Strabag yatangaza mabadiliko makutano ya Morogoro/Kawawa kuanzia Jumatatu
![](http://4.bp.blogspot.com/-YCfsyf2uYJo/VGYPVxfHDEI/AAAAAAAGxKM/OwPUEBFNOO8/s72-c/Strabag-logo.png)
Mkandarasi mkuu wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka (BRT), Strabag International ametangaza mabadiliko ya matumizi katika makutano ya barabara za Morogoro na Kawawa.
Mabadiliko hayo yanaanza Jumatatu tarehe 17 hadi tarehe 30 mwezi huu. Akitangaza mabadiliko hayo jana jijini Dar es Salaam, Afisa uhusiano wa kampuni hiyo, Bw. Yahya Mkumba alisema mabadiliko hayo yanatokana na matengenezo yatakayokuwa yanafanyika eneo hilo.
Akielezea zaidi, alisema magari yatakayokuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Oct
Makutano barabara Morogoro, Kawawa kufungwa wiki 2
MKANDARASI mkuu wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka (BRT), Strabag International ametangaza mabadiliko ya matumizi katika makutano ya barabara za Morogoro na Kawawa.
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Strabag yatangaza mabadiliko ya barabara
MKANDARASI Mkuu wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka (BRT), Strabag International, ametangaza mabadiliko ya matumizi katika makutano ya barabara za Morogoro na Kawawa. Akitangaza mabadiliko hayo jana jijini...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/94NfH7lOTFA/default.jpg)
10 years ago
VijimamboWALEMAVU WAFUNGA MAKUTANO YA BARABARA YA KAWAWA NA UHURU JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W-AHJaIc-Ss/U7hCVGFK1XI/AAAAAAAFvLE/IqqrnMI0dZs/s72-c/9511fca93778835b9597a107b8378423.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-QcXld1EWU_o/XprM85SFFxI/AAAAAAAAyM0/T2nV1MSqDxomcsgS7v8SkeU6UTfbyX5DgCLcBGAsYHQ/s72-c/69992797_10157534003004722_7802154697044787200_n-660x400.jpg)
KUANZIA JUMATATU KILA MTU AVAE MASK
![](https://1.bp.blogspot.com/-QcXld1EWU_o/XprM85SFFxI/AAAAAAAAyM0/T2nV1MSqDxomcsgS7v8SkeU6UTfbyX5DgCLcBGAsYHQ/s400/69992797_10157534003004722_7802154697044787200_n-660x400.jpg)
Amesema haijalishi ila lazima watu wavae Barakoa “Ununue, ukate kanga, ukate leso na utafute rubber bands. Lazima uwe umevaa Barakoa”
Aidha, ameagiza kuwa kuanzia Jumatatu biashara zote zifanyike kwa mfumo wa ‘take away’ yaani ufike sehemu ya kununua bidhaa, nunua na ondoka
Pia, amewataka watu kuhakikisha wanakaa umbali wa mita 2 kila wakiwa eneo la msongamano...
10 years ago
Michuzi13 Nov
Huduma ya Treni ya Jiji yaahirishwa kuanzia leo hadi Jumatatu Novemba 17, 2014
Ufafanuzi wa sababu za kusitishwa huduma umeeleza kuwa kichwa kimojawapo ambacho hutoa huduma kimepelekwa Karakana Kuu ya Morogoro kwa ajili ya ukarabati maalum na kwamba kinatarajiwa kurejeshwa Dar es Salaam jioni ya siku ya...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2RHcTA3yfWA/Vd6XR7BKTmI/AAAAAAAH0Sg/zS7no186caE/s72-c/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Du2gX0t5yFU/VJnazhjj8mI/AAAAAAAG5b0/T87OtIywNfM/s72-c/Untitled1.png)
MH. ZAINABU KAWAWA AMUENZI HAYATI MZEE KAWAWA KWA VITENDO
Akiwa wilayani Liwale alipokulia na kusomea Marehemu Mzee Kawawa, Mh Zainabu aliwatembela wazee mbali mbali waliokuwa marafiki wa Mzee Kwawa ili kuwawajulia hali na kusikia mitazamo yao ya Liwale ya sasa nakipindi walipo kuwa na Marehemu Mzee Kawawa.
Wakitoa mitazamo yao Mzee...