Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wamachinga wafunga barabara Dar, 24 mbaroni

Polisi wa doria wakipita kando ya moto wa matairi uliowashwa na kundi la wafanyabiashara ndogo ‘machinga’ katika Barabara ya Nyerere eneo la Kamata Dar es Salaam jana baada ya kupambana na mgambo wa jiji wanaokamata bidhaa zao. (Picha na Mroki Mroki).WAFANYABIASHARA ndogo (machinga) wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, jana walizua vurugu katika mitaa ya eneo hilo, kupinga operesheni ya kuwaondoa kufanya biashara katika maeneo yasiyoruhusiwa huku wakitaka walio katika maeneo ya barabarani ndiyo waondolewe.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WALEMAVU WAFUNGA MAKUTANO YA BARABARA YA KAWAWA NA UHURU JIJINI DAR

 Wafanyabiashara ambao ni walemavu wakiwa wamekaa katikati ya barabara ya Uhuru na Kawawa huku wakilalamikia kitendo cha Manispaa ya Ilala kuwavunjia vibanda vyao vya biashara na kuwasababishia upotevu na uharibifu wa mali zao katika eneo la Mchikichini pembezoni mwa Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Francis Dande).  Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi akizungumza na viongozi wa wafanyabiashara hao baada ya kufunga makutano ya barabara ya Kawawa na Uhuru jijini Dar na...

 

10 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:WALEMAVU WAFUNGA BARABARA KARUME-ILALA JIJINI DAR LEO.

 Umati wa watu ukionekana katika eneo la Makutano ya Barabara ya Kawawa na Uhuru, Karume jijini Dar es salaam kutokana na kuwepo kwa baadhi ya walemavu wa viungo waliokaa katikati ya Barabara hizo kushinikiza kupewa eneo la Karume ili waweze kufanya biashara zao, hali iliyopelekea njia hizo kufungwa kwa muda na kuleta usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo.Baadhi ya Walemavu wakijadiliana jambo huku wakisubiri hatma ya mgomo wao kutatuliwa.Mmoja wa Walemavu akishiriki kwenye mgomo...

 

10 years ago

Michuzi

wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali

 Wananchi wakiwa wamepanga mawe na miti kuziba barabara ya Bagamoyo Road maeneo ya Kawe Bondeni jijini Dar es salaam leo ili kushinikiza kuwekewa matuta ya barabarani ili kupunguza ajali zinazotokea mara kwa mara eneo hilo. Hadi tunaruka hewani Jeshi la Polisi lilikuwa limeshawatawanya wananchi hao na kuondoa vizuizi hivyo baada ya kusababisha foleni ya takriban saa moja hivi.

 

11 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA BAADA YA WAJASILIAMALI WALEMAVU WAFUNGA BARABARA YA KAWAWA NA UHURU JIJINI DAR

Kundi la walemavu, wajasilimali wafanyabiashara ndogo ndongo, leo May 20, 2014 wamefunga makutano ya barabara ya Kawawa na Uhuru (Karume) kwa muda wa masaa matatu wakishinikiza Serikali iwapatie maeneo ya kufanyia biashara baada ya kuwaondoa katika eneo la Mtaa wa Kongo Kariakoo jijini Dar es Salaam. Askari wa Jeshi la Polisi wakiwa Juu ya gari kuangalia tukio hilo lililodumu kwa muda wa zaidi ya masaa matatu katika eneo la makutano ya barabara ya Kawawa na Uhuru (Karume).  Baadhi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wafunga barabara

Wakazi wa Kijiji Melela Mangae, Kata ya Melela, wilayani Mvomero, wamefunga barabara ya Morogoro- Iringa kwa zaidi ya saa sita wakishinikiza kuondolewa kwa wafugaji wa jamii ya Kimasai kijijini hapo kwamba wamekuwa wakiwapiga na kuingiza mifugo mashambani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wafunga barabara Bangkok

Waandamanaji nchini Thailand wameanza kufunga barabara mjini Bangkok kwa lengo la kuiong'oa serikali ya nchi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Mivinjeni wafunga barabara

WAKAZI wa Mivinjeni, Kata ya Kurasini, jijini Dar es Salaam, jana asubuhi walifunga barabara huku wakiandamana kwa kile walichodai kucheleshewa kulipwa fidia zao. Walijipanga barabarani na kuzuia magari kupita, kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanakijiji wafunga Barabara ya Kia

Wakazi wa vijiji vinne vinavyopakana na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kia), jana mchana walifunga kwa muda barabara ya kutoka nje ya uwanja huo na kuzuia hali ya sintofahamu kwa wageni.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Abiria wa MV Victoria wafunga barabara

ABIRIA walisafiri kwa meli ya Mv Victoria wanaotokea Mkoani Kagera kuelekea jijini Mwanza wamefunga barabara kuu za mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani za Rwanda na Burundi baada ya kukwama katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani