Jimmy:Nimeacha Kuvuta Bangi!
Mtayarishaji na mwigizaji wa filamu, Jimmy Mafufu amefunguka kwa kuweka wazi kama alikuwa ni mtumiaji wa kilevi hatari aina ya bangi lakini anashukru Mungu ameacha kutumia kilevi hicho sambamba na sigara na pombe kwani ni Mjukuu wa Askofu Asumwisye Mwaisabila.
“Toka niache kuvuta sigara nina mwezi mmoja nilianza kuacha pombe nikaacha kuvuta Bangi, nakupa ushuhuda unajua mimi ni mjukuu wa Askofu Asumwisye Mwaisabila mwalimu wa watu wa Mungu,”anasema Jimmy.
Jimmy ambaye hajabaisha Babu yake...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Oct
MR BLUE :Sasa nimeacha kuvuta bangi asema ukiamua unaweza
9 years ago
Bongo523 Oct
Tyga aapa kuwa hatakuja kuvuta bangi mbele ya mwanaye
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqoCUxMpuHvHy4BEgDYgmDSJrDPZIP729LIl2tAp73vJy4FauyIoxLy2ZeCINwMn3VCR1CiZoUoZ-vgS1Ar2iRrz/snura.jpg?width=650)
RECHO: NIMEACHA UTOTO
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Juma Nature: Pombe nimeacha tangu mwaka jana
KAMA kawaida ya safu hii inakuletea maisha ya watu mbalimbali maarufu kuona wanaishi vipi katika maisha yao ya kawaida. Leo tunaye mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva na kiongozi wa kundi la Wanaume Halisi, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature.
Juma Nature ni miongoni mwa wanamuziki wachache walioweza kudumu katika Bongo Fleva kwa muda mrefu na kuwa na mashabiki wengi ndani na nje ya Tanzania.
Mwanamuziki huyo alikuja na mtindo wa kipekee katika muziki wake na...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Madhara ya kuvuta sigara
KAMA unavuta sigara acha kuvuta, kama hujaanza usianze. Kwanini uache na kwanini usianze? Ni kwa kuwa tafiti nyingi zimeonesha kuwa ukivuta sigara unajipunguzia miaka ya kuishi. Makala ya wiki iliyopita...
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Marufuku kuvuta sigara hadharani
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jhu0MaC-m08/U_78kfoqIvI/AAAAAAAGJ7w/-1JzKBSPTAo/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-08-28%2Bat%2B12.54.30%2BPM.png)
JIMMY MSAKI OBTUARY
![](http://3.bp.blogspot.com/-jhu0MaC-m08/U_78kfoqIvI/AAAAAAAGJ7w/-1JzKBSPTAo/s1600/Screen%2BShot%2B2014-08-28%2Bat%2B12.54.30%2BPM.png)
Our thoughts are ever with you, though you have passed away, and those who loved you dearly are thinking of you today.
Death separates our bodies, but our hearts remain the same Even after you have left our sight in our thoughts your light shines bright until we meet again.
“Do not be anxious about anything, but...
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Ney wa Mitego: Kuvuta jiko?…bado sana
5 years ago
BBCSwahili27 May
'Baba alinifunza kunywa pombe na kuvuta sigara'