Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jimmy:Nimeacha Kuvuta Bangi!

Mtayarishaji na mwigizaji wa filamu, Jimmy Mafufu amefunguka kwa kuweka wazi kama alikuwa ni mtumiaji wa kilevi hatari aina ya bangi lakini anashukru Mungu ameacha kutumia kilevi hicho sambamba na sigara na pombe kwani ni Mjukuu wa Askofu Asumwisye Mwaisabila.

“Toka niache kuvuta sigara nina mwezi mmoja nilianza kuacha pombe nikaacha kuvuta Bangi, nakupa ushuhuda unajua mimi ni mjukuu wa Askofu Asumwisye Mwaisabila mwalimu wa watu wa Mungu,”anasema Jimmy.

Jimmy ambaye hajabaisha Babu yake...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

MR BLUE :Sasa nimeacha kuvuta bangi asema ukiamua unaweza

Matumizi ya dawa za kulevya, hususan bangi bado ni changamoto kubwa kwa vijana wengi nchini ambapo hujikuta wakitumbukia katika ulevi kuishia kujutia maamuzi yao.

 

9 years ago

Bongo5

Tyga aapa kuwa hatakuja kuvuta bangi mbele ya mwanaye

Rapper Tyga ni baba wa mtoto mmoja wa kiume aliyempata na aliyekuwa mpenzi wake Blac Chyna. Katika kuonesha kuwa yeye ni baba bora na mwenye malezi mema kwa mtoto wake aitwaye King Cairo, rapper huyo ameapa kuwa kamwe hatawahi kuja kuvuta bangi mbele ya mwanaye mwenye miaka mitatu, wala kuruhusu mtu mwingine yeyote kufanya hivyo, […]

 

11 years ago

GPL

RECHO: NIMEACHA UTOTO

Stori: Gladness Mallya
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho’, amefunguka kuwa ameona umri umeanza kumtupa mkono hivyo ameacha kufanya matukio ya kitoto ambayo alikuwa akiyafanya kipindi cha nyuma. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Rachel Haule ‘Recho’. Pasipo kuainisha matukio ya utoto aliyoyafanya, Recho alisema:
“Nimekua sasa, yale mambo ya kitoto tupa kule sasa naangalia zaidi...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Juma Nature: Pombe nimeacha tangu mwaka jana

KAMA kawaida ya safu hii inakuletea maisha ya watu mbalimbali maarufu kuona wanaishi vipi katika maisha yao ya kawaida. Leo tunaye mwanamuziki  mkongwe  wa Bongo Fleva  na kiongozi  wa kundi la Wanaume Halisi, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature.

Juma Nature ni miongoni mwa wanamuziki wachache walioweza kudumu katika  Bongo Fleva kwa muda mrefu  na kuwa na mashabiki wengi ndani na nje ya Tanzania.

Mwanamuziki huyo alikuja na mtindo wa kipekee  katika muziki wake na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madhara ya kuvuta sigara

KAMA unavuta sigara acha kuvuta, kama hujaanza usianze.  Kwanini uache na kwanini usianze? Ni kwa kuwa tafiti nyingi zimeonesha kuwa ukivuta sigara unajipunguzia miaka ya kuishi. Makala ya wiki iliyopita...

 

10 years ago

Mwananchi

Marufuku kuvuta sigara hadharani

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid amesisitiaza tamko la kupiga marufuku uvutaji wa sigara katika maeneo ya umma ili kuilinda jamii kutokana na madhara yatokanayo na moshi wa sigara.

 

10 years ago

Michuzi

JIMMY MSAKI OBTUARY

Our dear sweet beloved father, son, brother, uncle and friend – JIMMY DIXON RAMMA MSAKI, Three years since you have passed away on August 28, 2011, after a brave difficult fight.
Our thoughts are ever with you, though you have passed away, and those who loved you dearly are thinking of you today.
Death separates our bodies, but our hearts remain the same Even after you have left our sight in our thoughts your light shines bright until we meet again.
“Do not be anxious about anything, but...

 

10 years ago

Mwananchi

Ney wa Mitego: Kuvuta jiko?…bado sana

Huenda ile dhana kwamba wasanii wanaogopa kuoa kwa sababu wanahisi watashuka chati, inaweza ikawa na ukweli ndani yake, kwa mujibu wa msanii nyota wa hiphop nchini, Ney wa Mitego.

 

5 years ago

BBCSwahili

'Baba alinifunza kunywa pombe na kuvuta sigara'

Fahamu maisha ya Anne yalivyokuwa baada ya kuwa mraibu wa pombe kupindukia alikorithishwa na baba yake mzazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani