Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cameron arudi Downing Street kwa kishindo

david-cameron-and-wife-pic-dm-1043869LONDON, Uingereza
WAZIRI Mkuu wa Uingereza, David Cameron, anatarajia kuunda Serikali ya chama chake cha Conservative bila kuhitaji muungano au ushirikiano na vyama vingine tofauti na Serikali aliyokuwa akiiongoza kabla ya uchaguzi huu uliompa ushindi wa kishindo.
Hadi kufikia jana mchana matokeo yalikuwa yakionyesha kuwa chama chake kilikuwa kimeshinda viti 331 kati ya 635 ya matokeo yaliyokwisha patikana. Jumla ya viti vyote ni 650 na ili chama kiweze kuunda Serikali peke yake kinahitaji...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Mirror Online

UK coronavirus expert who was in Downing Street days ago self isolates over virus fears

UK coronavirus expert who was in Downing Street days ago self isolates over virus fears  Mirror OnlineUK epidemiologist who recently visited Downing Street self-isolates with cough and fever  RTCoronavirus: Professor who swayed Britain's pandemic response is self isolating  The Straits TimesCoronavirus UK death toll reaches 71 with 14 more dead in England  Mirror OnlineUK confirmed coronavirus cases rise 26 per cent to 1950 in past 24 hours  Malay MailView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Arudi Instagram Kwa Kishindo!

Siku chache baada ya msanii wa maigizo nchini, Elizabeth Michael, maarufu kama lulu, kufunga account zake zote za mitandao ya kijamii, kwa kile kinachodaiwa kukwepa matusi na kashfa kutoka kwa baadhi ya maadui zake kufuatia kifo cha aliyekuwa mpenzi wake, mfanyabiashara maarufu seky.

Jana kupitia ukurasa wake mpya wa instagram unaofahamika kwa jina la "lizymichael ", msanii huyo mwenye mvuto wa aina yake alirudi rasmi baada ya kuona maneno yanazidi kwenye mitandao ya kijamii, na kuamua...

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Ronaldo arudi kwa kishindo

Rio de Janeiro, Brazil. Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo amethibitisha kwamba yuko fiti kwa fainali za Kombe la Dunia baada ya juzi kuisadia Ureno kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-1 dhidi ya Jamhuri ya Ireland kwenye Uwanja wa MetLife nchini Ureno.

 

9 years ago

StarTV

Kaseja arudi kwa kishindo Mbeya City

BAADA ya msimu mmoja wa kuwa nje, hatimaye mlinda mlango mkongwe Tanzania, Juma Kaseja Juma amerudi kazini baada ya jana kusaini Mkataba wa miezi sita kujiunga na Mbeya City FC. Kaseja amekuwa mchezaji huru tangu aondoke Yanga SC msimu uliopita- ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu arejee Jangwani akitokea klabu aliyoichezea kwa miaka tisa, Simba SC.
Kaseja alijiunga na Simba SC mwaka 2002 akitokea Moro United kabla ya mwaka 2009, kuhamia Yanga kwa mwaka mmoja kabla ya kurejea Msimbazi mwaka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kupotea kwa Muda: Wema Sepetu Arudi tena Mzigoni Akiwa na JB

Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu ameshare nasi kipande kidogo cha video ya kazi mpya  inayokwenda kwa jina la  Chungu Cha Tatu akiwa na Staa mwenzake, Jacob Stephen  'JB' wakiwa 'lokesheni'.

Kwa muda mrefu sasa Wema Sepetu amekuwa afanyi filamu, Bila shaka mashabiki wake wana hamu kubwa sana ya kumuona tena kwenye filamu.

Jionee kipande cha kazi hiyo  HAPA

 

 

10 years ago

Vijimambo

ZIARA YA BAWACHA YAANZA KWA KISHINDO KWA KUTIKISA MWANZA

Viongozi wa BAWACHA wakiongozwa na Mhe. Halima Mdee wakipata picha ya pamoja mara tu walipowasili jijini Mwanza,Wananchi mkoani Mwanza wakiwa kwenye wenye wingi wa fuaraha baada ya kupokea ujiwa wa viongozi wao wa BAWACHA.Ni vigelegele na vifijoMsafala wa wanachi wa Mwanza na viongozi wa BAWACHA

 

10 years ago

GPL

DK. MAGUFULI ACHUKUA FOMU KWA KISHINDO, AIWASILISHA KWA RAIS KIKWETE KUTHIBITISHA

 Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi wa CCM, Dk. John Magufuli na Mgombea mwenza Samia Salum leo .…

 

5 years ago

CCM Blog

BAJETI KUU YA SERIKALI KWA MWAKA 2020-2021 YAPITISHWA KWA KISHINDO


Wabunge wamepitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2020/2021 ya jumla ya shilingi Trilioni 34.88.Bajeti hiyo imepitishwa kwa kura 304 za ndio kati ya kura 371 zilizopigwa na wabunge waliokuwepo bungeni jijini Dodoma.Shughuli ya upigaji kura, imefanyika kwa mbunge kuitwa jina lake na kupiga kura hadharani kwa sauti.Akitangaza matokeo ya kura, Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai amesema, wabunge waliopiga kura walikuwa 371 na wabunge 13 hawakuwepo bungeni.Kagaigai amesema, kura 63...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani