Wakazi Mivinjeni wafunga barabara
WAKAZI wa Mivinjeni, Kata ya Kurasini, jijini Dar es Salaam, jana asubuhi walifunga barabara huku wakiandamana kwa kile walichodai kucheleshewa kulipwa fidia zao. Walijipanga barabarani na kuzuia magari kupita, kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog07 Jul
Breaking News: Wakazi wa Kurasini wafunga barabara kwa muda!
Baadhi ya wakazi wa Mivinjeni Kurasini wakiwa na mabango katikati ya Barabara ya Kilwa, Dar es Salaam hivi sasa, zenye ujumbe wa malalamiko ya kudai kulipwa fidia zao ili kupisha mradi wa ujenzi wa bandari kavu kwenye eneo hilo.
HABARI KAMILI ITAKUJIA HAPO BAADAE KIDOGO..!
Baadhi ya magazri na mabasi yakigeuza yalikotoka.
Gari lililokuwa likielekea kwenye maonyesho ya Sabasaba likizuiwa na wakazi wa eneo hilo.
Mabasi yakizuiwa kupita.
Baadhi ya waanawake wa eneo hilo wakimzuia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fp5meZgTdro/VM-o2CHsmLI/AAAAAAAHBGk/sxjAU5Huewo/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali
![](http://1.bp.blogspot.com/-fp5meZgTdro/VM-o2CHsmLI/AAAAAAAHBGk/sxjAU5Huewo/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w6198B4Fq5k/VM-o3-3PWTI/AAAAAAAHBGs/MFW0ZFQmxRA/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYJdGbHwxko/VM-qJQxQWrI/AAAAAAAHBG4/ZKPH0ahWxMI/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Wananchi wafunga barabara
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Wanakijiji wafunga Barabara ya Kia
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Abiria wa MV Victoria wafunga barabara
ABIRIA walisafiri kwa meli ya Mv Victoria wanaotokea Mkoani Kagera kuelekea jijini Mwanza wamefunga barabara kuu za mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani za Rwanda na Burundi baada ya kukwama katika...
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Waandamanaji wafunga barabara Bangkok
10 years ago
Habarileo24 Dec
Wamachinga wafunga barabara Dar, 24 mbaroni
WAFANYABIASHARA ndogo (machinga) wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, jana walizua vurugu katika mitaa ya eneo hilo, kupinga operesheni ya kuwaondoa kufanya biashara katika maeneo yasiyoruhusiwa huku wakitaka walio katika maeneo ya barabarani ndiyo waondolewe.
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Wafunga barabara kudai misaada Kahama
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Polisi wafunga barabara Dodoma kuzuia maandamano