20 bora ya BSS yaingia kambini
NA MWANDISHI WETU
WASHIRIKI 20 waliochaguliwa kutoka mikoa minne ya shindano la Bongo Star Search (BSS), wameingia kambini kwa ajili ya shindano hilo.
Shindano hilo linaendeshwa na Benchmark Production chini ya udhamini wa Salama Condom na Kampuni ya Coca Cola, linawakutanisha wasanii kutoka mkoa wa Arusha, Mwanza, Mbeya na Dar es Salaam.
Jaji Mkuu wa shindano hilo, Ritha Paulsen, alisema wasanii hao watafundishwa kuimba, kutafuta pumzi, kutumia vyombo vya muziki, kujua namna ya kujiweka na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Taifa Stars yaingia kambini
10 years ago
Vijimambo13 Oct
YANGA YAINGIA KAMBINI KUNDUCHI
![](http://www.youngafricans.co.tz/images/stories/yanga-team.jpg)
Kuelekea kwenye mpambano wa watani wa jadi YANGA Vs SIMBA siku ya jumamosi Oktoba 18, kikosi cha timu ya Young Africans kimeingia kambini leo mchana katika hoteli ya Landmark iliyopo eneo la Kunduchi kujiandaa na mchezo huo ambao umeteka hisia za wapenzi wa soka nchini Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.Kocha mkuu Marcio Maximo ameingia kambini na kikosi cha wachezaji 28 kujiandaa na mchezo huo ambapo kikosi chake kitakua kikifanya mazoezi...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Mbeya City yaingia kambini
10 years ago
GPL![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/ma.png?width=645)
TAIFA STARS MABORESHO YAINGIA KAMBINI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FJ8ymDuXbeQ/U7wM_LZ0fTI/AAAAAAAFyes/Jc-JAn0CrzY/s72-c/f8314b9fbf_Taifa-Stars.jpg)
TAIFA STARS YAINGIA KAMBINI HUKO TUKUYU,JIJINI MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FJ8ymDuXbeQ/U7wM_LZ0fTI/AAAAAAAFyes/Jc-JAn0CrzY/s1600/f8314b9fbf_Taifa-Stars.jpg)
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo (Julai 8 mwaka huu) kuhusu maandalizi ya timu hiyo, Nooij amesema timu yake inafanya mazoezi kwenye maeneo ya baridi kwa sababu za kitaalamu, hivyo kambi ya Tukuyu kama ilivyokuwa ya Botswana itawasaidia kwa mechi dhidi ya Msumbiji.
Taifa Stars...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-46knnDJ2l74/VlhFdjlkYII/AAAAAAAIIm0/0AHJIz7OUkI/s72-c/u15camp.png)
U15 YAINGIA KAMBINI KUJIANDAA NA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-46knnDJ2l74/VlhFdjlkYII/AAAAAAAIIm0/0AHJIz7OUkI/s640/u15camp.png)
Kocha wa timu hiyo Sebastian Mkomwa amesema vijana wote wameshawasili jijini Dar es salaam na leo wameanza mazoezi asubuhi katika uwanja wa Karume watakapokua wanajifua kila asubuhi na jioni mpaka siku ya safari.
Kikosi cha wachezaji 24 kimeingia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JXijcC_9_uk/VIW1xZFa-uI/AAAAAAAG2DM/bA5_jIxqy6k/s72-c/Omar%2BMboob.jpg)
SIMBA SC YAINGIA KAMBINI ZANZIBAR HUKU IKIMTEMA MSHAMBULIAJI WAKE KUTOKA GAMBIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JXijcC_9_uk/VIW1xZFa-uI/AAAAAAAG2DM/bA5_jIxqy6k/s1600/Omar%2BMboob.jpg)
Katibu mkuu wa Simba Steven Ally alidhibitisha kuwa mchezaji huyo ameenguliwa kwenye kikosi cha Simba kwa vile ameshindwa kuonyesha kiwango cha kumshawishi kocha Patrick Phiri ili aweze kusajiliwa.
"Mboob kwa sasa tunamfanyia taratibu ili aweze kurudi nchini kwao, kesho (leo) au kesho kutwa ataondoka, ameshindwa kuonyesha makali."alisema
Wakati Ally akisema hayo, Mwenyekiti wa kamati...
9 years ago
Mtanzania21 Sep
BSS yabaki na washiriki kumi bora
NA HERIETH FAUSTINE
SHINDANO la Bongo Star Search (BSS) limefikia hatua ya kumi bora baada ya washiriki wengine wawili kuyaaga mashindano hayo.
Katika shindano hilo linalodhaminiwa na Salama Condom na kinywaji cha Coca Cola, washiriki wawili walioaga mashindano hayo jana ni Chief Agala kutokea Arusha na Amina Issa wa Mwanza.
Jaji Mkuu wa BSS, Ritha Paulsen, alisema washiriki wote wanaweza kuimba, kucheza na kumiliki jukwaa na kilichobaki kwa sasa zitawekwa namba kwenye magazeti za washiriki...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-24idCbnicDk/VaymUP6MKWI/AAAAAAAHqng/SEzPU1uL0rE/s72-c/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
Bongo Star search (BSS) yatoa sita bora jijini Mwanza
![](http://1.bp.blogspot.com/-24idCbnicDk/VaymUP6MKWI/AAAAAAAHqng/SEzPU1uL0rE/s640/unnamed%2B%252893%2529.jpg)
Kipindi kitakuwa kinaruka kila siku ya Jumapili, saa tatu kamili kwenye vituo vya televisheni vya Clouds Tv na Star Tv na marudio yake; Kwa Clouds Tv ni Jumanne saa tano kamili asubuhi pamja na Alhamisi saa nane kamili mchana; Kwa StarTV ni Alhamisi saa...