Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahmoud achukua fomu kwa mikogo Z’bar

Mgombea wa CCM katika Jimbo la Kiembesamaki, Mahmoud Thabit Kombo jana amechukua fomu ya kuwa mwakilishi na kuwa mgombea wa tatu huku akisifu demokrasia ya chama hicho kwamba ni adilifu na shirikishi kuliko vyama vingine vya siasa nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DK. MAGUFULI ACHUKUA FOMU KWA KISHINDO, AIWASILISHA KWA RAIS KIKWETE KUTHIBITISHA

 Mgombea mteule wa Urais kwa tiketi wa CCM, Dk. John Magufuli na Mgombea mwenza Samia Salum leo .…

 

11 years ago

Mwananchi

Mgimwa achukua fomu za Ubunge kwa mbwembwe

Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia CCM, Godfrey Mgimwa jana amechukua rasmi fomu ya kuwania kiti hicho kwa mbwewe katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Vijijini, huku akitaja vipaumbele vinne alivyodai kuvifanyia kazi mara atakapotangazwa mshindi.

 

10 years ago

Vijimambo

MANGE KIMAMBI ACHUKUA FOMU NA KUKAMATWA KWA 'CYBERBULLYING'

 
Mange alipokwenda kuchukua fomu ya Ubunge wa Kinondoni kabla ya Kukamatwa na Kupelekwa Rumande na Anasubiri Kufikishwa Mahakamani wakati wowote kuanzia kesho -williammalecela.com 

 

10 years ago

Mwananchi

Mtikila achukua fomu ya urais kwa shingo upande

Wakati Mwenyekiti wa Chama cha Democratic Party (DP), Christopher Mtikila akigoma kusaini fomu za kugombea urais akitaka ufafanuzi wa mgombea binafsi, Mwenyekiti wa UPDP, Fahmi Dovutwa amekwama kwenye lifti za jengo lililopo katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi (NEC) kutokana na kukatika umeme.

 

10 years ago

Dewji Blog

JUST IN: Saed Kubenea achukua fomu ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Ubungo

kubenea-mpoki

Mwanahabari mkongwe Saed Kubenea (pichani) achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge kupitia Chadema jimbo la Ubungo.

Saed Kubenea ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd., inayochapisha magazeti ya MwanaHALISI; MSETO; MwanaHALISI Online na MwanaHALISI Forum na ndiye mmiliki wa kampuni hiyo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwigulu achukua fomu ya Ubunge na kutoa vitisho kwa wagombea wa nafasi hiyo Iramba

SAM_0116

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akiwa katika usafiri wa bodaboda akiingia kwenye ofisi ya CCM Wilaya ya Iramba ikiwa ni moja ya staili ya kuwaomba kura wapiga kura wa jimbo la Iramba.

11698700_1881892685370090_7978881058570572577_n

Mwigulu Nchemba akiwasili Ofisi za chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iramba,Mamia ya Wananchi walijumuika naye kumsindikiza ili awezekuchukua Fomu hiyo na hatimaye kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi kuwa Mgombea Ubunge Wilaya ya Iramba.

SAM_0120

Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM akisaini kitabu cha mahudhurio baada...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mgana Msindai achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo ya Singida mjini kwa tiketi ya CHADEMA

IMG-20150821-WA0001

Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida na Mwenyekiti wa wenyeviti CCM mikoa ya Tanzania, Mgana Izumbe Msindai, akikabidhiwa fomu na msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya manispaa ya Singida, Joseph Mchina ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KWA TIKETI YA CHAMA CHA ADC, MH. HAMAD RASHID ACHUKUA FOMU ZEC

Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe Hamad Rashid Mohammed akiwasili katika viwanja vya Afisi ya Tume ya Uchaguzi zilioko katika Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar kwa ajili ya kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar.Mgombea Urais wa Zanzibar Mhe Hamad Rashid Mohammed akiwasili katika viwanja vya Afisi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar zilioko katika Ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar kwa ajili ya kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar. akishindikizwa na Wanachama wa Chama chake cha ADC katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani