Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bin Kleb arudi Yanga

WAJUMBE wenza wa Kamati ya Utendaji ya Yanga katika kusimamia Kamati ya Maendelo ya Michezo chini ya Seif Ahmed ‘Magari’ na Isaac Chanji, wameteua wajumbe 41 akiwemo Abdallah Bin Kleb....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Yanga yamrudisha Bin Kleb kundini

Mwenyekiti wa zamani wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Abdalah Bin Kleb ameteuliwa kuwa mjumbe wa kamati ya mashindano ya klabu hiyo.

 

11 years ago

Mtanzania

Manji amwengua Bin Kleb Yanga

Yusuf Manji

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji

NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa klabu ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake, Yusuf Manji, umemwengua madarakani Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili, Abdallah Bin Kleb huku ikiunda upya Kamati ya Utendaji.

Manji na Makamu wake, Clement Sanga walifikia uamuzi huo na kamati zote zilizoko chini ya Kamati ya Utendaji  zitavunjwa kuanzia Julai 30 huku kamati mpya zikianza kazi Agasti mosi mwaka huu.

Akitangaza wajumbe wapya wa Kamati ya Utendaji...

 

11 years ago

Mwananchi

KAMATI MPYA: Bin Kleb, Nyanda watoswa Yanga

Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji na makamu wake, Clement Sanga wamevunja Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo na kuunda mpya huku ikimweka pembeni kinara wa usajili, Abdallah bin Kleb na mchezaji wa zamani wa klabu hiyo, Aaron Nyanda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maximo aaga Yanga arudi kwao Brazil

Aliyekuwa kocha wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo ameondoka kurudi kwao Brazil na kuitakia klabu yake ya zamani kila la kheri.

 

10 years ago

Michuzi

Maalim Seif Sharif Hamad aongoza maziko ya sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, Pemba

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akielekea viwanja vya Ole Kanambe kwa ajili ya kushiriki sala ya aliyekuwa Sheikh maarufu wa Ole marehemu sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, aliyefariki jana usiku. Mamia ya waombolezaji kisiwani Pemba wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa sheikh maarufu wa Ole Kanambe marehemu sheikh Alawy bin Omar bin Salim Baalawy, aliyefariki jana usiku. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad,...

 

5 years ago

Michuzi

MAWAIDHA YA SWAUMU NA AL MARHUM MUFTI SHEIK HEMED BIN JUMAA BIN HEMED


issamichuzi · MAWAIDHA YA SHEIKH HEMED BIN JUMAA BIN HEMED

 

10 years ago

Kayihura

Jamil Mukulu is our Bin Laden


News24
Jamil Mukulu is our Bin Laden - Kayihura
New Vision
THE Inspector General of Police (IGP) Gen Kale Kayihura today paraded Jamil Mukulu, the leader of Allied Democratic Forces (ADF) the Ugandan rebel group accused of orchestrating massacres in Uganda and DRC. Mukulu was paraded at Jinja police ...
Islamist rebel handed over to Uganda from Tanzania: army spokesmanReuters Africa
Tanzania extradites Uganda Islamist leader accused of war crimesMail & Guardian Africa
Opposition leader Jamil...

 

9 years ago

Habarileo

Majabvi arudi kundini

MCHEZAJI Justice Majabvi wa Simba ameomba radhi kwa uongozi wa timu yake na tayari ameungana na wenzake kambini Shinyanga kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mwadui keshokutwa.

 

10 years ago

GPL

LAVEDA ARUDI BBA

Irene Neema Vedastous 'La Veda'. Stori: Gabriel Ng’osha MWANADADA aliyewakilisha Tanzania katika shindano la BIG BROTHER 2014 ‘HOTSHOTS’ nchini Afrika Kusini. Irene Neema Vedastous 'La Veda' ameitwa tena ili kushuhudia fainali za kinyang’anyiro hicho. Mrembo huyo amepanda pipa juzi saa 8 mchana kuelekea Sauz ambapo atakaa kwa muda wa wiki moja.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani