YANGA YAINGIA KAMBINI KUNDUCHI
Kikosi cha Young Africans Sports Club
Kuelekea kwenye mpambano wa watani wa jadi YANGA Vs SIMBA siku ya jumamosi Oktoba 18, kikosi cha timu ya Young Africans kimeingia kambini leo mchana katika hoteli ya Landmark iliyopo eneo la Kunduchi kujiandaa na mchezo huo ambao umeteka hisia za wapenzi wa soka nchini Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.Kocha mkuu Marcio Maximo ameingia kambini na kikosi cha wachezaji 28 kujiandaa na mchezo huo ambapo kikosi chake kitakua kikifanya mazoezi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Mbeya City yaingia kambini
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Taifa Stars yaingia kambini
9 years ago
Mtanzania20 Aug
20 bora ya BSS yaingia kambini
NA MWANDISHI WETU
WASHIRIKI 20 waliochaguliwa kutoka mikoa minne ya shindano la Bongo Star Search (BSS), wameingia kambini kwa ajili ya shindano hilo.
Shindano hilo linaendeshwa na Benchmark Production chini ya udhamini wa Salama Condom na Kampuni ya Coca Cola, linawakutanisha wasanii kutoka mkoa wa Arusha, Mwanza, Mbeya na Dar es Salaam.
Jaji Mkuu wa shindano hilo, Ritha Paulsen, alisema wasanii hao watafundishwa kuimba, kutafuta pumzi, kutumia vyombo vya muziki, kujua namna ya kujiweka na...
10 years ago
GPL![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/ma.png?width=645)
TAIFA STARS MABORESHO YAINGIA KAMBINI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FJ8ymDuXbeQ/U7wM_LZ0fTI/AAAAAAAFyes/Jc-JAn0CrzY/s72-c/f8314b9fbf_Taifa-Stars.jpg)
TAIFA STARS YAINGIA KAMBINI HUKO TUKUYU,JIJINI MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FJ8ymDuXbeQ/U7wM_LZ0fTI/AAAAAAAFyes/Jc-JAn0CrzY/s1600/f8314b9fbf_Taifa-Stars.jpg)
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo (Julai 8 mwaka huu) kuhusu maandalizi ya timu hiyo, Nooij amesema timu yake inafanya mazoezi kwenye maeneo ya baridi kwa sababu za kitaalamu, hivyo kambi ya Tukuyu kama ilivyokuwa ya Botswana itawasaidia kwa mechi dhidi ya Msumbiji.
Taifa Stars...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JXijcC_9_uk/VIW1xZFa-uI/AAAAAAAG2DM/bA5_jIxqy6k/s72-c/Omar%2BMboob.jpg)
SIMBA SC YAINGIA KAMBINI ZANZIBAR HUKU IKIMTEMA MSHAMBULIAJI WAKE KUTOKA GAMBIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JXijcC_9_uk/VIW1xZFa-uI/AAAAAAAG2DM/bA5_jIxqy6k/s1600/Omar%2BMboob.jpg)
Katibu mkuu wa Simba Steven Ally alidhibitisha kuwa mchezaji huyo ameenguliwa kwenye kikosi cha Simba kwa vile ameshindwa kuonyesha kiwango cha kumshawishi kocha Patrick Phiri ili aweze kusajiliwa.
"Mboob kwa sasa tunamfanyia taratibu ili aweze kurudi nchini kwao, kesho (leo) au kesho kutwa ataondoka, ameshindwa kuonyesha makali."alisema
Wakati Ally akisema hayo, Mwenyekiti wa kamati...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-46knnDJ2l74/VlhFdjlkYII/AAAAAAAIIm0/0AHJIz7OUkI/s72-c/u15camp.png)
U15 YAINGIA KAMBINI KUJIANDAA NA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-46knnDJ2l74/VlhFdjlkYII/AAAAAAAIIm0/0AHJIz7OUkI/s640/u15camp.png)
Kocha wa timu hiyo Sebastian Mkomwa amesema vijana wote wameshawasili jijini Dar es salaam na leo wameanza mazoezi asubuhi katika uwanja wa Karume watakapokua wanajifua kila asubuhi na jioni mpaka siku ya safari.
Kikosi cha wachezaji 24 kimeingia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNalLgtBaOJOm48SxEjq171hxZdxWpDgtZdozDHoL0y1oywm9xdxUH8wdtYyF-mvqvaEAB8QwXV-e5uaqyPiQr8-/okwi.jpg?width=650)
Cheki yamrudisha Okwi kambini Yanga SC
10 years ago
VijimamboMATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0
MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-
YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...