DK. MAGUFULI ACHUKUA FOMU KWA KISHINDO, AIWASILISHA KWA RAIS KIKWETE KUTHIBITISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-L3XM2EMGpmY/VcDBaC04m2I/AAAAAAAAxTI/pv7JtdcMuo4/s640/DSC_0002.jpg)
 Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi wa CCM, Dk. John Magufuli na Mgombea mwenza Samia Salum leo .…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Dkt.Magufuli achukua fomu za urais kwa kishindo, barabara ya Lumumba yafungwa, wafuasi wa CCM kila kona
![](http://3.bp.blogspot.com/-vBToKnjCblE/VcCzr5XiDuI/AAAAAAAAXAI/EHCFZ-W11iE/s640/Magufuli_Samia%2Bon%2Bthe%2Bvan.jpg)
MGOMBEA kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi, CCM, John Pombe Magufuli, jana Jumanne Agosti 4, 2015, amechukua fomu za uteuzi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, tayari kwa mchakato wa kutafuta wadhamini 200 ambao ni raia wa Tanzania wenye shahada za kupigia kura. Magufuli ambaye alifuatana nna mgombea mwenza wake, Samia Suluhu Hassan, Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, na viongozi na wafuasi wa CCM, alkiambiwa na maafisa wa tume hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLf6J4PykmA/XunPEaNmcOI/AAAAAAALuL4/BnCny-4bfyITdCFNDMbcOv9n3zsdhWRcACLcBGAsYHQ/s72-c/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2JH6ZWQDDqk/VXCFFv-jfmI/AAAAAAABa5s/zyMTsU5A18g/s72-c/LOwassa_fomu2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DK. BILAL, LOWASSA, MAGUFULI W ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-2JH6ZWQDDqk/VXCFFv-jfmI/AAAAAAABa5s/zyMTsU5A18g/s640/LOwassa_fomu2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KWTWLyJu9OY/VXCFF71HeLI/AAAAAAABa5w/uN5vo9ct4Jk/s640/Lowassa_fomu.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s72-c/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
Rais Magufuli achukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kugombea Urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-6AQZHuwmMeI/XunLmrcJJ1I/AAAAAAALuLg/av6dnPOGvmot7g8rB-DPprYmHRAU49yaQCLcBGAsYHQ/s640/c4b8f50f-3b9e-4e5f-a68b-d4504e665712.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c4d4e23c-bb9c-4e93-95a9-d28e949311a6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7dlfq1o37L8/Xum9zhQogKI/AAAAAAABMbc/W2L_Tb2IY3IDym0c7CmmMO_FnHyWBOXaQCLcBGAsYHQ/s72-c/mg.jpg)
BREAKING NEWSSSSSS: MWENYEKITI WA CCM, RAIS MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUWANIA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-7dlfq1o37L8/Xum9zhQogKI/AAAAAAABMbc/W2L_Tb2IY3IDym0c7CmmMO_FnHyWBOXaQCLcBGAsYHQ/s400/mg.jpg)
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Mahmoud achukua fomu kwa mikogo Z’bar
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Mgimwa achukua fomu za Ubunge kwa mbwembwe