Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brazil 2014: Ronaldo arudi kwa kishindo

Rio de Janeiro, Brazil. Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo amethibitisha kwamba yuko fiti kwa fainali za Kombe la Dunia baada ya juzi kuisadia Ureno kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Jamhuri ya Ireland kwenye Uwanja wa MetLife nchini Ureno.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Arudi Instagram Kwa Kishindo!

Siku chache baada ya msanii wa maigizo nchini, Elizabeth Michael, maarufu kama lulu, kufunga account zake zote za mitandao ya kijamii, kwa kile kinachodaiwa kukwepa matusi na kashfa kutoka kwa baadhi ya maadui zake kufuatia kifo cha aliyekuwa mpenzi wake, mfanyabiashara maarufu seky.

Jana kupitia ukurasa wake mpya wa instagram unaofahamika kwa jina la "lizymichael ", msanii huyo mwenye mvuto wa aina yake alirudi rasmi baada ya kuona maneno yanazidi kwenye mitandao ya kijamii, na kuamua...

 

10 years ago

Mtanzania

Cameron arudi Downing Street kwa kishindo

david-cameron-and-wife-pic-dm-1043869LONDON, Uingereza
WAZIRI Mkuu wa Uingereza, David Cameron, anatarajia kuunda Serikali ya chama chake cha Conservative bila kuhitaji muungano au ushirikiano na vyama vingine tofauti na Serikali aliyokuwa akiiongoza kabla ya uchaguzi huu uliompa ushindi wa kishindo.
Hadi kufikia jana mchana matokeo yalikuwa yakionyesha kuwa chama chake kilikuwa kimeshinda viti 331 kati ya 635 ya matokeo yaliyokwisha patikana. Jumla ya viti vyote ni 650 na ili chama kiweze kuunda Serikali peke yake kinahitaji...

 

9 years ago

StarTV

Kaseja arudi kwa kishindo Mbeya City

BAADA ya msimu mmoja wa kuwa nje, hatimaye mlinda mlango mkongwe Tanzania, Juma Kaseja Juma amerudi kazini baada ya jana kusaini Mkataba wa miezi sita kujiunga na Mbeya City FC. Kaseja amekuwa mchezaji huru tangu aondoke Yanga SC msimu uliopita- ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu arejee Jangwani akitokea klabu aliyoichezea kwa miaka tisa, Simba SC.
Kaseja alijiunga na Simba SC mwaka 2002 akitokea Moro United kabla ya mwaka 2009, kuhamia Yanga kwa mwaka mmoja kabla ya kurejea Msimbazi mwaka...

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Will injured Ronaldo come through for Portugal?

Ronaldo and injured teammate Raul Meireles working separately from Portugal's squad.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Messi amfunika Ronaldo vibaya

Hiyo ni kwa sababu umri wa Messi ni miaka 26 wakati Ronaldo ana miaka 29.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Ronaldo ‘trains, jumps and shoots’

>Portugal’s Miguel Veloso is confident over the fitness of captain Cristiano Ronaldo, claiming the Real Madrid star is able to “jump and shoot” in training without any problems.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Messi, Ronaldo fight for World Cup glory

One is the world’s best known footballer, the other the most valuable.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Rooney amsemea 'mbovu' Ronaldo, adai anajivuna

Wayne Rooney amemshambuliaji nyota mwenzake wa zamani kwenye klabu ya Manchester United, Cristiano Ronaldo, akidai anajikweza.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Gustavo pigo kwa Brazil dhidi ya Colombia leo

Licha ya kuwa Neymar ndiye mchezaji anayetajwa zaidi na kuonekana msaada mkubwa katika kikosi cha Brazil, pia uwepo wa Oscar, Thiago Silva na David Luiz unaonekana kuwa muhimu uwanjani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani