TEMBO WAFUNGA BARABARA KUMSAIDIA MWENZAO ALIYEDONDOKA
![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfC*XOQW0EKF0Jzhjo7SyTgpQ7ouC41dwNChRppf7yoOeaiKlPKNGI4tsftFLCHoJfGVP8TKiG-lWp8BxGd8f4yD/tembo2.jpg)
Tembo wakiwa wamemzunguka mwenzao kumpatia msaada. SUALA la umoja si kwa wanadamu pekee bali hata wanyama kama tembo nao wanao umoja miongoni mwao. Katika tukio lililonaswa kwenye video huko nchini Afrika Kusini na kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube linawaonyesha tembo walioamua kufunga barabara na kusababisha foleni ya magari ili wamuokoe mwenzao aliyedondoka katikati ya barabara hiyo.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fp5meZgTdro/VM-o2CHsmLI/AAAAAAAHBGk/sxjAU5Huewo/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali
![](http://1.bp.blogspot.com/-fp5meZgTdro/VM-o2CHsmLI/AAAAAAAHBGk/sxjAU5Huewo/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w6198B4Fq5k/VM-o3-3PWTI/AAAAAAAHBGs/MFW0ZFQmxRA/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYJdGbHwxko/VM-qJQxQWrI/AAAAAAAHBG4/ZKPH0ahWxMI/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Wananchi wafunga barabara
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Abiria wa MV Victoria wafunga barabara
ABIRIA walisafiri kwa meli ya Mv Victoria wanaotokea Mkoani Kagera kuelekea jijini Mwanza wamefunga barabara kuu za mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani za Rwanda na Burundi baada ya kukwama katika...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Wanakijiji wafunga Barabara ya Kia
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Waandamanaji wafunga barabara Bangkok
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Wakazi Mivinjeni wafunga barabara
WAKAZI wa Mivinjeni, Kata ya Kurasini, jijini Dar es Salaam, jana asubuhi walifunga barabara huku wakiandamana kwa kile walichodai kucheleshewa kulipwa fidia zao. Walijipanga barabarani na kuzuia magari kupita, kwa...
10 years ago
Habarileo24 Dec
Wamachinga wafunga barabara Dar, 24 mbaroni
WAFANYABIASHARA ndogo (machinga) wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, jana walizua vurugu katika mitaa ya eneo hilo, kupinga operesheni ya kuwaondoa kufanya biashara katika maeneo yasiyoruhusiwa huku wakitaka walio katika maeneo ya barabarani ndiyo waondolewe.
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Wafunga barabara kudai misaada Kahama
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
VURUGU IRINGA, WANANCHI WAFUNGA BARABARA KUU