Brazil 2014: Ronaldo arudi kwa kishindo
Rio de Janeiro, Brazil. Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo amethibitisha kwamba yuko fiti kwa fainali za Kombe la Dunia baada ya juzi kuisadia Ureno kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Jamhuri ya Ireland kwenye Uwanja wa MetLife nchini Ureno.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies25 Apr
Lulu Arudi Instagram Kwa Kishindo!
Siku chache baada ya msanii wa maigizo nchini, Elizabeth Michael, maarufu kama lulu, kufunga account zake zote za mitandao ya kijamii, kwa kile kinachodaiwa kukwepa matusi na kashfa kutoka kwa baadhi ya maadui zake kufuatia kifo cha aliyekuwa mpenzi wake, mfanyabiashara maarufu seky.
Jana kupitia ukurasa wake mpya wa instagram unaofahamika kwa jina la "lizymichael ", msanii huyo mwenye mvuto wa aina yake alirudi rasmi baada ya kuona maneno yanazidi kwenye mitandao ya kijamii, na kuamua...
10 years ago
Mtanzania09 May
Cameron arudi Downing Street kwa kishindo
LONDON, Uingereza
WAZIRI Mkuu wa Uingereza, David Cameron, anatarajia kuunda Serikali ya chama chake cha Conservative bila kuhitaji muungano au ushirikiano na vyama vingine tofauti na Serikali aliyokuwa akiiongoza kabla ya uchaguzi huu uliompa ushindi wa kishindo.
Hadi kufikia jana mchana matokeo yalikuwa yakionyesha kuwa chama chake kilikuwa kimeshinda viti 331 kati ya 635 ya matokeo yaliyokwisha patikana. Jumla ya viti vyote ni 650 na ili chama kiweze kuunda Serikali peke yake kinahitaji...
9 years ago
StarTV20 Aug
Kaseja arudi kwa kishindo Mbeya City
Kaseja alijiunga na Simba SC mwaka 2002 akitokea Moro United kabla ya mwaka 2009, kuhamia Yanga kwa mwaka mmoja kabla ya kurejea Msimbazi mwaka...
11 years ago
TheCitizen06 Jun
BRAZIL 2014: Will injured Ronaldo come through for Portugal?
11 years ago
Mwananchi06 Jun
BRAZIL 2014: Messi amfunika Ronaldo vibaya
11 years ago
TheCitizen21 Jun
BRAZIL 2014: Ronaldo ‘trains, jumps and shoots’
11 years ago
TheCitizen13 Jun
BRAZIL 2014: Messi, Ronaldo fight for World Cup glory
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Brazil 2014: Rooney amsemea 'mbovu' Ronaldo, adai anajivuna
11 years ago
Mwananchi05 Jul
BRAZIL 2014: Gustavo pigo kwa Brazil dhidi ya Colombia leo