Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afadhali: Sasa unaweza kurekebisha/kuedit caption kwenye Instagram

Kwa muda mrefu watumiaji wa Instagram wamekuwa wakishindwa kurekebisha (kuedit) caption wanazoweka kwenye picha wanazopost kwenye Instagram. Matokeo yake ni kuwa baadhi ya picha hizo tumekuwa tukiziona zikiwa na maelezo yaliyokosewa na mtumiaji kushindwa kufanya chochote. Instagram sasa imeongeza kifaa cha kuedit maelezo. Updates mpya ya app hiyo kwenye iOS na Android inawapa watumiaji uwezo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Dakika 7 za Lulu kuhusu kutoka na Tekno wa Nigeria, na caption za Kiswahili Instagram.

Kisa kizima kimeanzia Instagram kwenye picha zilizopostiwa, mwimbaji staa wa Nigeria Tekno miles ambaye alikuja Tanzania weekend iliyopita kwa ajili ya show ndio amehusishwa kama muhusika mkuu kwenye hii ishu, kuipata yote kuanzia mwanzo bonyeza play kwenye hii video hapa chini… Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO […]

The post Dakika 7 za Lulu kuhusu kutoka na Tekno wa Nigeria, na caption za Kiswahili Instagram. appeared first on...

 

11 years ago

Michuzi

CULTURAL WARS SASA IMEKAMILIKA NA SASA UNAWEZA KUPATA COPY YAKO, PITIA HII TRAILER.

Filamu Mpya ya Cultural Wars Sasa Yapatikana! Wahi Kujipatia DVD! 

Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...

 

9 years ago

Mwananchi

MR BLUE :Sasa nimeacha kuvuta bangi asema ukiamua unaweza

Matumizi ya dawa za kulevya, hususan bangi bado ni changamoto kubwa kwa vijana wengi nchini ambapo hujikuta wakitumbukia katika ulevi kuishia kujutia maamuzi yao.

 

9 years ago

Bongo5

Instagram sasa ina watumiaji (active) zaidi ya milioni 400

Mtandao wa Instagram unaomilikiwa na kampuni ya Facebook, sasa umefikisha watumiaji zaidi ya milioni 400 duniani. Watumiaji wapya wa Instagram milioni 100 wameongezeka katika kipindi cha miezi tisa iliyopita na kuizidi Twitter yenye watumiaji milioni 316 active kila mwezi. Kampuni ya utafiti ya eMarketer imekadiria kuwa mapato yatokanayo na matangazo kwenye Instagram yatafikia dola bilioni […]

 

11 years ago

Michuzi

SASA UNAWEZA KUWAPIGIA KURA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) UWAPENDAO KUPITIA UKURASA WETU WA FACEBOOK

KAMA BADO HUJALIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KULIKE UKURASA WETU KWA KUFUATA KIUNGANISHI HIKIhttps://www.facebook.com/tztmt ukishalike ukurasa wetu fuata hatua hizo chini Ukurasa wetu ukifunguka Unaonekana kama Picha inavyoonyesha juu hapo Utafata hatua ya Kwanza kama ilivyoonyeshwa kwenye picha hizo.Ukishamaliza kumpigia kura mshiriki umpendae kwa kubofya kitufe kilichoandikwa VOTE utapokea ujumbe mfupi kwenye kioo chako na utakuwa tayari ushampigia kuraHatimae...

 

9 years ago

Mtanzania

Jay Z kujiondoa kwenye Instagram

Celebrities Attend The Chicago Bulls Vs Brooklyn Nets Playoff GameLOS ANGELES, Marekani

MSANII wa hip hop nchini Marekani, Jay Z, amepanga kujiondoa kwenye mtandao wa Instagram baada ya juzi kuweka picha ya marehemu Michael Jackson, ikikumbuka Agosti 29 ambayo ni siku ya kuzaliwa ya gwiji huyo wa muziki duniani.

Jay Z aliweka picha hiyo akiwa amepiga na gwiji huyo huku akiandika maneno yaliyosomeka: ‘Heri ya kuzaliwa mfalme wa muziki.’

“Hii inaweza kuwa ni picha yangu ya mwanzo na mwisho kuweka kwenye mtandao wa Instagram kwa kuwa sio mpenzi wa kutumia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Msako kwenye mtandao wa Instagram

Mtandao wa kijamii wa Instagram umefuta mamilioni ya akaunti za watumiaji wa mtandao huo ambazo zilikuwa zikituma ujumbe ovyo ovyo kwa watumiaji wengine wa mtandao huo.

 

9 years ago

Bongo5

Tyga kwa Future: Unaweza kumchukua Blac Chyna, nina demu mkali zaidi kwa sasa (Kylie Jenner)

Tyga hana tatizo na Future ambaye inadaiwa ana uhusiano na ‘baby mama’ wake Blac Chyna kwakuwa ana msichana mrembo zaidi kwa sasa – Kylie Jenner. Kulikuwepo na tetesi kuwa wawili hao waliowahi kushirikiana kwenye ngoma moja, Show You, wametofautiana kufuatia hatua hiyo kwa Future kuamua kuvunja masharti ya ‘ushkaji’ ya kuanza kutembea na shemeji yake […]

 

10 years ago

Vijimambo

UNAWEZA KUMTUMIA UJUMBE RAIS JAKAYA KIKWETE KUMJULIA HALI KWENYE NAMBA YAKE HAPO CHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Profesa Jakaya Kikwete ametoa namba yake maalum kwa wananchi waweze kumtumia ujumbe wa SMS kumjulia hali na kumpa pole, Mhe. Rais atapokea ujumbe wako na kuujibu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani