WASAMBAZAJI NA WATAYARISHAJI WA FILAMU NCHINI UTATA MTUPU
Baadhi ya waandaji wa filamu, Chiki Mchoma (kushoto), Wastara na Jimmy Mafufu. Msanii Bond bin Suleman akichangia hoja. KUFUATIA baadhi ya wadau kutangaza kushusha bei ya filamu nchini, baadhi ya wasanii, wasambazaji na watayarishaji wamejikuta wakigawanyika huku wengine wakionekana kukubali na wengine kupinga kitendo hicho. Leo… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI
10 years ago
Bongo Movies19 Jan
Sakata la kushushwa kwa bei za filamu.Watayarishaji filamu nao waibuka
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wasambazaji wa Filamu za nje watakiwa kufuata sheria ya Ukaguzi wa Filamu!
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akisisitiza jambo juu ya Sheria ya Ukaguzi wa Filamu nchini kwa baadhi ya wawakilishi wa Wasambazaji wa Filamu za nje nchini wakati walipokutana ofisini kwake jana jijini Dar es Salaam.
Na: Frank Shija, WHVUM
[DAR ES SALAAM] Wasambazaji wa Filamu za nje wametakiwa kuwasilisha filamu wanazosambaza katika ofisi za Bodi ya Filamu kwa ajili ya ukaguzi mapema ifikapo tarehe 30 mezi huu.
Agizo hilo limetolewa na Katibu Mtendaji wa Bodi...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Watayarishaji filamu nao waibuka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDnEqQYbuL9Dv9gjOBcdRf8-ngxe*YvAhBJtSMdGCLHNNc0P68Oqvc1pdIqhgbpyUQtbiJMKS8Q3hr3VcNWqYziG6prhSRpA/BMW.jpg?width=650)
BMW LA WEMA UTATA MTUPU
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Kashfa IPTL utata mtupu
WAKATI Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), akitamba kuendelea kupiga kelele hadi fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Escrow zirudishwe, suala hilo linazidi kugubikwa na utata, Tanzania Daima Jumatano limebaini....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHBgOMceW94qX041JvUS*tUgSkZktPMm*D5Oh-F787nhjWY7I53ZQO0fxLEbblQscFb3egjAYjsw-92brpSq-a8/gurumo.jpg?width=650)
GARI LA GURUMO UTATA MTUPU
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Uandikishaji Darasa la Kwanza utata mtupu
10 years ago
Bongo Movies02 Jan
Mimba ya Aunty Ezekiel Utata Mtupu!
Mwigizaji wa filamu hapa bongo, Aunt Ezekiel amefunguka kuwa, licha ya ujauzito wake kuwa mkubwa, mume wake Sunday Demonte hana taarifa yoyote juu ya kitumbo hicho
Kwa mujibu wa mtu wa karibu na mwigizaji huyo, amethibitisha kwamba ni kweli ujauzito wa Aunty sio wa mume wake ni wa dansa wa Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ aitwaye Moses Iyobo.
“Ni kweli ujauzito wa Aunty ni wa mpenzi wake na si mumewe. Unajua anatoka na Iyobo na wawili hao bado wanaonekana pamoja, hafanyi tena safari za...