Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!
Kundi la waamuzi wa kesi (jury) katika mahakama ya Florida nchini Marekani limeiamuru kampuni ya sigara ya RJ Reynolds Tobacco kumlipa mwanamke aliyefiwa na mume wake kwa saratani ya mapafu dola bilioni 23.6. Adhabu hiyo inajulikana kitaalum kama ‘Punitive damages’ na hutolewa kuyakatisha tamaa makampuni au watu kufanya mambo mabaya huku fidia au ‘compensatory damages’ […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Atupwa mahabusi kwa kuvuta sigara eneo la mahakama
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-P2cXX-M8wxA/VWwh2jF4OII/AAAAAAAAB2U/nmXv_yLlZds/s72-c/image001-%25282%2529.jpg)
SHERIA KWA WAUZAJI NA WAVUTAJI WA SIGARA NCHINI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2cXX-M8wxA/VWwh2jF4OII/AAAAAAAAB2U/nmXv_yLlZds/s400/image001-%25282%2529.jpg)
Nchi hiyo imerudi kwenye headlines tena na safari hii Serikali imeweka wazi mikakati yake...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mti wa Krismasi uliotengenezwa kwa visu, risasi, na viberiti vya kuwashia sigara
10 years ago
Vijimambo16 Jun
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Madhara ya kuvuta sigara
KAMA unavuta sigara acha kuvuta, kama hujaanza usianze. Kwanini uache na kwanini usianze? Ni kwa kuwa tafiti nyingi zimeonesha kuwa ukivuta sigara unajipunguzia miaka ya kuishi. Makala ya wiki iliyopita...
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Sigara yamponza Szczesny
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
Uraibu wa sigara wawavutia wengi
11 years ago
KwanzaJamii01 Jun
Zijue athari za uvutaji sigara
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Marufuku kuvuta sigara hadharani