Yanga yamrudisha Bin Kleb kundini
Mwenyekiti wa zamani wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Abdalah Bin Kleb ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamati ya mashindano ya klabu hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Bin Kleb arudi Yanga
WAJUMBE wenza wa Kamati ya Utendaji ya Yanga katika kusimamia Kamati ya Maendelo ya Michezo chini ya Seif Ahmed ‘Magari’ na Isaac Chanji, wameteua wajumbe 41 akiwemo Abdallah Bin Kleb....
11 years ago
Mtanzania28 Jul
Manji amwengua Bin Kleb Yanga
![Yusuf Manji](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Yusuf-Manji.jpg)
Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
UONGOZI wa klabu ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake, Yusuf Manji, umemwengua madarakani Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili, Abdallah Bin Kleb huku ikiunda upya Kamati ya Utendaji.
Manji na Makamu wake, Clement Sanga walifikia uamuzi huo na kamati zote zilizoko chini ya Kamati ya Utendaji zitavunjwa kuanzia Julai 30 huku kamati mpya zikianza kazi Agasti mosi mwaka huu.
Akitangaza wajumbe wapya wa Kamati ya Utendaji...
11 years ago
Mwananchi28 Jul
KAMATI MPYA: Bin Kleb, Nyanda watoswa Yanga
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/7F31M_rmgr0/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNalLgtBaOJOm48SxEjq171hxZdxWpDgtZdozDHoL0y1oywm9xdxUH8wdtYyF-mvqvaEAB8QwXV-e5uaqyPiQr8-/okwi.jpg?width=650)
Cheki yamrudisha Okwi kambini Yanga SC
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AGBPhObOW6E/VZl8iJgKm_I/AAAAAAAHnKU/_6QAAnN4y20/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad aongoza maziko ya sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, Pemba
![](http://4.bp.blogspot.com/-AGBPhObOW6E/VZl8iJgKm_I/AAAAAAAHnKU/_6QAAnN4y20/s640/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GMTsDcjv9O0/VZl8iHDe1wI/AAAAAAAHnKo/GCBSLsE_83c/s640/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RTKv-EF7ub4/VZl8iBGBaNI/AAAAAAAHnKQ/de8TGVAJ_NU/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi29 Apr
MAWAIDHA YA SWAUMU NA AL MARHUM MUFTI SHEIK HEMED BIN JUMAA BIN HEMED
issamichuzi · MAWAIDHA YA SHEIKH HEMED BIN JUMAA BIN HEMED
9 years ago
Habarileo24 Dec
Majabvi arudi kundini
MCHEZAJI Justice Majabvi wa Simba ameomba radhi kwa uongozi wa timu yake na tayari ameungana na wenzake kambini Shinyanga kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mwadui keshokutwa.
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Aveva amrudisha kundini Dewji