Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NJIA ZA "PANYA" ZA SUKARI ZINAUA VIWANDA VYA NDANI - ZITTO KABWE

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Mashirika ya Umma (PAC),Mh. Zitto Kabwe (wa tatu kulia) akizungumza wakati akiongoza kikao cha Kamati yake na Uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kilichofanyika kwenye ofisi ndogo za Bunge,Jijini Dar es salaam leo.Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Rished Bade akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Mashirika ya Umma (PAC) na  Uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kilichofanyika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Viwanda vya sukari visipolindwa vitakufa

Limejitokeza tatizo kubwa hivi sasa kwa viwanda vyetu vya sukari nchini kuzalisha kiasi kikubwa cha sukari ambacho hakina soko.

 

9 years ago

Mtanzania

Sukari kutoka nje inavyoua viwanda vya nchini

MTZ UCHUMI HII SAFI.inddMTZ UCHUMI HII SAFI.indd>>TPC wataka itozwe kodi ya asilimia 100

NA UPENDO MOSHA, MOSHI

TANZANIA ni miongoni mwa nchi zinazoendelea Afrika kupitia sekta mbalimbali za kiuchumi vikiwemo viwanda.
Licha ya umuhimu wa viwanda hivyo bado kumekuwa hakuna sera madhubuti zinazolenga kuboresha na kuendeleza
viwanda vya ndani.

Sekta hiyo bado inakabiliwa na changamoto nyingi kiasi cha kuchelewesha malengo yaliokusudiwa ya kukuza uchumi na maisha bora kwa wananchi wake.

Sera zilizopo zinaruhusu kuuzwa kwa bidhaa mbalimbali...

 

5 years ago

Michuzi

BASHUNGWA AWATAKA WENYE VIWANDA VYA SUKARI KUREJEA MIKATABA YA UBINAFSISHWAJI

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa amewataka wenye viwanda vya sukari nchini kurejea mikataba ya uzalishaji walioafikiana na Serikali kujiridhisha iwapo inaenda sambamba na masharti waliokubaliana.
Mhe. Bashungwa aliyasema hayo mkoani Kilimanjaro alipofanya ziara katika kiwanda cha cha kuzalisha sukari cha TPC ili kujiridhisha na hali ya uzalishaji viwandani hapa.
Kuna viwanda vinne Kagera sugar, Mtibwa Sugar, Kilombero Sugar na TPC wakati vinabinafsishwa vilipewa malengo...

 

10 years ago

GPL

ZITO KABWE AWAACHA NJIA PANDA WANANCHI VIWANJA VYA MWEMBEYANGA DAR

Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akihutubia.  Wafuasi wa ACT Wazalendo wakitoa burudani.
Burudani ikiendelea. KIONGOZI Mkuu wa Chama Cha ACT – Wazalendo, Zitto Zuber Kabwe jana…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye ataka viwanda vya ndani vilindwe

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema kuwa ni vigumu kuuondoa umaskini nchini kama serikali haitaongeza uuzaji wa bidhaa zake nje ya nchi. Alisema serikali pia lazima ivilinde viwanda vyake vichanga...

 

10 years ago

Habarileo

Wazalishaji sukari watishia kufunga viwanda

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher ChizaWAZALISHAJI wa sukari nchini wametishia kufunga viwanda vyao iwapo Serikali itashindwa kuchukua uamuzi sahihi utakaosaidia kunusuru viwanda vya ndani kwa manufaa ya sera ya kukuza uchumi wa wananchi na taifa.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE RITA KABATI AOMBA USHURU WA MAZIWA KUTOKA NJE YA NCHI UONGEZWE ILI KULINDA VIWANDA VYA NDANI

MBUNGE wa Viti Maalum mkoa wa Iringa, Rita Kabati ameiomba Serikali kuongeza kodi ya ushuru wa bidhaa ya maziwa kutoka nje ili kulinda viwanda vya ndani.

Aidha, Kabati ameipongeza Kampuni ya Kuzalisha Maziwa ya ASAS ya mjini Iringa kwa kutumia fursa ya kuongeza ushuru wa bidhaa kwa kuzalisha maziwa mengi.

Kabati ametoa ombi na pongezi hizo Bungeni jiini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa na Waziri wa Luhaga Mpina.

Mbunge huyo wa Viti Maalum alisema...

 

10 years ago

Mwananchi

Ruzuku ‘kiduchu’ zinaua elimu vyuo vya umma

>Taasisi mojawapo ya elimu nchini, ilipotaka kufanya ujenzi wa majengo kwa ajili ya maendeleo ya chuo hicho ambacho kinamilikiwa na serikali, ilituma mapendekezo na maombi ya ruzuku kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo ambao kimsingi kilikubaliwa.

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene akiongozana na  Meneja Ufundi wa Kiwanda cha Magurudumu cha General Tyre cha jijini Arusha, Elias Pallangyo,alipofanya ziara kutembelea kiwanda hicho.Meneja Ufundi wa Kiwanda cha Magurudumu cha General Tyre cha jijini Arusha, Elias Pallangyo,akimuonyesha Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeth Mbene , sehemu ya kiwanda hicho ambayo ipo katika ukarabati tayari kwa ajili ya uzalishaji wa Magurudumu mapema mwaka huu. Kiwanda hicho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani