Wananchi wafunga barabara
Wakazi wa Kijiji Melela Mangae, Kata ya Melela, wilayani Mvomero, wamefunga barabara ya Morogoro- Iringa kwa zaidi ya saa sita wakishinikiza kuondolewa kwa wafugaji wa jamii ya Kimasai kijijini hapo kwamba wamekuwa wakiwapiga na kuingiza mifugo mashambani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fp5meZgTdro/VM-o2CHsmLI/AAAAAAAHBGk/sxjAU5Huewo/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali
![](http://1.bp.blogspot.com/-fp5meZgTdro/VM-o2CHsmLI/AAAAAAAHBGk/sxjAU5Huewo/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w6198B4Fq5k/VM-o3-3PWTI/AAAAAAAHBGs/MFW0ZFQmxRA/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYJdGbHwxko/VM-qJQxQWrI/AAAAAAAHBG4/ZKPH0ahWxMI/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU
10 years ago
Vijimambo24 Feb
VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU
![](http://api.ning.com/files/vshXEK8U-ih6Ed0u8ccj7KVpCbDBda7rI3doKclTHZHutGARaPymAOSexlbfSHYe07Y-mz-rn6IvpFTw0n*PgoLxQWTvjFbq/IMG20150224WA0001.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/vshXEK8U-ii6FlPALYoZuld*vPTdLU-8Gb*o8M66zJzzlGnUL9RJJj0aKFjNy25b7yp6TMuKkTUz1tatOaWfxgAYaXLxxtNS/553340_1102711359755054_58503742703641570_n.jpg?width=650)
WANANCHI wenye hasira mjini Ilula, mkoani Iringa, wamevamia kituo cha polisi na kuvunja milango kisha kuwafungulia mahabusu waliokuwemo ndani, wakachoma moto baadhi ya magari yaliyokuwepo kituoni hapo pamoja na mafaili.
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, tukio hilo limetokea leo asubuhi kufuatia mwanamke ambaye hakufahamika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N3a4E7n0BnfGVkckanxpZRu*9pV*qjIVC*9DdvDkbdEIyyjVEAP6hoPgTS11kFr64q8pYOwVUd3AT-cQcIPVzdsJHqqkyZmh/breakingnews.gif)
WANANCHI KAWE WAFUNGA BARABARA WAKIDAI MATUTA, WATAWANYWA KWA MABOMU YA MACHOZI
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PMGqvJ-jNYE/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Wananchi wavamia kituo cha polisi, wachoma moto magari manne, wafunga barabara kwa saa 5
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Wanakijiji wafunga Barabara ya Kia
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Wakazi Mivinjeni wafunga barabara
WAKAZI wa Mivinjeni, Kata ya Kurasini, jijini Dar es Salaam, jana asubuhi walifunga barabara huku wakiandamana kwa kile walichodai kucheleshewa kulipwa fidia zao. Walijipanga barabarani na kuzuia magari kupita, kwa...
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Abiria wa MV Victoria wafunga barabara
ABIRIA walisafiri kwa meli ya Mv Victoria wanaotokea Mkoani Kagera kuelekea jijini Mwanza wamefunga barabara kuu za mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani za Rwanda na Burundi baada ya kukwama katika...