GWAJIMA AWAACHA WAUMINI WAKE NJIA PANDA
![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3Vi2v93vOB5-Hmm4wPPBholc6*QIYxImS0NuZxQgI9C2W4aLBRYf5aq3sKxCN26v8ThXitObrp2Hp8WTz4YE6SNj/2.jpg?width=650)
Erick Evarist MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amewaacha waumini wake njia panda kufuatia kauli yake ya kuwataka wamsindikize Kituo Kikuu cha Polisi cha Kati jijini Dar, jana alipokwenda kuhojiwa huku Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akiwa ametoa tamko la kuzuia waumini hao kukusanyika kituoni hapo. Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Gwajima aliyetoa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Lulu Awaacha Watu Njia Panda…..Je ni Kweli Mjamzito?
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacha njia panda mashabiki na wafuasi wake kwenye mtandao wa INSTAGARM baada ya hapo jana usiku kubadika picha ya mwanamke mwenye ujauto na kuandika maneno ambayo hayaelezi wazi kuwa ni yeye.
“Happy New Month Lovies….Si ruksa kuitana wala ku munch”-Lulu aliandika.
Kitendo cha Lulu kuchimba mkwala akiwata watu wasiitane kuja kuona wala kufanya kijiwe cha kujadiliana juu ya picha hiyo (Kama inavyoonekana hapo juu) ndio kuliamsha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXLasnP6X5ryD*xqfOD17gZXrO3Qgm5OK6vZzmrxlktp6VIU7Fhe3EOr0Isr6wG04Uh1uKKtn9XKC221M3h1oIhV/1.jpg?width=650)
ZITO KABWE AWAACHA NJIA PANDA WANANCHI VIWANJA VYA MWEMBEYANGA DAR
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
CCM njia panda
IKIWA imesalia wiki moja kabla ya watangaza nia wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukamilisha mchakato
Mwandishi Wetu
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
TANESCO njia panda
WAKATI Watanzania wakiendelea kutaabika kwa bei mpya za umeme, hali ya kiutendaji ya Shirika la Ugavi wa Umeme (TANESCO) iko njia panda kutokana na msuguano uliopo kati ya Wizara ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD-*PCcgjQM4o7ngeSsxEYX9u4QDIAEiqaCFarBdfZ7EDBjOPafYShaAZZu-3YsGTTX9m9l57D*20jSt6ZPacAeXm/1528535_698759480156926_571395509_n.jpg?width=650)
ZITTO NJIA PANDA
10 years ago
Mtanzania14 Apr
Nchi njia panda
Fredy Azzah na Elias Msuya
NCHI inapita katika kipindi kigumu kwa sasa kulingana na matukio mbalimbali yanayotokea wakati tukielekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Kulingana na hali hiyo, lugha yenyepesi inayoweza kutumika katika kufafanua ni kusema kwamba, nchi ipo njia panda.
Baadhi ya mambo hayo ni yale yaliyotokea na kuigusa nchi kama taifa, huku mengine yakigusa maisha ya wananchi moja kwa moja.
Katiba mpya
Moja ya mambo yanayoumiza vichwa vya Watanzania ni kuhusu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3BUwwLuJMnSf5otM285xQAbLKpRACbk295KKNyfgdzsUAO8GR*Fg0rnIzZmaCkX81Atzr7HZxhOodtlQcPyvnH7qsgKRaUT3/2.jpg?width=650)
WAUMINI WA GWAJIMA WAFUNGA SIKU 40
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Lipumba njia panda CUF
10 years ago
Habarileo27 Jun
Serikali ya umoja Z’bar njia panda
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesema kitendo cha wajumbe wa CUF kususa shughuli za Baraza la Wawakilishi, kimeiweka njia panda hatma ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa, kwa kuwa ni kinyume na makubaliano ya muundo huo.