wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali
.jpg)
Wananchi wakiwa wamepanga mawe na miti kuziba barabara ya Bagamoyo Road maeneo ya Kawe Bondeni jijini Dar es salaam leo ili kushinikiza kuwekewa matuta ya barabarani ili kupunguza ajali zinazotokea mara kwa mara eneo hilo. Hadi tunaruka hewani Jeshi la Polisi lilikuwa limeshawatawanya wananchi hao na kuondoa vizuizi hivyo baada ya kusababisha foleni ya takriban saa moja hivi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
WANANCHI KAWE WAFUNGA BARABARA WAKIDAI MATUTA, WATAWANYWA KWA MABOMU YA MACHOZI
11 years ago
Mwananchi19 Sep
Polisi wafunga barabara Dodoma kuzuia maandamano
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Wananchi wafunga barabara
10 years ago
Vijimambo24 Feb
VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU


WANANCHI wenye hasira mjini Ilula, mkoani Iringa, wamevamia kituo cha polisi na kuvunja milango kisha kuwafungulia mahabusu waliokuwemo ndani, wakachoma moto baadhi ya magari yaliyokuwepo kituoni hapo pamoja na mafaili.
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, tukio hilo limetokea leo asubuhi kufuatia mwanamke ambaye hakufahamika...
10 years ago
GPL
VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Wananchi wavamia kituo cha polisi, wachoma moto magari manne, wafunga barabara kwa saa 5
11 years ago
GPLKIROBA CHA MAHINDI KARIBU KISABABISHE AJALI BARABARA YA BAGAMOYO DAR
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Wakazi Mivinjeni wafunga barabara
WAKAZI wa Mivinjeni, Kata ya Kurasini, jijini Dar es Salaam, jana asubuhi walifunga barabara huku wakiandamana kwa kile walichodai kucheleshewa kulipwa fidia zao. Walijipanga barabarani na kuzuia magari kupita, kwa...