KAMPUNI YA UENDELEZAJI JOTOARDHI HAPA NCHINI YATOA ELIMU YA NISHATI YA JOTOARDHI KWA WAKAZI WA KISAKI, MOROGORO VIJIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnByrYMir-U/ViDaGE7x67I/AAAAAAAIAUQ/AykBTLxRxqY/s72-c/Pic%2B1.jpg)
Mkurugenzi wa Mipango na Maendeleo ya Biashara, Mhandisi Kato Kabaka (aliyesimama), kutoka Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania akitoa elimu kwa wananchi wa kata ya Kisaki wilaya ya Morogoro Vijijini namna ya kutafiti nishati ya Jotoardhi hadi hatua ya kuzalisha umeme na jinsi itakavyoweza kubadili maisha ya wananchi wa kata hiyo.
Wananchi wa kata ya Kisaki, Morogoro Vijijini wakimsikiliza kwa makini Bi. Eva Nyantori, Afisa Sayansi ya Jamii kutoka Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
Wananchi kata ya Kisaki kunufaika na nishati ya Jotoardhi
Mkurugenzi Mhandisi Kato Kabaka wa Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania.
Na Lilian Lundo – Maelezo
Wananchi kata ya Kisaki, wilaya ya Morogoro Vijijini kunufaika na nishati ya jotoardhi inayotokana na chanzo cha maji ya moto yaliyoko katika kata hiyo.
Akiongea na kamati ya maendeleo ya kata ya Kisaki leo, Mkurugenzi Mhandisi Kato Kabaka wa Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania aliiambia kamati hiyo kuwa, Kisaki ni mojawapo ya Kata ambazo zitanufaika na nishati ya umeme...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nKBQ2cJ2tx0/VmKmBpg2z4I/AAAAAAAIKTM/fi3OetyR-wQ/s72-c/73d8cb1a-7ff5-48f2-b341-ab43cfe9eb8d.jpg)
TGDC NA KAMPUNI YA TOSHIBA WATILIANA SAINI MKATABA WA MAELEWANO (MOU) WA UTAFUTAJI WA NISHATI YA JOTOARDHI
9 years ago
VijimamboTGDC, TANESCO, WIZARA YA NISHATI NA MADINI WAPIGWA MSASA KUHUSU MIFUMO MBALIMBALI YA BIASHARA KWA SOKO LA JOTOARDHI NCHINI.
9 years ago
Dewji Blog03 Sep
Shirika la Eager latoa elimu kuhusu mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi
Naibu Kiongozi wa Timu ya Shirika linanoshughulikia masuala ya Jotoardhi Afrika Mashariki (EAGER) Bw. John Heath akiwaelimisha wadau mbalimbali wa Kampuni inashughulikia Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madini pamoja na wadau wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi. Warsha inayofanyika tarehe 2-4 Septemba, 2015 jijini Dar es Salaam.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji wa Nishati ya...
10 years ago
VijimamboNISHATI YA JOTOARDHI KUNUFAISHA BAADHI YA VIJIJI MKOANI MBEYA
Nishati ya Jotoardhi imeelezwa kuwa muhimu kwa maeneo ambayo utafiti ulishafanywa hapo awali kwani ina faida lukuki kwa maendeleo ya nchi hususani katika kutatua changamoto ya ukosefu wa nishati ya umeme ikiwemo umeme wa mgao ambao unazikumba baadhi ya mikoa hapa nchini.
Akiongea wakati wa Kampeni endelevu kuhusu jotoardhi 6 Agosti, 2015 katika Kata za Ilomba vijiji vya Ituha na Tonya pamoja na Kata ya Nanyala iliyopo Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, Meneja...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HSIa1i3u8nY/ViIG8UP_F-I/AAAAAAAIAgw/GEKAFL79lEA/s72-c/Pic%2B1.jpg)
NISHATI YA JOTOARDHI KUIPANDISHA HADHI HIFADHI YA WANYAMAPORI SELOUS
![](http://3.bp.blogspot.com/-HSIa1i3u8nY/ViIG8UP_F-I/AAAAAAAIAgw/GEKAFL79lEA/s640/Pic%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_NoqL2tNkOo/ViIG8We_79I/AAAAAAAIAg4/qM60ru3XUa8/s640/Pic%2B2.jpg)
9 years ago
MichuziEAGER WAKAA KUJADILI JINSI YA UNDELEZAJI WA NISHATI YA JOTOARDHI
10 years ago
Dewji Blog09 Aug
Jotoardhi kupunguza tatizo la umeme nchini
![PICHA 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/PICHA-2.jpg)
![PICHA 3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/PICHA-3.jpg)
![PICHA 4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/PICHA-4.jpg)
10 years ago
VijimamboKATA YA MWASANGA NA TEMBELA MKOANI MBEYA ZAPATIWA ELIMU KUHUSU JOTOARDHI
Afisa Mawasiliano wa Kampuni ya Kuendeleza Jotoardhi Tanzania (TGDC) Bi. Johari Kachwamba akiwaelimisha Viongozi wa Kata ya Mwasanga na Tembela kuhusu majukumu ya TGDC leo 7 Agosti, 2015 Mkoani Mbeya.