Wananchi kata ya Kisaki kunufaika na nishati ya Jotoardhi
Mkurugenzi Mhandisi Kato Kabaka wa Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania.
Na Lilian Lundo – Maelezo
Wananchi kata ya Kisaki, wilaya ya Morogoro Vijijini kunufaika na nishati ya jotoardhi inayotokana na chanzo cha maji ya moto yaliyoko katika kata hiyo.
Akiongea na kamati ya maendeleo ya kata ya Kisaki leo, Mkurugenzi Mhandisi Kato Kabaka wa Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania aliiambia kamati hiyo kuwa, Kisaki ni mojawapo ya Kata ambazo zitanufaika na nishati ya umeme...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nnByrYMir-U/ViDaGE7x67I/AAAAAAAIAUQ/AykBTLxRxqY/s72-c/Pic%2B1.jpg)
KAMPUNI YA UENDELEZAJI JOTOARDHI HAPA NCHINI YATOA ELIMU YA NISHATI YA JOTOARDHI KWA WAKAZI WA KISAKI, MOROGORO VIJIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnByrYMir-U/ViDaGE7x67I/AAAAAAAIAUQ/AykBTLxRxqY/s640/Pic%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YCCkQ4TDzms/ViDaF4-g9_I/AAAAAAAIAUM/gnjjvvM0Mj4/s640/Pic%2B2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HSIa1i3u8nY/ViIG8UP_F-I/AAAAAAAIAgw/GEKAFL79lEA/s72-c/Pic%2B1.jpg)
NISHATI YA JOTOARDHI KUIPANDISHA HADHI HIFADHI YA WANYAMAPORI SELOUS
![](http://3.bp.blogspot.com/-HSIa1i3u8nY/ViIG8UP_F-I/AAAAAAAIAgw/GEKAFL79lEA/s640/Pic%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_NoqL2tNkOo/ViIG8We_79I/AAAAAAAIAg4/qM60ru3XUa8/s640/Pic%2B2.jpg)
10 years ago
VijimamboNISHATI YA JOTOARDHI KUNUFAISHA BAADHI YA VIJIJI MKOANI MBEYA
NA BENEDICT LIWENGA, MAELEZO, MBEYA.
Nishati ya Jotoardhi imeelezwa kuwa muhimu kwa maeneo ambayo utafiti ulishafanywa hapo awali kwani ina faida lukuki kwa maendeleo ya nchi hususani katika kutatua changamoto ya ukosefu wa nishati ya umeme ikiwemo umeme wa mgao ambao unazikumba baadhi ya mikoa hapa nchini.
Akiongea wakati wa Kampeni endelevu kuhusu jotoardhi 6 Agosti, 2015 katika Kata za Ilomba vijiji vya Ituha na Tonya pamoja na Kata ya Nanyala iliyopo Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, Meneja...
Nishati ya Jotoardhi imeelezwa kuwa muhimu kwa maeneo ambayo utafiti ulishafanywa hapo awali kwani ina faida lukuki kwa maendeleo ya nchi hususani katika kutatua changamoto ya ukosefu wa nishati ya umeme ikiwemo umeme wa mgao ambao unazikumba baadhi ya mikoa hapa nchini.
Akiongea wakati wa Kampeni endelevu kuhusu jotoardhi 6 Agosti, 2015 katika Kata za Ilomba vijiji vya Ituha na Tonya pamoja na Kata ya Nanyala iliyopo Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, Meneja...
9 years ago
MichuziEAGER WAKAA KUJADILI JINSI YA UNDELEZAJI WA NISHATI YA JOTOARDHI
10 years ago
VijimamboKATA YA MWASANGA NA TEMBELA MKOANI MBEYA ZAPATIWA ELIMU KUHUSU JOTOARDHI
Afisa Mawasiliano wa Kampuni ya Kuendeleza Jotoardhi Tanzania (TGDC) Bi. Johari Kachwamba akiwaelimisha Viongozi wa Kata ya Mwasanga na Tembela kuhusu majukumu ya TGDC leo 7 Agosti, 2015 Mkoani Mbeya.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nKBQ2cJ2tx0/VmKmBpg2z4I/AAAAAAAIKTM/fi3OetyR-wQ/s72-c/73d8cb1a-7ff5-48f2-b341-ab43cfe9eb8d.jpg)
TGDC NA KAMPUNI YA TOSHIBA WATILIANA SAINI MKATABA WA MAELEWANO (MOU) WA UTAFUTAJI WA NISHATI YA JOTOARDHI
Na Benedict Liwenga-MAELEZO. Shirika la Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC) pamoja na Kampuni ya TOSHIBA ya nchini Japan zimetiliana saini Mkataba wa Maelewano wa kufanya tafiti kwa pamoja zinahusu maeneo yenye viashiria ya upatikanaji wa nishati ya jotoardhi. Utiaji saini wa mkataba huo umefanyika Desemba 4, 2015 Jijini Dar es Salaam katika Ofisi za TGDC ambapo hatua hiyo itaiwezesha TGDC kuweza kupata msaada wa kitaalam ambao utaliwezesha shirika hilo kuweza kuchimba...
9 years ago
VijimamboTGDC, TANESCO, WIZARA YA NISHATI NA MADINI WAPIGWA MSASA KUHUSU MIFUMO MBALIMBALI YA BIASHARA KWA SOKO LA JOTOARDHI NCHINI.
9 years ago
MichuziMkoa wa Kigoma kunufaika na Umeme wa nishati ya jua wa MW 5
10 years ago
MichuziNHIF LINDI WATOA ELIMU KATA KWA KATA KWA WANACHAMA WAKE,SANJARI NA UPIMAJI WA AFYA BURE KWA WANANCHI WILAYANI RUANGWA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania