ONYO KWA WASAMBAZAJI NA WAUZAJI WA SUKARI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/--SuldJ7GcXA/XptSgs2eNII/AAAAAAALnYE/DC1K7DMwe20KSUNWucTYPlHscGcvgMNMACLcBGAsYHQ/s72-c/sugar%2Bof%2Btanzania.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV13 Feb
Wazalishaji, wasambazaji waaswa kuingiza Sukari sokoni
Na Neema Ndetto,
Dar es Salaam
Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imewaagiza wazalishaji na wasambazaji wakubwa wa sukari nchini kuingiza Sukari sokoni na kuhakikisha inapatikana kwa bei ambayo watanzania wanaweza kuimudu.
Maagizo hayo yametolewa baada ya Serikali kuzuia sukari ya nje kuuzwa hapa nchini hali iliyosababisha kupanda kwa bei ya sukari kati ya shilingi 2500 hadi 3000.
cialis nitrato
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Waziri wa Kilimo,...
5 years ago
Press13 Feb
Huawei yaahidi kutoa motisha kwa wasambazaji wao nchini Tanzania.
Huawei yasaidia ukuaji wa wadau Tanzania.
Mkutano wa wauzaji wa simu za Huawei Device Tanzania 2016.
Bw. Wang Guang Jun, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Huawei Device Tanzania akitoa hotuba katika mkutano na wauzaji wa simu za Huawei ujulikanao kama Huawei Device Tanzania Dealer Congress 2016 uliofanyika katika hoteli ya Double Tree jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki hii.
Hivi karibuni Kampuni ya Huawei Device Tanzania ilifanya mkutano wake wa kwanza wa wasambazaji wa simu za mkononi wakitilia...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-P2cXX-M8wxA/VWwh2jF4OII/AAAAAAAAB2U/nmXv_yLlZds/s72-c/image001-%25282%2529.jpg)
SHERIA KWA WAUZAJI NA WAVUTAJI WA SIGARA NCHINI CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2cXX-M8wxA/VWwh2jF4OII/AAAAAAAAB2U/nmXv_yLlZds/s400/image001-%25282%2529.jpg)
Nchi hiyo imerudi kwenye headlines tena na safari hii Serikali imeweka wazi mikakati yake...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s72-c/Sukari%2B1.jpg)
RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje
![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s640/Sukari%2B1.jpg)
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza latoa onyo kali kwa wanaobeza Uislamu nchini
10 years ago
GPLWASAMBAZAJI NA WATAYARISHAJI WA FILAMU NCHINI UTATA MTUPU
9 years ago
StarTV07 Jan
 Serikali kuangalia upya bei ya Sukari nchini
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage amesema Serikali imejipanga kuhakikisha kunakuwepo na uwiano sawa kati ya bei ya sukari inayotokana na viwanda vya ndani na inayoagizwa nje ya nchi.
Waziri Mwijage amesema hilo linaweza kufanikiwa kwa kupunguza baadhi ya gharama za uzalishaji zisizo na tija kwa viwanda vya ndani.
Kiwanda cha sukari cha Kagera kilichopo katika wilaya ya Missenyi Mkoani Kagera, moja ya kiwanda kinachotegemewa mno katika uzalishaji wa sukari hapa...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Sukari kutoka nje inavyoua viwanda vya nchini
>>TPC wataka itozwe kodi ya asilimia 100
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
TANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazoendelea Afrika kupitia sekta mbalimbali za kiuchumi vikiwemo viwanda.
Licha ya umuhimu wa viwanda hivyo bado kumekuwa hakuna sera madhubuti zinazolenga kuboresha na kuendeleza
viwanda vya ndani.
Sekta hiyo bado inakabiliwa na changamoto nyingi kiasi cha kuchelewesha malengo yaliokusudiwa ya kukuza uchumi na maisha bora kwa wananchi wake.
Sera zilizopo zinaruhusu kuuzwa kwa bidhaa mbalimbali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ig3NUNdMX8o/Xrjp87sTkjI/AAAAAAALpus/ozNoMaGoJPA4XP0vZL5v45N7bDnW8CsMwCLcBGAsYHQ/s72-c/sukari..jpg)
SUKARI YAZIDI KUADIMIKA NCHINI, WANANCHI WAISAKA KILA KONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ig3NUNdMX8o/Xrjp87sTkjI/AAAAAAALpus/ozNoMaGoJPA4XP0vZL5v45N7bDnW8CsMwCLcBGAsYHQ/s640/sukari..jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KILIO cha kuadimika kwa sukari nchini kimeendelea kushika kasi kutokana na uhaba mkubwa uliopo na wananchi wanapobahatisha kuipata bei yake ni kubwa kwani kilo moja ya sukari inauzwa hadi Sh.4,000 badala ya Sh.2,600.
Kutokana na kuadimika huko wananchi wa maeno mbalimbali nchini wameendelea kupaza sauti zao kwa Serikali kuona hatua inayoweza kuchukua kuhakikisha sukari inapatikana na kwa bei ambayo itakuwa rahisi kuimudu.
Katika Jiji la Dar es Salaam pamoja na majiji...