WAUMINI WA GWAJIMA WAFUNGA SIKU 40
![](http://api.ning.com:80/files/3BUwwLuJMnSf5otM285xQAbLKpRACbk295KKNyfgdzsUAO8GR*Fg0rnIzZmaCkX81Atzr7HZxhOodtlQcPyvnH7qsgKRaUT3/2.jpg?width=650)
Mwandishi Wetu WAKATI mambo yakiwa bado tete juu ya afya ya kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la jijini Dar es Salaam, Mchungaji Josephat Gwajima, wafuasi wake wametangaza kufunga kwa muda wa siku 40 kuanzia juzi Jumatatu ili kuomba. Mchungaji Josephat Gwajima akiwa hospitali. Chanzo kilicho ndani ya kanisa hilo ambalo kwa sasa makao makuu yake yapo Kawe, kililiambia gazeti hili kuwa wafuasi hao wameamua kuliacha suala...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Waumini wafunga msikiti kumpinga Mufti
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3Vi2v93vOB5-Hmm4wPPBholc6*QIYxImS0NuZxQgI9C2W4aLBRYf5aq3sKxCN26v8ThXitObrp2Hp8WTz4YE6SNj/2.jpg?width=650)
GWAJIMA AWAACHA WAUMINI WAKE NJIA PANDA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-IIhyt7ioc6I/VRZM44_tV0I/AAAAAAAARsA/zFSQX6C9FYQ/s72-c/Gwajima.jpg)
Hali ya Gwajima bado tete, Polisi, waumini wavutana hospitali inayofaa
![](http://4.bp.blogspot.com/-IIhyt7ioc6I/VRZM44_tV0I/AAAAAAAARsA/zFSQX6C9FYQ/s1600/Gwajima.jpg)
Wakati hali ya kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, ikiwa tete kwa siku mbili mfululizo, Jeshi la Polisi na waumini wa Askofu huyo wanadaiwa kuvutana hospitali inayofaa kumpa matibabu.
Askofu Gwajima, alizimia ghafla juzi majira ya saa 2: 45 usiku akiwa kwenye chumba cha mahojiano katika Kituo cha Polisi Kati, baada...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NOsDz0mkAX4/UySLw7EnAFI/AAAAAAAFTrM/yUbFXlH-I1k/s72-c/unnamed+(26).jpg)
WAUMINI WA KANISA LA ADVENTISTA LA WASABATO WAADHIMISHA SIKU YA MATENDO YA HURUMA KWA KUCHANGIA DAMU
11 years ago
Dewji Blog29 Jul
Waumini wa dini ya Kiislamu mkoa wa Singida, waungana na wenzao kusherehekea siku kuu ya Eid El-Fitr
Sheikh wa mkoa wa Singida na Meya Mstahiki wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Sheikh Salum Mahami, akitoa mawaidha yake kwenye kilele cha Siku kuu ya Eid El-Fitr kilichofanyika kwenye uwanja wa Namfua leo. Pamoja na mambo mengine, Sheikh Mahami amekisihi kikundi cha Ukawa kurudi Bungeni, ili waweze kuwapatia Watanzania Katiba itakayokidhi mahitaji ya zaidi ya miaka 50 ijayo.
Imamu wa msikiti wa Utemini, Jumanne Maghasi, akisoma dua kwenye kilele cha maadhimisho ya siku kuu ya Eid...
9 years ago
GPLGWAJIMA APEWA SIKU 14 KUMFUFUA KAKA YAKE AU KUPANDISHWA KIZIMBANI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-3KSKcrp8RuY/VP0O6vtjbBI/AAAAAAAAH7Q/I3gDavZbEqw/s72-c/Siku%2B30%2Bza%2Bnotisi%2Bzimetimia%2BMchungaji%2BJosephat%2BGwajima%2BKufunga%2Bvirago%2BKawe%21.jpg)
Siku 30 za notisi zimetimia Mchungaji Josephat Gwajima Kufunga virago Kawe!
![](http://4.bp.blogspot.com/-3KSKcrp8RuY/VP0O6vtjbBI/AAAAAAAAH7Q/I3gDavZbEqw/s1600/Siku%2B30%2Bza%2Bnotisi%2Bzimetimia%2BMchungaji%2BJosephat%2BGwajima%2BKufunga%2Bvirago%2BKawe%21.jpg)
Katika Barua iliosainiwa na Meneja wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s72-c/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake
![](http://4.bp.blogspot.com/-RFlyrPTZVGg/VSjNDFU8rZI/AAAAAAAArrw/3ytkrSqJDUE/s1600/GWAJIMA2%2B%281%29.jpg)
Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Wananchi wafunga barabara