BONANZA LA PSPF FIRST BATCH LAFANA
![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2quo200f*G4L3lPijHMTzB9gabAJEYDHAC63*jX3K6bybowPRWLJGNteHvYxZQNbgus-zSNIJr88gnnKmzRBW88T/BETTYMKWASA_Bingwa.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Betty Mkwasa, (wapili kushoto), akimkabidhi kombe la ubingwa, nahodha wa timu ya chuo kikuu cha St. Johns cha mjini Dodoma, Msanja Martin, baada ya kuibuka washindi wa kwanza, kwenye bonanza la PSPF lililoandaliwa maalum kwa wanafunzi wa vyuo vikuu mjini Dodoma na kufanyika uwanja wa Jamhuri mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, Adam Mayingu .… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gYxGligqRT3OcrOxvhlZ4c3hX6VyctXH9WyBbtJ6Aw44NrUId3a5SkpeLdK6XELoulyI4J03YdDTlWl-TKR4tJ*zAUK5YR5M/1.jpg?width=650)
BONANZA LA KAHAMA FAMILY LAFANA JANA
11 years ago
GPLBONANZA LA JOGGING DAR LIVE LAFANA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pNvgjcCgAAk/U1Jm4wt5P5I/AAAAAAAFb0A/Bdqr0LnaFk0/s1600/b1.jpg)
BONANZA LA MICHEZO LA PPF LAFANA SANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EY89-_HCRks/U1Jm70MGSQI/AAAAAAAFb0I/WxN0jeuZMzs/s1600/b2.jpg)
10 years ago
GPLBONANZA LA KUTIMIZA MIAKA 9 YA KUNDI LA JAKAYA THEATRE LAFANA!
9 years ago
Dewji Blog08 Sep
Bonanza la Tigo Corporate Event lafana mjini Morogoro
Kikundi cha burudani cha Da Hustler Dancers cha mkoani Morogoro kikifanya onyesho katika Bonanza la Tigo Corporate Event lililofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Solomon Mahlangu Morogoro.
Mchezaji wa timu ya netball ya St. Joseph, Salome John akifunga doli katika mchezo wao dhidi ya timu ya tigo. Kwnye mchezo huo Tigo walilala kwa vikapu 5-0.
Meneja wa Tigo mkoa wa Morogoro na Tanga, Abasi Abel akisalimiana na wachezaji wa timu ya Polisi Chipolopolo katika ufunguzi wa bonanza la...
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-6srPbZUgeew/VGdMmaaV-zI/AAAAAAAGxeE/xfVqyozq4yo/s1600/76.jpg?width=650)
BONANZA LA UFUNGUZI WA WIKI YA MLIPA KODI YA TRA LAFANA JIJINI DAR
11 years ago
GPLBONANZA LA JOGGING & GLOBAL BREAKING NEWS LAFANA NDANI YA DAR LIVE
10 years ago
Michuzi03 Aug
NHC FAMILY DAY BONANZA LAFANA KUNDUCHI BEACH HOTEL, JIJINI DAR
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/115.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/25.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/35.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cIUP50losok/Xm01v-4IMdI/AAAAAAAAIbk/CDxDFg9sFlQCFJe_9-Dtb9w6sJawBnYLQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200314_104533_524.jpg)
BONANZA LA WANANCHI WA TARAFA YA ELERAI LAFANA KWENYE VIWANJA VYA SINON COMPLEX ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cIUP50losok/Xm01v-4IMdI/AAAAAAAAIbk/CDxDFg9sFlQCFJe_9-Dtb9w6sJawBnYLQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200314_104533_524.jpg)
Uzinduzi wa Bonanza la wananchi wa Tarafa ya Elerai kwenye viwanja vya Sinon Complex ukianza kwa vijana kutoka kata tano kugombea mbuzi huku Michezo ya Drafti na bao wakipata kuku zilizotolewa na Afisa Tarafa hiyo Daniel Cholobi ikiwa ni sehemu ya kuongeza ukaribu wa Serikali kwa wananchi picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-_du3bVFmB70/Xm01v6u-HLI/AAAAAAAAIbo/bkuC_N6lYkw4qGtWnLovz5Ww6AR4nRJXQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200314_104539_166.jpg)
Afisa Tarafa ya Elerai mwenye Fulana nyeusi akiwa kwenye uzinduzi huo kwenye viwanja vya Sinon Complex leo Jijini Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-y501R2Fj4go/Xm01vU82qRI/AAAAAAAAIbg/1TDbG_SdQOATuiGjdcV6jz4FgXRf8odhACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200314_104543_473.jpg)
Wachezaji wa timu za kata ya Elerai wakiwa teyari...