Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMATI MPYA: Bin Kleb, Nyanda watoswa Yanga

Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji na makamu wake, Clement Sanga wamevunja Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo na kuunda mpya huku ikimweka pembeni kinara wa usajili, Abdallah bin Kleb na mchezaji wa zamani wa klabu hiyo, Aaron Nyanda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Bin Kleb arudi Yanga

WAJUMBE wenza wa Kamati ya Utendaji ya Yanga katika kusimamia Kamati ya Maendelo ya Michezo chini ya Seif Ahmed ‘Magari’ na Isaac Chanji, wameteua wajumbe 41 akiwemo Abdallah Bin Kleb....

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yamrudisha Bin Kleb kundini

Mwenyekiti wa zamani wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Abdalah Bin Kleb ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamati ya mashindano ya klabu hiyo.

 

11 years ago

Mtanzania

Manji amwengua Bin Kleb Yanga

Yusuf Manji

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji

NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa klabu ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake, Yusuf Manji, umemwengua madarakani Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili, Abdallah Bin Kleb huku ikiunda upya Kamati ya Utendaji.

Manji na Makamu wake, Clement Sanga walifikia uamuzi huo na kamati zote zilizoko chini ya Kamati ya Utendaji  zitavunjwa kuanzia Julai 30 huku kamati mpya zikianza kazi Agasti mosi mwaka huu.

Akitangaza wajumbe wapya wa Kamati ya Utendaji...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga yatangaza kamati mpya

 Uongozi wa Yanga umeteua kwa mara nyingine tena kamati mpya za kisheria kwa ajili ya kushughulikia masuala mbalimbali ndani ya klabu hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

Maalim Seif Sharif Hamad aongoza maziko ya sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, Pemba

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akielekea viwanja vya Ole Kanambe kwa ajili ya kushiriki sala ya aliyekuwa Sheikh maarufu wa Ole marehemu sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, aliyefariki jana usiku. Mamia ya waombolezaji kisiwani Pemba wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa sheikh maarufu wa Ole Kanambe marehemu sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, aliyefariki jana usiku. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,...

 

10 years ago

Vijimambo

MFUKO WA GEPF WAPANUA WIGO KWA KUZINDUA OFISI MPYA NYANDA ZA JUU KUSINI MKOANI MBEYA

 Meneja wa kanda ya Nyanda za juu kusini Bw Ramadhan Sosora akitoa neno la ufunguzi na utambulisho kwa wanahabari. Meneja Masoko kutoka Mfuko wa Mafao ya Kustaafu wa GEPF Bw Aloyce Ntukamazina akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi huo kulia kwake ni Afisa masoko katika ofisi ya mbeya Bw Alex William. Pichani baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakifuatilia kwa makini maelezo wakati wa uzinduzi huo. Bw Aloyce Ntukamazina akielezea mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha...

 

5 years ago

Michuzi

MAWAIDHA YA SWAUMU NA AL MARHUM MUFTI SHEIK HEMED BIN JUMAA BIN HEMED


issamichuzi · MAWAIDHA YA SHEIKH HEMED BIN JUMAA BIN HEMED

 

9 years ago

Michuzi

HAFLA YA KUMKARIBISHA RASMI BAKWATA MUFTI MKUU MPYA WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBERI BIN ALLY

 Mufti Mkuu mpya wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuberi bin Ally  akiongea na mamia ya Waislamu waliojitokeza kumkaribisha rasmi makao makuu ya Baraza Kuu la Waislamu la Tanzania (BAKWATA) Kinondoni Muslim jijini Dar es salaam Ijumaa jioni.  Rais Mstafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi akizungumza wakati wa hafla ya kumkaribisha rasmi Mufti Mkuu mpya wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuberi bin Ally   makao makuu ya Baraza Kuu la Waislamu la Tanzania (BAKWATA) Kinondoni Muslim jijini Dar es salaam Ijumaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani