Mgimwa achukua fomu za Ubunge kwa mbwembwe
Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia CCM, Godfrey Mgimwa jana amechukua rasmi fomu ya kuwania kiti hicho kwa mbwewe katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Vijijini, huku akitaja vipaumbele vinne alivyodai kuvifanyia kazi mara atakapotangazwa mshindi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Jul
Mwigulu achukua fomu ya Ubunge na kutoa vitisho kwa wagombea wa nafasi hiyo Iramba
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akiwa katika usafiri wa bodaboda akiingia kwenye ofisi ya CCM Wilaya ya Iramba ikiwa ni moja ya staili ya kuwaomba kura wapiga kura wa jimbo la Iramba.
Mwigulu Nchemba akiwasili Ofisi za chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iramba,Mamia ya Wananchi walijumuika naye kumsindikiza ili awezekuchukua Fomu hiyo na hatimaye kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi kuwa Mgombea Ubunge Wilaya ya Iramba.
Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM akisaini kitabu cha mahudhurio baada...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
JUST IN: Saed Kubenea achukua fomu ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Ubungo
Mwanahabari mkongwe Saed Kubenea (pichani) achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge kupitia Chadema jimbo la Ubungo.
Saed Kubenea ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd., inayochapisha magazeti ya MwanaHALISI; MSETO; MwanaHALISI Online na MwanaHALISI Forum na ndiye mmiliki wa kampuni hiyo.
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mgana Msindai achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo ya Singida mjini kwa tiketi ya CHADEMA
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida na Mwenyekiti wa wenyeviti CCM mikoa ya Tanzania, Mgana Izumbe Msindai, akikabidhiwa fomu na msimamizi wa uchaguzi halmashauri ya manispaa ya Singida, Joseph Mchina ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya CHADEMA.(Picha na Nathaniel Limu).
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/kingwendu.jpg?width=650)
KINGWENDU ACHUKUA FOMU YA UBUNGE
10 years ago
Habarileo17 Jul
Msaidizi wa Kikwete achukua fomu ya ubunge
KATIBU wa Rais Jakaya Kikwete, Prosper Mbena amevunja ukimya wa minong’ono ya muda mrefu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, baada kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi ( CCM).
9 years ago
Michuzi14 Aug
MREMA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE
![IMAG0392 (3)](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/2qJk_vB3GsnOB4muUi4VB81yJHlVEhwWoNporLUWwmpLMZiCoQ_dxJZbMqhtRXMBNNWKjWXP_El2GrnwMQ36mWz-8qA-16wvq3JadEiWGtGzVACjB8TNjbFN-g=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/08/imag0392-3.jpg?w=660)
……………………………………………………………………………….. MGOMBEA ubunge jimbo la Vunjo na mwenyekiti wa chama cha TLP ,Agustino Lyatonga Mrema ametamba kuwa jimbo hilo ni mali yake na hayuko tayari kuona likichukuliwa na manyang’au aliodai wa Ukawa. Mrema alitoa kauli hiyo...
11 years ago
MichuziRidhwani achukua fomu za Ubunge Chalinze
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-uuGffEo_7IE/VdWPVKv4dxI/AAAAAAAAxyY/iurfB9OhGpc/s72-c/1.jpg)
NYALANDU ACHUKUA FOMU YA NEC KUWANIA UBUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-uuGffEo_7IE/VdWPVKv4dxI/AAAAAAAAxyY/iurfB9OhGpc/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gxTTflN12aE/VdWPTm4WA_I/AAAAAAAAxyQ/kXUr9AjgpLc/s640/2.jpg)