Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bomoabomoa Dar yashika kasi

WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakishirikiana na Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, jana iliendesha bomoabomoa ya nyumba zilizojengwa bila kufuata taratibu za ujenzi katika Manispaa hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bomoabomoa kwa waliojenga holela Dar kushika kasi

Wiliam LukuviWIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imebomoa nyumba 11 zilizojengwa kiholela bila kufuata utaratibu na sheria za ardhi katika maeneo ya Mbezi Beach, Boko, Tegeta na Ununio.

 

11 years ago

Michuzi

MASHINDANO ya ngumi kupata mabondia 10 bora mkoa wa Dar es salaam yashika kasi

Mabondia Said Kasimu wa Amana kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Hamad Mbonde wa Magereza wakati wa mashindano ya kutafuta kumi bora ya kila uzito kwa mabondia jijini Dar es salaa yanayoandaliwa na chama cha ngumi za Ridhaa mkoa wa Dar, DABA Kassimu alishinda kwa point Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Hamad Mbonde wa Magereza kushoto akipiga ngumi bila matumaini yoyoyo na mwenzake Said Kassimu  wa Amana akimpiga konde la kulia wakati wa mashindano ya kumi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano yashika kasi Syria

Mapigano yashika kasi nchini Syria wakati ambapo mazungumzo ya Geneva yanaendelea

 

11 years ago

BBCSwahili

Maandamano yashika kasi nchini Venezuela

Maelfu ya wapinzani wafanya maandamano mjini Caracas kuipinga Serikali.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Vita dhidi ya ujangili yashika kasi


NA WILLIAM SHECHAMBO
JITIHADA za serikali katika mapambano dhidi ya vitendo vya ujangili nchini, zimechukua sura mpya baada ya kukabidhiwa helkopta na Taasisi ya Howard Buffet Foundation ya Marekani, kwa ajili ya shughuli hiyo.
Helikopta hiyo ni moja kati ya ahadi alizowahi kuzitoa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwa serikali, kama jitihada zinazofanywa na wizara yake kwa kushirikiana na wadau katika kuhifadhi wanyamapori na maliasili.
Makabidhiano ya helikopta hiyo yalifanyika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Michauno ya vijana Kriket yashika kasi

Michuano ya kriket kwa vijana chini ya umri wa miaka 19 kuendela kutimua vumbi Jijin Dar es Salaa, Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya Suma JKT yashika kasi

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imesema Februari 5, mwaka huu itatoa uamuzi wa kuwaona Kanali wa Jeshi la Kujenga Taifa, Ayoub Mwakang’ata na wenzake wanaokabiliwa na makosa...

 

10 years ago

Vijimambo

Vita ya urais yashika kasi mtandaoni

Dar es Salaam. Wakati safari ya kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu ikipamba moto, kumeibuka makundi ya watu yaliyofungia akaunti katika mitandao ya kijamii yakiwaunga mkono baadhi ya wanasiasa waliotangaza au wanaotajwa kuwa na nia ya kugombea urais ya kuwashambulia washindani wao.Kila kundi limejipatia wafuasi wengi ambao wanaonyesha kumkubali mwanasiasa husika wanayedhani anafaa kuwa rais wa Tanzania endapo atapitishwa na chama chake na kupigiwa kura na wananchi.Hata hivyo,...

 

11 years ago

Habarileo

Mauaji ya watuhumiwa yashika kasi Mbeya

UTAMADUNI mbovu wa kujichukulia sheria mikononi umezidi kushika kasi mkoani Mbeya baada ya watu wawili kuuawa juzi katika matukio mawili tofauti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani