Vita dhidi ya ujangili yashika kasi
NA WILLIAM SHECHAMBO
JITIHADA za serikali katika mapambano dhidi ya vitendo vya ujangili nchini, zimechukua sura mpya baada ya kukabidhiwa helkopta na Taasisi ya Howard Buffet Foundation ya Marekani, kwa ajili ya shughuli hiyo.
Helikopta hiyo ni moja kati ya ahadi alizowahi kuzitoa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwa serikali, kama jitihada zinazofanywa na wizara yake kwa kushirikiana na wadau katika kuhifadhi wanyamapori na maliasili.
Makabidhiano ya helikopta hiyo yalifanyika...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Jan
Vita ya urais yashika kasi mtandaoni
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2575904/highRes/912662/-/maxw/600/-/1352oxxz/-/ikulu.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h7cS_RZlV6I/Uzb8EwGDzfI/AAAAAAACdnk/wnj27CxSYPI/s72-c/New+Picture.png)
KAMPENI YA KUELIMISHA JAMII DHIDI YA MAKOSA MTANDAO YASHIKA KASI
![](http://1.bp.blogspot.com/-h7cS_RZlV6I/Uzb8EwGDzfI/AAAAAAACdnk/wnj27CxSYPI/s1600/New+Picture.png)
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Kikwete:Vita dhidi ya ujangili
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Teknolojia mpya kusaidia vita dhidi ya ujangili
10 years ago
GPLMAREKANI, CHINA KUSAIDIA VITA DHIDI YA UJANGILI
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Bilionea Mmarekani akoleza vita dhidi ya ujangili
11 years ago
Mwananchi26 Mar
MAONI: Hakimu huyu anakwamisha vita dhidi ya ujangili
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Mwandishi Uingereza aja kuona vita dhidi ya ujangili
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU ATAKA VITA DHIDI YA UJANGILI IWE YA PAMOJA
Akizungumza na waandishi wa habari jana jioni (Jumamosi, Novemba 8, 2014) mara baada ya kufunga mkutano wa kikanda wa siku mbili uliojadili mbinu za kupambana na biashara haramu ya wanyamapori ulioandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Arusha,...