Wananchi kunufaika na viwanja 444 vya NSSF
Frank Mvungi-Maelezo
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) laanza kuuza viwanja takribani 444 vyenye jumla ya mita za mraba 465,161 katika eneo la Kiluvya A Halmashauri ya Kisarawe Mkoa wa Pwani.
Hayo yamesema na Meneja Miradi wa NSSF Bw.Abdallah Mseli wakati wa ziara ya waandishi wa habari walipotembelea eneo la mradi huo kuona maendeleo ya mradi huo .
“Eneo hili litakuwa na makazi mapya ya kisasa, litakuwa na huduma muhimu za maji,umeme,barabara na pia kuna maeneo ya kujenga...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wElhaJF9fXLasnP6X5ryD*xqfOD17gZXrO3Qgm5OK6vZzmrxlktp6VIU7Fhe3EOr0Isr6wG04Uh1uKKtn9XKC221M3h1oIhV/1.jpg?width=650)
ZITO KABWE AWAACHA NJIA PANDA WANANCHI VIWANJA VYA MWEMBEYANGA DAR
11 years ago
Mwananchi01 May
Saccos nchini kunufaika na mikopo ya NSSF
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cIUP50losok/Xm01v-4IMdI/AAAAAAAAIbk/CDxDFg9sFlQCFJe_9-Dtb9w6sJawBnYLQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200314_104533_524.jpg)
BONANZA LA WANANCHI WA TARAFA YA ELERAI LAFANA KWENYE VIWANJA VYA SINON COMPLEX ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cIUP50losok/Xm01v-4IMdI/AAAAAAAAIbk/CDxDFg9sFlQCFJe_9-Dtb9w6sJawBnYLQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200314_104533_524.jpg)
Uzinduzi wa Bonanza la wananchi wa Tarafa ya Elerai kwenye viwanja vya Sinon Complex ukianza kwa vijana kutoka kata tano kugombea mbuzi huku Michezo ya Drafti na bao wakipata kuku zilizotolewa na Afisa Tarafa hiyo Daniel Cholobi ikiwa ni sehemu ya kuongeza ukaribu wa Serikali kwa wananchi picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-_du3bVFmB70/Xm01v6u-HLI/AAAAAAAAIbo/bkuC_N6lYkw4qGtWnLovz5Ww6AR4nRJXQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200314_104539_166.jpg)
Afisa Tarafa ya Elerai mwenye Fulana nyeusi akiwa kwenye uzinduzi huo kwenye viwanja vya Sinon Complex leo Jijini Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-y501R2Fj4go/Xm01vU82qRI/AAAAAAAAIbg/1TDbG_SdQOATuiGjdcV6jz4FgXRf8odhACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200314_104543_473.jpg)
Wachezaji wa timu za kata ya Elerai wakiwa teyari...
9 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/09/147.jpg)
MAGUFULI ALITIKISA JIJI LA TANGA, WANANCHI WAFURIKA VIWANJA VYA TANGAMANO KUMSIKILIZA
11 years ago
MichuziWANANCHI WAFURIKA BANDA LA BUNGE KUPATA ELIMU KUHUSU KAZI ZA BUNGE KATIKA VIWANJA VYA SABASABA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U48dj9vQQGc/ViqibhnaOaI/AAAAAAAICSY/RCdSh-h_2qQ/s72-c/_MG_9232.jpg)
DKT JAKAYA KIKWETE AONGOZA MALFU YA WANANCHI KUFUNGA KAMPENI ZA DKT MAGUFULI JIJI LA DAR VIWANJA VYA JANGWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-U48dj9vQQGc/ViqibhnaOaI/AAAAAAAICSY/RCdSh-h_2qQ/s1600/_MG_9232.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kaYGKK0NzDQ/Viqjf5SrdVI/AAAAAAAICTg/_9cLBOMpUYU/s1600/_MG_9295.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uuaxplwwN9k/ViqjyteZVXI/AAAAAAAICT4/wylYF3Pk9Vk/s1600/_MG_9304.jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Oct
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake, Dkt. Bilal wawaongoza wananchi kuaga mwili wa marehemu William Shija viwanja vya Karimjee Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, marehemu Dkt. William Shija, wakati wa zoezi la kuagwa mwili lililofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo Oktoba 12, 2014. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mrisho Jakaya Kikwete, akiwafariji wanafamilia wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WXsMGaxiHVM/XuUNFsYnILI/AAAAAAALts8/1hTk8tFdfbQpG_goTxCSv7z7nOHoOCAVQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0024.jpg)
WANANCHI SIMANJIRO KUNUFAIKA NA HOSPITALI MPYA YA WILAYA
Mhandisi Chaula akizungumza jana wakati akizindua hospitali hiyo alimshukuru Rais John Magufuli kwa kuwapatia fedha za ujenzi huo uliogharimu shilingi bilioni 1.8 zilizotumika hadi sasa.
Alisema tangu wilaya hiyo ianzishwe mwaka 1994...
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
Wananchi kata ya Kisaki kunufaika na nishati ya Jotoardhi
Mkurugenzi Mhandisi Kato Kabaka wa Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania.
Na Lilian Lundo – Maelezo
Wananchi kata ya Kisaki, wilaya ya Morogoro Vijijini kunufaika na nishati ya jotoardhi inayotokana na chanzo cha maji ya moto yaliyoko katika kata hiyo.
Akiongea na kamati ya maendeleo ya kata ya Kisaki leo, Mkurugenzi Mhandisi Kato Kabaka wa Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania aliiambia kamati hiyo kuwa, Kisaki ni mojawapo ya Kata ambazo zitanufaika na nishati ya umeme...