BONANZA LA WANANCHI WA TARAFA YA ELERAI LAFANA KWENYE VIWANJA VYA SINON COMPLEX ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cIUP50losok/Xm01v-4IMdI/AAAAAAAAIbk/CDxDFg9sFlQCFJe_9-Dtb9w6sJawBnYLQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200314_104533_524.jpg)
Uzinduzi wa Bonanza la wananchi wa Tarafa ya Elerai kwenye viwanja vya Sinon Complex ukianza kwa vijana kutoka kata tano kugombea mbuzi huku Michezo ya Drafti na bao wakipata kuku zilizotolewa na Afisa Tarafa hiyo Daniel Cholobi ikiwa ni sehemu ya kuongeza ukaribu wa Serikali kwa wananchi picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
Afisa Tarafa ya Elerai mwenye Fulana nyeusi akiwa kwenye uzinduzi huo kwenye viwanja vya Sinon Complex leo Jijini Arusha
Wachezaji wa timu za kata ya Elerai wakiwa teyari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Bonanza la Masauni Cup lafana Viwanja vya Mnazi Mmoja, Kilimani na Mkunazini imeshinda 2—0
Mgeni rasmi wa Mchezo wa Bonaza la Masauni Cup Khamisi Mbeto akikagua timu ya Mkunazini iliotowa kipigo kwa timu ya Kilimani mabao 2–0. mchezo uliofanyika uwanja wa malindi mnazi mmoja
Mgeni rasmi wa Mchezo wa Bonaza la Masauni Cup Khamisi Mbeto akikagua timu ya Kilimani iliyokubali kipigo cha mabao 2–0.wakati wa mchezo Bonaza unaoendelea katika viwanja vya malindi mnazi mmoja usiku.
Kikosi cha timu ya Kilimani kinachoshiriki michezo ya Bonaza Masauni Cup inayofanyika katika viwanja...
10 years ago
MichuziBonaza la Masauni Cup Lafana Viwanja vya Mnazi Mmoja Unguja Usiku Huu
10 years ago
VijimamboBonaza Masauni Cup Lafana Viwanja vya Malindi Mnazi Mmoja Miembeni Yatoka Kivua Mbele dhidi ya Rahaleo kwa Mabao 4---0
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2quo200f*G4L3lPijHMTzB9gabAJEYDHAC63*jX3K6bybowPRWLJGNteHvYxZQNbgus-zSNIJr88gnnKmzRBW88T/BETTYMKWASA_Bingwa.jpg)
BONANZA LA PSPF FIRST BATCH LAFANA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s72-c/1.jpg)
KINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PmYbB_Xa1y8/VTOJOsl63pI/AAAAAAAAaKI/oHFPf0hv7R8/s1600/2.jpg)
Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pNvgjcCgAAk/U1Jm4wt5P5I/AAAAAAAFb0A/Bdqr0LnaFk0/s1600/b1.jpg)
BONANZA LA MICHEZO LA PPF LAFANA SANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EY89-_HCRks/U1Jm70MGSQI/AAAAAAAFb0I/WxN0jeuZMzs/s1600/b2.jpg)
11 years ago
GPLBONANZA LA JOGGING DAR LIVE LAFANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gYxGligqRT3OcrOxvhlZ4c3hX6VyctXH9WyBbtJ6Aw44NrUId3a5SkpeLdK6XELoulyI4J03YdDTlWl-TKR4tJ*zAUK5YR5M/1.jpg?width=650)
BONANZA LA KAHAMA FAMILY LAFANA JANA
9 years ago
Dewji Blog08 Sep
Bonanza la Tigo Corporate Event lafana mjini Morogoro
Kikundi cha burudani cha Da Hustler Dancers cha mkoani Morogoro kikifanya onyesho katika Bonanza la Tigo Corporate Event lililofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Solomon Mahlangu Morogoro.
Mchezaji wa timu ya netball ya St. Joseph, Salome John akifunga doli katika mchezo wao dhidi ya timu ya tigo. Kwnye mchezo huo Tigo walilala kwa vikapu 5-0.
Meneja wa Tigo mkoa wa Morogoro na Tanga, Abasi Abel akisalimiana na wachezaji wa timu ya Polisi Chipolopolo katika ufunguzi wa bonanza la...