Lulu Arudi Instagram Kwa Kishindo!
Siku chache baada ya msanii wa maigizo nchini, Elizabeth Michael, maarufu kama lulu, kufunga account zake zote za mitandao ya kijamii, kwa kile kinachodaiwa kukwepa matusi na kashfa kutoka kwa baadhi ya maadui zake kufuatia kifo cha aliyekuwa mpenzi wake, mfanyabiashara maarufu seky.
Jana kupitia ukurasa wake mpya wa instagram unaofahamika kwa jina la "lizymichael ", msanii huyo mwenye mvuto wa aina yake alirudi rasmi baada ya kuona maneno yanazidi kwenye mitandao ya kijamii, na kuamua...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Brazil 2014: Ronaldo arudi kwa kishindo
9 years ago
StarTV20 Aug
Kaseja arudi kwa kishindo Mbeya City
Kaseja alijiunga na Simba SC mwaka 2002 akitokea Moro United kabla ya mwaka 2009, kuhamia Yanga kwa mwaka mmoja kabla ya kurejea Msimbazi mwaka...
10 years ago
Mtanzania09 May
Cameron arudi Downing Street kwa kishindo
LONDON, Uingereza
WAZIRI Mkuu wa Uingereza, David Cameron, anatarajia kuunda Serikali ya chama chake cha Conservative bila kuhitaji muungano au ushirikiano na vyama vingine tofauti na Serikali aliyokuwa akiiongoza kabla ya uchaguzi huu uliompa ushindi wa kishindo.
Hadi kufikia jana mchana matokeo yalikuwa yakionyesha kuwa chama chake kilikuwa kimeshinda viti 331 kati ya 635 ya matokeo yaliyokwisha patikana. Jumla ya viti vyote ni 650 na ili chama kiweze kuunda Serikali peke yake kinahitaji...
10 years ago
Bongo Movies10 Jun
Picha: Lulu Arudi Mzigoni Baada ya Kuadimika
Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye kwa muda sasa hajaonekana mbele ya kamera za kurekodi movies, leo kupitia ukurasa wake mtandaoni ame-share nasi picha hiyo hapo juu akiwa lokesheni waki-shoot Movie huku akionekana mwenye nguvu na furaha.
“Back to Work...Doing wat I always Do Best..! On Set", Lulu aliandika kwenye picha hiyo.
Hongera saba Lulu kwa kurudi kazini, mashabiki wako naamni wamefarijika na hii
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzPAF9To8NgdKVbXEzlatv--95rQu-iGKbnwfpVFj8-pqm-idMMgARCYQ6Hu6MdblRuzzea16UenMs65BNpTG3M2/lulu.jpg)
KIVAZI CHA LULU INSTAGRAM NI SHEEDAH!
10 years ago
GPLLULU AFUTA AKAUNTI YAKE INSTAGRAM
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/WJjevP4_beg/default.jpg)
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Dakika 7 za Lulu kuhusu kutoka na Tekno wa Nigeria, na caption za Kiswahili Instagram.
Kisa kizima kimeanzia Instagram kwenye picha zilizopostiwa, mwimbaji staa wa Nigeria Tekno miles ambaye alikuja Tanzania weekend iliyopita kwa ajili ya show ndio amehusishwa kama muhusika mkuu kwenye hii ishu, kuipata yote kuanzia mwanzo bonyeza play kwenye hii video hapa chini… Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO […]
The post Dakika 7 za Lulu kuhusu kutoka na Tekno wa Nigeria, na caption za Kiswahili Instagram. appeared first on...