ZITO KABWE AWAACHA NJIA PANDA WANANCHI VIWANJA VYA MWEMBEYANGA DAR
![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXLasnP6X5ryD*xqfOD17gZXrO3Qgm5OK6vZzmrxlktp6VIU7Fhe3EOr0Isr6wG04Uh1uKKtn9XKC221M3h1oIhV/1.jpg?width=650)
Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akihutubia.  Wafuasi wa ACT Wazalendo wakitoa burudani. Burudani ikiendelea. KIONGOZI Mkuu wa Chama Cha ACT – Wazalendo, Zitto Zuber Kabwe jana…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3Vi2v93vOB5-Hmm4wPPBholc6*QIYxImS0NuZxQgI9C2W4aLBRYf5aq3sKxCN26v8ThXitObrp2Hp8WTz4YE6SNj/2.jpg?width=650)
GWAJIMA AWAACHA WAUMINI WAKE NJIA PANDA
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Lulu Awaacha Watu Njia Panda…..Je ni Kweli Mjamzito?
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacha njia panda mashabiki na wafuasi wake kwenye mtandao wa INSTAGARM baada ya hapo jana usiku kubadika picha ya mwanamke mwenye ujauto na kuandika maneno ambayo hayaelezi wazi kuwa ni yeye.
“Happy New Month Lovies….Si ruksa kuitana wala ku munch”-Lulu aliandika.
Kitendo cha Lulu kuchimba mkwala akiwata watu wasiitane kuja kuona wala kufanya kijiwe cha kujadiliana juu ya picha hiyo (Kama inavyoonekana hapo juu) ndio kuliamsha...
10 years ago
VijimamboHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM CHAWATUNUKIA TUZO DR MENGI.MILLAR AYO,SHERIA NGOWI , DIAMOND PLATINUMZ NA ZITO KABWE
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5RXR3NvMiw0/U5392ogdL3I/AAAAAAAFq3g/E2pM6icn0dg/s72-c/unnamed+(59).jpg)
Wana Njia Panda washiriki kufanya usafi katika Hospitali ya Amana jijini Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-5RXR3NvMiw0/U5392ogdL3I/AAAAAAAFq3g/E2pM6icn0dg/s1600/unnamed+(59).jpg)
Mtangazaji wa Kipindi cha Redio cha Njia Panda kinachorushwa na Clouds FM Dkt. Isack Maro akizungumza na mwandishi wa habari wa Zanzibar Media Bi. Sophia Kingimali wakatika wa zoezi la usafi katika Hospilali ya Amana iliyopo Ilala, jana jijini Dar es Salaam. Wananjiapanda wamejitolea kufanya shughuli za usafi katika Hospitali hiyo ikiwa ni kutoa mchango wao kwa jamii inayowazunguka.
![](http://1.bp.blogspot.com/-itKkrvfERUY/U5394jwQkMI/AAAAAAAFq20/5odHgJiJFNc/s1600/unnamed+(65).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-J0Jox4OFFSk/VL5l9jg-o9I/AAAAAAAG-fg/hJ50pEzpMs8/s72-c/DSC_0211.jpg)
NJIA ZA "PANYA" ZA SUKARI ZINAUA VIWANDA VYA NDANI - ZITTO KABWE
![](http://3.bp.blogspot.com/-J0Jox4OFFSk/VL5l9jg-o9I/AAAAAAAG-fg/hJ50pEzpMs8/s1600/DSC_0211.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4QY98YZDOUE/VL5l_0aR6YI/AAAAAAAG-fo/q1MPNOR8BWs/s1600/DSC_0239.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U48dj9vQQGc/ViqibhnaOaI/AAAAAAAICSY/RCdSh-h_2qQ/s72-c/_MG_9232.jpg)
DKT JAKAYA KIKWETE AONGOZA MALFU YA WANANCHI KUFUNGA KAMPENI ZA DKT MAGUFULI JIJI LA DAR VIWANJA VYA JANGWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-U48dj9vQQGc/ViqibhnaOaI/AAAAAAAICSY/RCdSh-h_2qQ/s1600/_MG_9232.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kaYGKK0NzDQ/Viqjf5SrdVI/AAAAAAAICTg/_9cLBOMpUYU/s1600/_MG_9295.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uuaxplwwN9k/ViqjyteZVXI/AAAAAAAICT4/wylYF3Pk9Vk/s1600/_MG_9304.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake, Dkt. Bilal wawaongoza wananchi kuaga mwili wa marehemu William Shija viwanja vya Karimjee Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa zoezi la kuagwa mwili lililofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 12, 2014. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akiwafariji wanafamilia wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa...
10 years ago
GPL10 Mar
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Wananchi kunufaika na viwanja 444 vya NSSF
Frank Mvungi-Maelezo
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) laanza kuuza viwanja takribani 444 vyenye jumla ya mita za mraba 465,161 katika eneo la Kiluvya A Halmashauri ya Kisarawe Mkoa wa Pwani.
Hayo yamesema na Meneja Miradi wa NSSF Bw.Abdallah Mseli wakati wa ziara ya waandishi wa habari walipotembelea eneo la mradi huo kuona maendeleo ya mradi huo .
“Eneo hili litakuwa na makazi mapya ya kisasa, litakuwa na huduma muhimu za maji,umeme,barabara na pia kuna maeneo ya kujenga...