Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ONYO KWA WASAMBAZAJI NA WAUZAJI WA SUKARI NCHINI


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Wazalishaji, wasambazaji waaswa kuingiza Sukari sokoni

Na Neema Ndetto,

Dar es Salaam

 

Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imewaagiza wazalishaji na wasambazaji wakubwa wa sukari nchini kuingiza Sukari sokoni na kuhakikisha inapatikana kwa bei ambayo watanzania wanaweza kuimudu.

 

Maagizo hayo yametolewa baada ya Serikali kuzuia sukari ya nje kuuzwa hapa nchini hali iliyosababisha kupanda kwa bei ya sukari kati ya shilingi 2500 hadi 3000.

cialis nitrato

 

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Waziri wa Kilimo,...

 

5 years ago

Press

Huawei yaahidi kutoa motisha kwa wasambazaji wao nchini Tanzania.

Huawei yasaidia ukuaji wa wadau Tanzania.

Mkutano wa wauzaji wa simu za Huawei Device Tanzania 2016.

1. DEPUTY MD make first

Bw. Wang Guang Jun, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Huawei Device Tanzania akitoa hotuba katika mkutano na wauzaji wa simu za Huawei ujulikanao kama Huawei Device Tanzania Dealer Congress 2016 uliofanyika katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii.

Hivi karibuni Kampuni ya Huawei Device Tanzania ilifanya mkutano wake wa kwanza wa wasambazaji wa simu za mkononi wakitilia...

 

10 years ago

Africanjam.Com

SHERIA KWA WAUZAJI NA WAVUTAJI WA SIGARA NCHINI CHINA

China iliwahi kupitisha sheria ya kusitisha uvutaji wa sigara katika maeneo ya wazi pamoja na maeneo ya shule na hospitali lakini haikuweza kutekelezeka kwa mara ya kwanza.Ingawa kuna baadhi ya nchi kama Jamaica ambapo uvutaji sigara ama bangi si kitu cha ajabu lakini kwa upande wa China sasa kitendo hicho kimeonekana ni kosa kubwa na Serikali imeanza mikakati ya kuhakikisha inatokomeza uvutaji sigara.
Nchi hiyo imerudi kwenye headlines tena na safari hii Serikali imeweka wazi mikakati yake...

 

9 years ago

Michuzi

RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla akiwa kwenye ukaguzi wa kiwanda cha sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani humo, kama sehemu ya kuangalia hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. Picha na Mpigapicha wetu.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro

MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...

 

9 years ago

Dewji Blog

Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza latoa onyo kali kwa wanaobeza Uislamu nchini

Jana Ijumaa ya Octoba 16,2015 Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza liliungana na Waislamu wengine kuadhimisha mwaka mpya wa Kiislamu ambao ni 1437.  Kwa kalenda ya Kiislamu sherehe hizo zilifanyika jana tarehe mbili, mwezi Muharamu mwaka wa 1437 (02.01.1437) ikiwa maadhimisho yanayoambatana na kumbukumbu ya Kuhama kwa Mtume Muhammad kutoka Mji wa Macca kwenda Madina. [MWANZA] Katika kuadhimisha sherehe hizo, Baraza hilo kupitia kwa Katibu wake Mkoani Mwanza Sheikh Mohamed Balla (Kulia...

 

10 years ago

GPL

WASAMBAZAJI NA WATAYARISHAJI WA FILAMU NCHINI UTATA MTUPU

Baadhi ya waandaji wa filamu, Chiki Mchoma (kushoto), Wastara  na Jimmy Mafufu. Msanii Bond bin Suleman akichangia hoja. KUFUATIA baadhi ya wadau kutangaza kushusha bei ya filamu  nchini, baadhi ya wasanii, wasambazaji na watayarishaji wamejikuta wakigawanyika huku wengine wakionekana kukubali na wengine kupinga kitendo hicho.
Leo… ...

 

9 years ago

StarTV

 Serikali kuangalia upya bei ya Sukari nchini

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amesema Serikali imejipanga kuhakikisha kunakuwepo na uwiano sawa kati ya bei ya sukari inayotokana na viwanda vya ndani na inayoagizwa nje ya nchi.

Waziri Mwijage amesema hilo linaweza kufanikiwa kwa kupunguza baadhi ya gharama za uzalishaji zisizo na tija kwa viwanda vya ndani.

Kiwanda cha sukari cha Kagera kilichopo katika wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera, moja ya kiwanda kinachotegemewa mno katika uzalishaji wa sukari hapa...

 

9 years ago

Mtanzania

Sukari kutoka nje inavyoua viwanda vya nchini

MTZ UCHUMI HII SAFI.inddMTZ UCHUMI HII SAFI.indd>>TPC wataka itozwe kodi ya asilimia 100

NA UPENDO MOSHA, MOSHI

TANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazoendelea Afrika kupitia sekta mbalimbali za kiuchumi vikiwemo viwanda.
Licha ya umuhimu wa viwanda hivyo bado kumekuwa hakuna sera madhubuti zinazolenga kuboresha na kuendeleza
viwanda vya ndani.

Sekta hiyo bado inakabiliwa na changamoto nyingi kiasi cha kuchelewesha malengo yaliokusudiwa ya kukuza uchumi na maisha bora kwa wananchi wake.

Sera zilizopo zinaruhusu kuuzwa kwa bidhaa mbalimbali...

 

5 years ago

Michuzi

SUKARI YAZIDI KUADIMIKA NCHINI, WANANCHI WAISAKA KILA KONA


Na Said Mwishehe,Michuzi TV

KILIO cha kuadimika kwa sukari nchini kimeendelea kushika kasi kutokana na uhaba mkubwa uliopo na wananchi wanapobahatisha kuipata bei yake ni kubwa kwani kilo moja ya sukari inauzwa hadi Sh.4,000 badala ya Sh.2,600.

Kutokana na kuadimika huko wananchi wa maeno mbalimbali nchini wameendelea kupaza sauti zao kwa Serikali kuona hatua inayoweza kuchukua kuhakikisha sukari inapatikana na kwa bei ambayo itakuwa rahisi kuimudu.

Katika Jiji la Dar es Salaam pamoja na majiji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani