WALEMAVU WAFUNGA MAKUTANO YA BARABARA YA KAWAWA NA UHURU JIJINI DAR
Wafanyabiashara ambao ni walemavu wakiwa wamekaa katikati ya barabara ya Uhuru na Kawawa huku wakilalamikia kitendo cha Manispaa ya Ilala kuwavunjia vibanda vyao vya biashara na kuwasababishia upotevu na uharibifu wa mali zao katika eneo la Mchikichini pembezoni mwa Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Francis Dande).
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi akizungumza na viongozi wa wafanyabiashara hao baada ya kufunga makutano ya barabara ya Kawawa na Uhuru jijini Dar na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziHIVI NDIVYO MAMBO YALIVYOKUWA BAADA YA WAJASILIAMALI WALEMAVU WAFUNGA BARABARA YA KAWAWA NA UHURU JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/94NfH7lOTFA/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOiMYNQcQG3n6y9*hVhrzYK8VGO8xB1WWciLy6N-PlewbQowdqJ0uJwLqyOYTzQw0cdYACAajN7FheIw*-I0kSh4/BREAKING.gif)
WALEMAVU JIJINI DAR WAANDAMANA NA KUFUNGA BARABARA ZA KAWAWA NA UHURU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VslycA-Pvyc/VV3JzH6K_oI/AAAAAAAHY10/l667BYZZiQk/s72-c/20150521044030%2Bcopy.jpg)
NEWZ ALERT:WALEMAVU WAFUNGA BARABARA KARUME-ILALA JIJINI DAR LEO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-VslycA-Pvyc/VV3JzH6K_oI/AAAAAAAHY10/l667BYZZiQk/s640/20150521044030%2Bcopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C94f82q2Eog/VV3J-KF8uVI/AAAAAAAHY2I/YPTHqTvRkJk/s640/201505210429%2Bcopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ypWJqUKyrQ4/VV3J7kAPijI/AAAAAAAHY18/mPqr8elcGt8/s640/20150521042912%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4YexYbBfZrc/VV3J9cMXOgI/AAAAAAAHY2E/LrlwbvFDrNc/s640/20150521044249%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Habarileo10 Oct
Makutano barabara Morogoro, Kawawa kufungwa wiki 2
MKANDARASI mkuu wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka (BRT), Strabag International ametangaza mabadiliko ya matumizi katika makutano ya barabara za Morogoro na Kawawa.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
GPLWALEMAVU WAANDAMANA NA KUFUNGA BARABARA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YCfsyf2uYJo/VGYPVxfHDEI/AAAAAAAGxKM/OwPUEBFNOO8/s72-c/Strabag-logo.png)
Strabag yatangaza mabadiliko makutano ya Morogoro/Kawawa kuanzia Jumatatu
![](http://4.bp.blogspot.com/-YCfsyf2uYJo/VGYPVxfHDEI/AAAAAAAGxKM/OwPUEBFNOO8/s1600/Strabag-logo.png)
Mabadiliko hayo yanaanza Jumatatu tarehe 17 hadi tarehe 30 mwezi huu. Akitangaza mabadiliko hayo jana jijini Dar es Salaam, Afisa uhusiano wa kampuni hiyo, Bw. Yahya Mkumba alisema mabadiliko hayo yanatokana na matengenezo yatakayokuwa yanafanyika eneo hilo.
Akielezea zaidi, alisema magari yatakayokuwa...
11 years ago
GPLUJENZI BARABARA YA KAWAWA KWA MAGARI YAENDAYO KASI DAR