Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI MKUU ATAKA VITA DHIDI YA UJANGILI IWE YA PAMOJA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema inahitajika dhamira ya kweli kutoka kwa wadau wote katika kutekeleza Azimio la Arusha la kukabiliana na ujangili na kuendeleza hifadhi za wanyama katika nchi za Afrika Mashariki na zilizo Kusini mwa Ikweta.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jioni (Jumamosi, Novemba 8, 2014) mara baada ya kufunga mkutano wa kikanda wa siku mbili uliojadili mbinu za kupambana na biashara haramu ya wanyamapori ulioandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Arusha,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Ujangili ni vita ya pamoja’

Jumuiya ya kimataifa imepitisha Azimio la Arusha lenye lengo la kukabiliana na ujangili na kuendeleza wanyama.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kikwete:Vita dhidi ya ujangili

Rais Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano wa kimataifa kuhusu wanyamaporti mjini London

 

11 years ago

Habarileo

Nyalandu ataka motisha vita ya ujangili

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amelitaka Baraza kuu la Wafanyakazi la Wizara, kuandaa utaratibu wa kutoa motisha kwa kila mfanyakazi kwa ajili ya kufanikisha utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Mkubwa Sasa (BRN), katika kupambana na vita dhidi ya ujangili na kuongeza mapato yatokanayo na utalii.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Vita dhidi ya ujangili yashika kasi


NA WILLIAM SHECHAMBO
JITIHADA za serikali katika mapambano dhidi ya vitendo vya ujangili nchini, zimechukua sura mpya baada ya kukabidhiwa helkopta na Taasisi ya Howard Buffet Foundation ya Marekani, kwa ajili ya shughuli hiyo.
Helikopta hiyo ni moja kati ya ahadi alizowahi kuzitoa Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu kwa serikali, kama jitihada zinazofanywa na wizara yake kwa kushirikiana na wadau katika kuhifadhi wanyamapori na maliasili.
Makabidhiano ya helikopta hiyo yalifanyika...

 

11 years ago

Mwananchi

Bilionea Mmarekani akoleza vita dhidi ya ujangili

Familia ya bilionea namba mbili nchini Marekani, Warren Buffett imeunga mkono juhudi za kupambana na ujangili nchini kwa kuchangia helikopta moja.

 

10 years ago

Mwananchi

Teknolojia mpya kusaidia vita dhidi ya ujangili

Rais Jakaya Kikwete amewahimiza wananchi waishio ughaibuni kuleta teknolojia mpya nchini kwa kushirikisha kampuni kubwa kwa lengo la kuinua uchumi na kuongeza ajira.

 

10 years ago

GPL

MAREKANI, CHINA KUSAIDIA VITA DHIDI YA UJANGILI

Mkurugenzi wa African Wildlife Foundation, Dr. Patrick Bergin, akizungumza katika mkutano huo. Mkurugenzi Mtendaji wa Wildaid akizungumza. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu,…

 

11 years ago

Mwananchi

Mwandishi Uingereza aja kuona vita dhidi ya ujangili

Serikali imeanza juhudi za kujinasua kwenye lawama kwamba haifanyi juhudi za kutosha kupambana na ujangili kwa kuwaalika waandishi wa habari wa kimataifa ili kujionea kazi inayofanyika.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Hakimu huyu anakwamisha vita dhidi ya ujangili

>Jana na leo tumechapisha habari zinazothibitisha kwamba vita dhidi ya vitendo vya ujangili hapa nchini havitafanikiwa iwapo vita hiyo haitachukuliwa kama suala mtambuka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani