Dakika 7 za Lulu kuhusu kutoka na Tekno wa Nigeria, na caption za Kiswahili Instagram.
Kisa kizima kimeanzia Instagram kwenye picha zilizopostiwa, mwimbaji staa wa Nigeria Tekno miles ambaye alikuja Tanzania weekend iliyopita kwa ajili ya show ndio amehusishwa kama muhusika mkuu kwenye hii ishu, kuipata yote kuanzia mwanzo bonyeza play kwenye hii video hapa chini… Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO […]
The post Dakika 7 za Lulu kuhusu kutoka na Tekno wa Nigeria, na caption za Kiswahili Instagram. appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Lulu Akanusha Kutoka na Tekno, Atoa Maelezo ya Kina
Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya.
Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram:
Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na Tekno Kwenye show yake Na alikuja kunisalimia kwenye meza Yangu,picha zote zilizopigwa Na yeye au mtu...
10 years ago
Bongo512 Nov
Afadhali: Sasa unaweza kurekebisha/kuedit caption kwenye Instagram
9 years ago
Bongo505 Jan
Lulu akanusha kula uroda na Tekno, atoa maelezo ya kina
![10661050_464736387045632_291073524_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/10661050_464736387045632_291073524_n-300x194.jpg)
Elizabeth ‘Lulu’ Michael amelazimika kuandika maelezo marefu kukanusha tetesi zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa alivunja amri ya sita na hitmaker wa Duro, Tekno aliyekuwepo Dar siku ya mwaka mpya.
Haya ni maelezo yake aliyoandika kwenye Instagram:
Okay…naona watu Mnatafutaga Topic Na mkipata picha story mnatungaga mnazozijua NI hivi….naomba heshima Na busara vitumike Nilikutana Na Tekno Kwenye show yake Na alikuja kunisalimia kwenye meza Yangu,picha zote zilizopigwa Na yeye au mtu...
10 years ago
Bongo519 Dec
New Video: Tekno Miles (Nigeria) — Anything
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DIpsX3jcHzPAF9To8NgdKVbXEzlatv--95rQu-iGKbnwfpVFj8-pqm-idMMgARCYQ6Hu6MdblRuzzea16UenMs65BNpTG3M2/lulu.jpg)
KIVAZI CHA LULU INSTAGRAM NI SHEEDAH!
10 years ago
Bongo Movies25 Apr
Lulu Arudi Instagram Kwa Kishindo!
Siku chache baada ya msanii wa maigizo nchini, Elizabeth Michael, maarufu kama lulu, kufunga account zake zote za mitandao ya kijamii, kwa kile kinachodaiwa kukwepa matusi na kashfa kutoka kwa baadhi ya maadui zake kufuatia kifo cha aliyekuwa mpenzi wake, mfanyabiashara maarufu seky.
Jana kupitia ukurasa wake mpya wa instagram unaofahamika kwa jina la "lizymichael ", msanii huyo mwenye mvuto wa aina yake alirudi rasmi baada ya kuona maneno yanazidi kwenye mitandao ya kijamii, na kuamua...
10 years ago
GPLLULU AFUTA AKAUNTI YAKE INSTAGRAM
9 years ago
Bongo522 Oct
Msanii wa Nigeria, Tekno akanusha kuwahi ‘kutembea’ na Masogange
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Tekno wa Nigeria kathibitisha Kolabo za Watanzania hawa watatu….
Hit Maker wa singo ya Duro kutoka Nigeria Tekno leo ametaja Wasanii wa Kitanzania ambao tayari ameshafanya nao kolabo ambao hajui lini nyimbo hizi zitatolewa rasmi. Kwenye interview yake na kipindi cha XXL kutoka Clouds Fm Tekno amesema mpaka sasa amesharekodi na Rummy,Vanessa Mdee na Diamond Platnumz. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]
The post Tekno wa Nigeria kathibitisha Kolabo za Watanzania hawa watatu…. appeared first on TZA_MillardAyo.