Maximo aaga Yanga arudi kwao Brazil
Aliyekuwa kocha wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo ameondoka kurudi kwao Brazil na kuitakia klabu yake ya zamani kila la kheri.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAXIMO AJA NA KIFAA KINGINE CHA YANGA KUTOKA BRAZIL
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Kocha Maximo atimkia kwao, aacha maagizo
Kocha Marcio Maximo ameondoka nchini jana kwenda kwao Brazil kwa mapumziko ya wiki mbili huku akiwapa wachezaji wake programu kali ya mazoezi ya siku 10.
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Brazil 2014: Ronaldo arudi kwa kishindo
Rio de Janeiro, Brazil. Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo amethibitisha kwamba yuko fiti kwa fainali za Kombe la Dunia baada ya juzi kuisadia Ureno kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Jamhuri ya Ireland kwenye Uwanja wa MetLife nchini Ureno.
11 years ago
Mwananchi23 Jun
BRAZIL 2014: Peter Odemwingie awarudisha Bosnia kwao
>Bao la Peter Odemwingie limeipa ushindi wa kwanza Nigeria katika Fainali za Kombe la Dunia na kuifungashia virago Bosnia-Hercegovina kutoka katika Kundi F.
11 years ago
Mwananchi03 Jul
BRAZIL 2014: Kumbe tunakosea kulitamka jina la Maximo
Marcio Maximo amerudi Tanzania, kwa ajili ya kuinoa klabu ya Yanga inayoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Bin Kleb arudi Yanga
WAJUMBE wenza wa Kamati ya Utendaji ya Yanga katika kusimamia Kamati ya Maendelo ya Michezo chini ya Seif Ahmed ‘Magari’ na Isaac Chanji, wameteua wajumbe 41 akiwemo Abdallah Bin Kleb....
10 years ago
Vijimambo18 Mar
Ngasa aaga Yanga.
![](http://api.ning.com/files/VFUL0Af-KhryUnOnw60F8fOoSU0ml0IR*ChreIeXLsU33CLcd4dk9-XJzIqf8uI505urdtGDMlQU3lfKh0uFFOtubdWWThwB/ngasa7.jpg)
Winga hatari wa Yanga na Taifa Stars, Mrisho Ngasa, amewaaga na kuwashukuru mashabiki wake kwa kumpa sapoti katika kipindi chote alichokaa kwenye klabu hiyo ya Jangwani.
Ngasa, mfungaji bora wa michuano ya Klabu Bingwa Afrika mwaka jana na mfungaji bora wa Yanga msimu uliopita, mwishoni mwa wiki alikisaidia kikosi cha wanajangwani kupata ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Katika mechi hiyo ya hatua ya kwanza ya michuano ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA HANS AAGA YANGA
Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm. Hans Van Der Pluijm kocha mkuu wa timu ya Young Africans leo amewaaga rasmi wachezaji wake, viongozi, wapenzi na wanachama baada ya kumalizaa wake wa miezi sita na sasa anakwenda kujiunga na timu Al Shoalah FC iliyopo Ligi Kuu nchini Saudi Arabia. Kocha huyo mdachi ambaye ameiongoza Young Africans kwa kipindi cha miezi mitano amesema anashukuru kwa sapoti aliyokua akiipata kutoka...
11 years ago
Michuzi16 Jun
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania