SHERIA KWA WAUZAJI NA WAVUTAJI WA SIGARA NCHINI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2cXX-M8wxA/VWwh2jF4OII/AAAAAAAAB2U/nmXv_yLlZds/s72-c/image001-%25282%2529.jpg)
China iliwahi kupitisha sheria ya kusitisha uvutaji wa sigara katika maeneo ya wazi pamoja na maeneo ya shule na hospitali lakini haikuweza kutekelezeka kwa mara ya kwanza.Ingawa kuna baadhi ya nchi kama Jamaica ambapo uvutaji sigara ama bangi si kitu cha ajabu lakini kwa upande wa China sasa kitendo hicho kimeonekana ni kosa kubwa na Serikali imeanza mikakati ya kuhakikisha inatokomeza uvutaji sigara.
Nchi hiyo imerudi kwenye headlines tena na safari hii Serikali imeweka wazi mikakati yake...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Wavutaji sigara waonywa wasipuuze kikohozi
10 years ago
BBCSwahili25 Feb
Sigara kuwaua wavutaji 2 katika kila 3
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Namna GMO itakavyosaidia wavutaji kuachana na sigara
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Utafiti: Wanawake wavutaji sigara huacha kuzaa mapema
5 years ago
BBCSwahili26 May
Wavutaji sigara Afrika Kusini wahangaika kufwatia marufuku.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--SuldJ7GcXA/XptSgs2eNII/AAAAAAALnYE/DC1K7DMwe20KSUNWucTYPlHscGcvgMNMACLcBGAsYHQ/s72-c/sugar%2Bof%2Btanzania.jpg)
11 years ago
Bongo521 Jul
Kampuni ya sigara yaamriwa kumlipa mjane wa mvuta sigara aliyekufa kwa kansa ya mapafu dola bil.26.6!
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Marufuku uvutaji sigara China
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Utafiti waonesha hatari ya sigara, China