba maamuzi yanatoka leo, macho na masikio ya wengi yalielekea huko kwa siku nzima. Zoezi la bomoabomoa lilianza mwishoni mwa 2015, likasimamishwa kwa muda alafu taarifa ikatoka kwamba zoezi litaendelea leo Januari 5 2015, lakini […]
The post Maamuzi mawili kwa leo kutoka Mahakama Kuu Dar kuhusu ishu ya bomoabomoa.. (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Dar es Salaam: Linalotisha Afrika kwa kasi kiuchumi