Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madhara ya kuvuta sigara

KAMA unavuta sigara acha kuvuta, kama hujaanza usianze.  Kwanini uache na kwanini usianze? Ni kwa kuwa tafiti nyingi zimeonesha kuwa ukivuta sigara unajipunguzia miaka ya kuishi. Makala ya wiki iliyopita...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Marufuku kuvuta sigara hadharani

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid amesisitiaza tamko la kupiga marufuku uvutaji wa sigara katika maeneo ya umma ili kuilinda jamii kutokana na madhara yatokanayo na moshi wa sigara.

 

5 years ago

BBCSwahili

'Baba alinifunza kunywa pombe na kuvuta sigara'

Fahamu maisha ya Anne yalivyokuwa baada ya kuwa mraibu wa pombe kupindukia alikorithishwa na baba yake mzazi.

 

10 years ago

Mwananchi

Atupwa mahabusi kwa kuvuta sigara eneo la mahakama

Mfanyabiashara wa Moshi Mjini, Lenana Marealle amejikuta matatani baada ya kuwekwa mahabusi kwa saa tatu kwa amri ya jaji baada ya kuvuta sigara eneo la Mahakama Kuu Kanda ya Moshi.

 

11 years ago

Bongo5

Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!

Kundi la waamuzi wa kesi (jury) katika mahakama ya Florida nchini Marekani limeiamuru kampuni ya sigara ya RJ Reynolds Tobacco kumlipa mwanamke aliyefiwa na mume wake kwa saratani ya mapafu dola bilioni 23.6. Adhabu hiyo inajulikana kitaalum kama ‘Punitive damages’ na hutolewa kuyakatisha tamaa makampuni au watu kufanya mambo mabaya huku fidia au ‘compensatory damages’ […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Jimmy:Nimeacha Kuvuta Bangi!

Mtayarishaji na mwigizaji wa filamu, Jimmy Mafufu amefunguka kwa kuweka wazi kama alikuwa ni mtumiaji wa kilevi hatari aina ya bangi lakini anashukru Mungu ameacha kutumia kilevi hicho sambamba na sigara na pombe kwani ni Mjukuu wa Askofu Asumwisye Mwaisabila.

“Toka niache kuvuta sigara nina mwezi mmoja nilianza kuacha pombe nikaacha kuvuta Bangi, nakupa ushuhuda unajua mimi ni mjukuu wa Askofu Asumwisye Mwaisabila mwalimu wa watu wa Mungu,”anasema Jimmy.

Jimmy ambaye hajabaisha Babu yake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mmeamua kuvuta sahani yote ya chakula kwenu?

SASA nimeelewa kwanini watu wengine hupiga magoti wanapoomba kura. Kumbe ukipata kura ni sawa na kupata kula eh? Chah! Iwezekane vipi mtu aliyefanya kazi kwa miaka mitano, tena bila kupima...

 

10 years ago

Mwananchi

Ney wa Mitego: Kuvuta jiko?…bado sana

Huenda ile dhana kwamba wasanii wanaogopa kuoa kwa sababu wanahisi watashuka chati, inaweza ikawa na ukweli ndani yake, kwa mujibu wa msanii nyota wa hiphop nchini, Ney wa Mitego.

 

10 years ago

CloudsFM

PROFESA JAY : FANANI AMEACHA KUVUTA MADAWA, HBC INARUDI

Lile kundi la hiphop HBC lilikuwa linaundwa na Msanii mkongwe wa Bongo Fleva,Profesa Jay, Big Wille pamoja na Fanani, ambao walikuwa pamoja kuanzia miaka ya tisini hadi miaka ya 2000 mwanzoni walipotea kwenye game baada ya kuachia album ya Funga Kazi iliyokuWa na ngoma kadhaa kama Chemsha Bongo na Niamini.Kundi hilo linatarajiwa kurudi kwenye ramani ya Bongo Fleva chini ya studio za Mwanalizombe zinazomilikiwa na Profesa Jay.Prof.J akazungumzia hali ya Fanani ambaye alikuwa ameathirika na...

 

9 years ago

Mwananchi

MR BLUE :Sasa nimeacha kuvuta bangi asema ukiamua unaweza

Matumizi ya dawa za kulevya, hususan bangi bado ni changamoto kubwa kwa vijana wengi nchini ambapo hujikuta wakitumbukia katika ulevi kuishia kujutia maamuzi yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani