Afadhali: Sasa unaweza kurekebisha/kuedit caption kwenye Instagram
Kwa muda mrefu watumiaji wa Instagram wamekuwa wakishindwa kurekebisha (kuedit) caption wanazoweka kwenye picha wanazopost kwenye Instagram. Matokeo yake ni kuwa baadhi ya picha hizo tumekuwa tukiziona zikiwa na maelezo yaliyokosewa na mtumiaji kushindwa kufanya chochote. Instagram sasa imeongeza kifaa cha kuedit maelezo. Updates mpya ya app hiyo kwenye iOS na Android inawapa watumiaji uwezo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Dakika 7 za Lulu kuhusu kutoka na Tekno wa Nigeria, na caption za Kiswahili Instagram.
Kisa kizima kimeanzia Instagram kwenye picha zilizopostiwa, mwimbaji staa wa Nigeria Tekno miles ambaye alikuja Tanzania weekend iliyopita kwa ajili ya show ndio amehusishwa kama muhusika mkuu kwenye hii ishu, kuipata yote kuanzia mwanzo bonyeza play kwenye hii video hapa chini… Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO […]
The post Dakika 7 za Lulu kuhusu kutoka na Tekno wa Nigeria, na caption za Kiswahili Instagram. appeared first on...
11 years ago
MichuziCULTURAL WARS SASA IMEKAMILIKA NA SASA UNAWEZA KUPATA COPY YAKO, PITIA HII TRAILER.
Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...
9 years ago
Mwananchi11 Oct
MR BLUE :Sasa nimeacha kuvuta bangi asema ukiamua unaweza
9 years ago
Bongo528 Sep
Instagram sasa ina watumiaji (active) zaidi ya milioni 400
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PZdrBvKrT3c/U891FDtqFAI/AAAAAAAAaLo/iy_5HOHWBus/s72-c/1.jpg)
SASA UNAWEZA KUWAPIGIA KURA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) UWAPENDAO KUPITIA UKURASA WETU WA FACEBOOK
![](http://4.bp.blogspot.com/-PZdrBvKrT3c/U891FDtqFAI/AAAAAAAAaLo/iy_5HOHWBus/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-51jCQsUfTTI/U891D-BbUhI/AAAAAAAAaLY/cO73MoCYRxQ/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-my7Y5mcwXAQ/U891EJLx-QI/AAAAAAAAaLc/F0H73nNQP8o/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BmoMka0WJp0/U891Fp3XMmI/AAAAAAAAaLs/RkhLzNE9dFQ/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7UfXelPFviQ/U891GAKUYqI/AAAAAAAAaMA/6VTi1C2bzV4/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9b_W2zWJhF8/U891GlVKBvI/AAAAAAAAaL0/Lez3Dk81esc/s1600/6.jpg)
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Jay Z kujiondoa kwenye Instagram
LOS ANGELES, Marekani
MSANII wa hip hop nchini Marekani, Jay Z, amepanga kujiondoa kwenye mtandao wa Instagram baada ya juzi kuweka picha ya marehemu Michael Jackson, ikikumbuka Agosti 29 ambayo ni siku ya kuzaliwa ya gwiji huyo wa muziki duniani.
Jay Z aliweka picha hiyo akiwa amepiga na gwiji huyo huku akiandika maneno yaliyosomeka: ‘Heri ya kuzaliwa mfalme wa muziki.’
“Hii inaweza kuwa ni picha yangu ya mwanzo na mwisho kuweka kwenye mtandao wa Instagram kwa kuwa sio mpenzi wa kutumia...
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Msako kwenye mtandao wa Instagram
9 years ago
Bongo527 Oct
Tyga kwa Future: Unaweza kumchukua Blac Chyna, nina demu mkali zaidi kwa sasa (Kylie Jenner)
10 years ago
Vijimambo13 Nov
UNAWEZA KUMTUMIA UJUMBE RAIS JAKAYA KIKWETE KUMJULIA HALI KWENYE NAMBA YAKE HAPO CHINI