Wazalishaji, wasambazaji waaswa kuingiza Sukari sokoni
Na Neema Ndetto,
Dar es Salaam
Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imewaagiza wazalishaji na wasambazaji wakubwa wa sukari nchini kuingiza Sukari sokoni na kuhakikisha inapatikana kwa bei ambayo watanzania wanaweza kuimudu.
Maagizo hayo yametolewa baada ya Serikali kuzuia sukari ya nje kuuzwa hapa nchini hali iliyosababisha kupanda kwa bei ya sukari kati ya shilingi 2500 hadi 3000.
cialis nitrato
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Waziri wa Kilimo,...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ-7-ByR5t2kDW51B0pganxbe1K0qw6o8PVg*Hr-NSsDt*T85kyVmARMnrzISmYwqyYrzW4u4udWxy7rQIXLzZtP/unnamed1.jpg?width=650)
WASIRA AAGIZA WADAU WA SUKARI KUINGIZA SOKONI BIDHAA HIYO BADALA YA KUIFUNGIA GHALANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rOupGOl8G-U/VNw0WXwIh9I/AAAAAAAHDPA/4h6EAezEPGk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Wasira aagiza wadau wa Sukari kuingiza sokoni bidhaa hiyo badala ya kuifungia ghalani
10 years ago
Habarileo06 Nov
Wazalishaji sukari watishia kufunga viwanda
WAZALISHAJI wa sukari nchini wametishia kufunga viwanda vyao iwapo Serikali itashindwa kuchukua uamuzi sahihi utakaosaidia kunusuru viwanda vya ndani kwa manufaa ya sera ya kukuza uchumi wa wananchi na taifa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--SuldJ7GcXA/XptSgs2eNII/AAAAAAALnYE/DC1K7DMwe20KSUNWucTYPlHscGcvgMNMACLcBGAsYHQ/s72-c/sugar%2Bof%2Btanzania.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Goshashy kuingiza sokoni ‘Pepeto’
MWANAMUZIKI wa nyimbo za Injili, Ruben Goshashy, anatarajiwa kuingiza sokoni albamu mpya ya nyimbo za injili itakayokwenda kwa jina la ‘Pepeto’ ambayo inazungumzia jinsi maisha yanavyobadilika kutoka kwenye anasa hadi...
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Waruhusiwa kuingiza bidhaa sokoni
10 years ago
Habarileo03 Nov
Tanzania kuingiza hewa ya ukaa sokoni
WIZARA ya Maliasili na Utalii imeahidi kuiingiza Tanzania katika biashara ya kimataifa ya uuzaji wa hewa ya ukaa duniani kama moja ya kipato kipya kwa serikali pamoja na wananchi mmoja mmoja.
11 years ago
Bongo521 Jul
Tudd Thomas afuata nyayo za Dr. Dre, kuingiza sokoni headphone zake ‘TTP’
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s72-c/Sukari%2B1.jpg)
RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje
![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s640/Sukari%2B1.jpg)
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...