MR BLUE :Sasa nimeacha kuvuta bangi asema ukiamua unaweza
Matumizi ya dawa za kulevya, hususan bangi bado ni changamoto kubwa kwa vijana wengi nchini ambapo hujikuta wakitumbukia katika ulevi kuishia kujutia maamuzi yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies08 Mar
Jimmy:Nimeacha Kuvuta Bangi!
Mtayarishaji na mwigizaji wa filamu, Jimmy Mafufu amefunguka kwa kuweka wazi kama alikuwa ni mtumiaji wa kilevi hatari aina ya bangi lakini anashukru Mungu ameacha kutumia kilevi hicho sambamba na sigara na pombe kwani ni Mjukuu wa Askofu Asumwisye Mwaisabila.
“Toka niache kuvuta sigara nina mwezi mmoja nilianza kuacha pombe nikaacha kuvuta Bangi, nakupa ushuhuda unajua mimi ni mjukuu wa Askofu Asumwisye Mwaisabila mwalimu wa watu wa Mungu,”anasema Jimmy.
Jimmy ambaye hajabaisha Babu yake...
9 years ago
Bongo523 Oct
Tyga aapa kuwa hatakuja kuvuta bangi mbele ya mwanaye
9 years ago
Bongo512 Oct
Najuta kujiingiza kwenye matumizi ya bangi — Mr Blue
11 years ago
MichuziCULTURAL WARS SASA IMEKAMILIKA NA SASA UNAWEZA KUPATA COPY YAKO, PITIA HII TRAILER.
Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...
10 years ago
Bongo515 Dec
Shilole: Sio kwamba nimeacha kuigiza ila nafatutia timing, asema filamu ijayo itakuwa ni true story (Shilole In Dar)
10 years ago
BBCSwahili11 Apr
Mufti asema unaweza 'kumla' mkeo Saudia
10 years ago
Vijimambo12 Feb
Q Chief : “Mwambie TID aache kuvuta unga watu wote tushaacha sasa hivi..Tell him to do music not to talk about me”
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/q-chief6.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/tid_ray-c.jpg)
* Mwambie huyo Warioba kwamba Mugabe kakasirika kusikia...