Wafunga barabara kudai misaada Kahama
Waathirika wa mvua ya mawe ya barafu iliyosababisha vifo vya watu 46 katika Kijiji cha Mwakata wilayani Kahama jana alfajiri walifunga barabara kuu ya Kahama-Dar es Salaam- Mwanza na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fp5meZgTdro/VM-o2CHsmLI/AAAAAAAHBGk/sxjAU5Huewo/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali
![](http://1.bp.blogspot.com/-fp5meZgTdro/VM-o2CHsmLI/AAAAAAAHBGk/sxjAU5Huewo/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w6198B4Fq5k/VM-o3-3PWTI/AAAAAAAHBGs/MFW0ZFQmxRA/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYJdGbHwxko/VM-qJQxQWrI/AAAAAAAHBG4/ZKPH0ahWxMI/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
10 years ago
Habarileo13 Mar
Kampuni ya simu yapeleka misaada Kahama
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tigo imetoa misaada ya vyakula pamoja na vifaa mbalimbali vya matumizi ya nyumbani kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Wananchi wafunga barabara
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Abiria wa MV Victoria wafunga barabara
ABIRIA walisafiri kwa meli ya Mv Victoria wanaotokea Mkoani Kagera kuelekea jijini Mwanza wamefunga barabara kuu za mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani za Rwanda na Burundi baada ya kukwama katika...
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Waandamanaji wafunga barabara Bangkok
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Wakazi Mivinjeni wafunga barabara
WAKAZI wa Mivinjeni, Kata ya Kurasini, jijini Dar es Salaam, jana asubuhi walifunga barabara huku wakiandamana kwa kile walichodai kucheleshewa kulipwa fidia zao. Walijipanga barabarani na kuzuia magari kupita, kwa...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Wanakijiji wafunga Barabara ya Kia
10 years ago
Habarileo24 Dec
Wamachinga wafunga barabara Dar, 24 mbaroni
WAFANYABIASHARA ndogo (machinga) wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, jana walizua vurugu katika mitaa ya eneo hilo, kupinga operesheni ya kuwaondoa kufanya biashara katika maeneo yasiyoruhusiwa huku wakitaka walio katika maeneo ya barabarani ndiyo waondolewe.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfC*XOQW0EKF0Jzhjo7SyTgpQ7ouC41dwNChRppf7yoOeaiKlPKNGI4tsftFLCHoJfGVP8TKiG-lWp8BxGd8f4yD/tembo2.jpg)
TEMBO WAFUNGA BARABARA KUMSAIDIA MWENZAO ALIYEDONDOKA