Cheki yamrudisha Okwi kambini Yanga SC
![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNalLgtBaOJOm48SxEjq171hxZdxWpDgtZdozDHoL0y1oywm9xdxUH8wdtYyF-mvqvaEAB8QwXV-e5uaqyPiQr8-/okwi.jpg?width=650)
Mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Na Sweetbert Lukonge HATIMAYE mshambuliaji wa Yanga, Mganda Emmanuel Okwi amejiunga na wenzake baada ya kukamilishiwa madai yake aliyokuwa akiidai klabu hiyo. Hivi karibuni ilidaiwa kuwa Okwi aligoma kujiunga na kambi hiyo iliyopo Bagamoyo, Pwani kwa kuwa hajalipwa fedha zake zote za usajili ambazo alikuwa akiidai klabu hiyo, baada ya kutua klabuni hapo akitokea SC Villa ya… ...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/7F31M_rmgr0/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4TZfO9Plfw-*0RaEHxGWb5ow2csmdaYqoYJ1oQcFOkEh7EYC1E94kvCbQQax5OqeCIA79MR--sceopAJe4qTiByE/okwi.jpg?width=650)
Emmanuel Okwi, Kiiza wachomoka kambini usiku
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Yanga yamrudisha Bin Kleb kundini
10 years ago
Vijimambo13 Oct
YANGA YAINGIA KAMBINI KUNDUCHI
![](http://www.youngafricans.co.tz/images/stories/yanga-team.jpg)
Kuelekea kwenye mpambano wa watani wa jadi YANGA Vs SIMBA siku ya jumamosi Oktoba 18, kikosi cha timu ya Young Africans kimeingia kambini leo mchana katika hoteli ya Landmark iliyopo eneo la Kunduchi kujiandaa na mchezo huo ambao umeteka hisia za wapenzi wa soka nchini Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.Kocha mkuu Marcio Maximo ameingia kambini na kikosi cha wachezaji 28 kujiandaa na mchezo huo ambapo kikosi chake kitakua kikifanya mazoezi...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Cheki pichaz na matokeo ya mchezo wa kukamiana wa Yanga na Azam FC Kombe la Mapinduzi
Bado burudani ya soka ipo Zanzibar kwa kuendelea kuchezwa michezo ya Kombe la Mapinduzi, baada ya kupigwa mchezo wa tatu wa Kundi B mchana wa January 5 kwa kuzikutanisha timu za Mafunzo ya Zanzibar na Mtibwa Sugar ya Morogoro na mchezo kumalizika kwa Mtibwa kuibuka na ushindi wa goli 1-0. Usiku wa January 5 ulichezwa […]
The post Cheki pichaz na matokeo ya mchezo wa kukamiana wa Yanga na Azam FC Kombe la Mapinduzi appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo December 30 kwa mchezo mmoja wa kiporo kumaliziwa katika dimba la Azam Complex Mbande Chamazi. Huu ni mchezo ambao ulikuwa unakutanisha timu ambazo zinatafuta nafasi ya kusogelea kuelekea kileleni mwa msimamo wa Ligi. Mchezo wa December 30 ulikuwa unazikutanisha timu ya Azam FC dhidi ya klabu ya […]
The post Ushindi wa Azam FC waishusha Yanga kileleni, cheki pichaz walivyoiadhibu Mtibwa Sugar Dec 30 appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Cheki video ya magoli ya Azam FC dhidi ya Yanga katika mechi ambayo ilikuwa ya kukamiana …
Mtu wangu wa nguvu kama kawaida naendelea kukusogezea kila kitu kinachonifikia kutoka Zanzibar katika michuano ya Kombe la Mapinduzi. Usiku wa January 5 ulipigwa mchezo wa nne wa Kundi B kwa kuzikutanisha timu za Yanga dhidi ya Azam FC katika dimba la Amaan. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusoogezee video ya magoli ya mchezo huo […]
The post Cheki video ya magoli ya Azam FC dhidi ya Yanga katika mechi ambayo ilikuwa ya kukamiana … appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAExMKvaQ6pwiS1tMhMAk7m9pUCpz0YoXh*GvTfXOFp7noS6yjHF1tPwDgFt53L5Lp2NOBZWuFmYrpHg0drJ1H2z-/okwi.jpg?width=650)
Okwi ayeyuka Yanga SC
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Yanga kumshtaki Okwi