Wazalishaji sukari watishia kufunga viwanda
WAZALISHAJI wa sukari nchini wametishia kufunga viwanda vyao iwapo Serikali itashindwa kuchukua uamuzi sahihi utakaosaidia kunusuru viwanda vya ndani kwa manufaa ya sera ya kukuza uchumi wa wananchi na taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Watishia kufunga viwanda vya bia na vya pombe kali
10 years ago
StarTV13 Feb
Wazalishaji, wasambazaji waaswa kuingiza Sukari sokoni
Na Neema Ndetto,
Dar es Salaam
Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imewaagiza wazalishaji na wasambazaji wakubwa wa sukari nchini kuingiza Sukari sokoni na kuhakikisha inapatikana kwa bei ambayo watanzania wanaweza kuimudu.
Maagizo hayo yametolewa baada ya Serikali kuzuia sukari ya nje kuuzwa hapa nchini hali iliyosababisha kupanda kwa bei ya sukari kati ya shilingi 2500 hadi 3000.
cialis nitrato
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Waziri wa Kilimo,...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Watishia kufunga lango la Ngorongoro
MADIWANI wa Halmashauri ya Ngorongoro mkoani Arusha, wameitaka serikali kutekeleza ahadi yake ya kupeleka chakula kwa wakazi wa Tarafa ya Ngorongoro ambao wanakabiliwa na njaa hivi sasa ili kuzuia mpango...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Tanga watishia kufunga maduka kugomea EFD
11 years ago
Mwananchi31 Dec
Wafugaji sasa watishia kufunga mnada Dumila
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Viwanda vya sukari visipolindwa vitakufa
10 years ago
MichuziJUKATA WATAJA MAADUI WAWILI WA KATIBA MPYA, WATISHIA KWENDA DODOMA KUFUNGA MILANGO YA BUNGE
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Sukari kutoka nje inavyoua viwanda vya nchini
>>TPC wataka itozwe kodi ya asilimia 100
NA UPENDO MOSHA, MOSHI
TANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazoendelea Afrika kupitia sekta mbalimbali za kiuchumi vikiwemo viwanda.
Licha ya umuhimu wa viwanda hivyo bado kumekuwa hakuna sera madhubuti zinazolenga kuboresha na kuendeleza
viwanda vya ndani.
Sekta hiyo bado inakabiliwa na changamoto nyingi kiasi cha kuchelewesha malengo yaliokusudiwa ya kukuza uchumi na maisha bora kwa wananchi wake.
Sera zilizopo zinaruhusu kuuzwa kwa bidhaa mbalimbali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-J0Jox4OFFSk/VL5l9jg-o9I/AAAAAAAG-fg/hJ50pEzpMs8/s72-c/DSC_0211.jpg)
NJIA ZA "PANYA" ZA SUKARI ZINAUA VIWANDA VYA NDANI - ZITTO KABWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-J0Jox4OFFSk/VL5l9jg-o9I/AAAAAAAG-fg/hJ50pEzpMs8/s1600/DSC_0211.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4QY98YZDOUE/VL5l_0aR6YI/AAAAAAAG-fo/q1MPNOR8BWs/s1600/DSC_0239.jpg)