Jotoardhi kupunguza tatizo la umeme nchini
![PICHA 2](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/PICHA-2.jpg)
![PICHA 3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/PICHA-3.jpg)
![PICHA 4](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/PICHA-4.jpg)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-BeNkWxIhh6M/VccITpxHrRI/AAAAAAAHvac/0qpJSVtf0Ig/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
WATAALAMU - JOTOARDHI KUPUNGUZA TATIZO LA UMEME NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-BeNkWxIhh6M/VccITpxHrRI/AAAAAAAHvac/0qpJSVtf0Ig/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WsF8yZ7N54c/VccITbpPXxI/AAAAAAAHvaY/IwIMhzCE-Wc/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QA_uPbiGfE4/VccITivNFCI/AAAAAAAHvag/HSRE3wLWGQk/s640/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BeNkWxIhh6M/VccITpxHrRI/AAAAAAAHvac/0qpJSVtf0Ig/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
JOTOARDHI KUPUNGUZA TATIZO LA UMEME NCHINI - WATAALAMU
Na Benedict Liwenga, Maelezo-MbeyaKutokana na ongezeko la mahitaji ya nishati ya umeme nchini, nishati ya jotoardhi imetajwa kuwa ni muhimu kwa kuwa itaisaidia Tanzania kuondokana na tatizo la umeme usiokuwa na uhakika pamoja na kupunguza gharama kubwa zitokanazo na matumizi ya mitambo ya uzalishaji umeme yenye kutumia mafuta. Kauli hiyo imetolewa 8 Agosti, 2015 na Mjiolojia Mkuu toka Wizara ya Nishati na Madini, Bwana. Jacob Mayalla wakati wa Kampeni endelevu ya kuelimisha umma kuhusu...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nnByrYMir-U/ViDaGE7x67I/AAAAAAAIAUQ/AykBTLxRxqY/s72-c/Pic%2B1.jpg)
KAMPUNI YA UENDELEZAJI JOTOARDHI HAPA NCHINI YATOA ELIMU YA NISHATI YA JOTOARDHI KWA WAKAZI WA KISAKI, MOROGORO VIJIJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnByrYMir-U/ViDaGE7x67I/AAAAAAAIAUQ/AykBTLxRxqY/s640/Pic%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YCCkQ4TDzms/ViDaF4-g9_I/AAAAAAAIAUM/gnjjvvM0Mj4/s640/Pic%2B2.jpg)
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Tatizo la umeme nchini lawa kizungumkuti
Uwezo wa kuzalisha umeme kwenye vituo vya Nyumba ya Mungu, Hale na New Pangani Falls nchini umeshuka kutoka asilimia 100 hadi kufikia 15 kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo ya baadhi ya wananchi kuchepusha mkondo wa maji wa Mto Pangani ambao ni tegemeo kubwa kwa uzalishaji wa vituo hivyo.
9 years ago
MichuziTGDC NA MKAKATI WA UZALISHAJI WA UMEME KUPITIA JOTOARDHI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aNcalT9xN5w/Voobc6j-2YI/AAAAAAAIQIE/IwHjoAYGM2A/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
WIZARA TATU ZASHAURIWA KUSHIRIKIANA KUMALIZA TATIZO LA KUKAUKA NA KUPUNGU KWA MAJI MABWAWA YA KUZALISHA UMEME NCHINI
Picha za mitambo ya kuzalisha umeme na wadau wa maji waliotembelea maeneo ya mito na kugundua baadhi ya njia za asili za mito inayomwaga maji yake kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme imezibwa. kitendo hicho kinadaiwa kuathiri utiririshaji wa maji katika mabwawa ya kuzalisha umeme.
pia wadau hao wameshauri taasisi zote ikiwemo wizara ya nishati na madini,wizara ya kilimo , mifugo na uvuvi, wizara ya maji na umwagiliaji pamoja na bonde la mto Rufiji zinazotumia rasilimali maji katika...
pia wadau hao wameshauri taasisi zote ikiwemo wizara ya nishati na madini,wizara ya kilimo , mifugo na uvuvi, wizara ya maji na umwagiliaji pamoja na bonde la mto Rufiji zinazotumia rasilimali maji katika...
9 years ago
Vijimambo16 Sep
Mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi yawashwa., Inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tanesco-16Sept2015.png)
Aidha, kazi ya kuwasha mashine 10 za mtambo wa Ubungo I imekamilika na inategemewa tatizo la kukatika umeme litafikia tamati kuanzia leo.
Akizungumza na Nipashe jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Uhusiano wa Tanesco, Adrian Severin, alisema kazi ya kuwasha mitambo hiyo inahitaji umakini mkubwa kutokana na mfumo unaotumika...
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Hakuna mkakati thabiti wa kupunguza tatizo la Machinga
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi, juzi alitoa siku mbili kwa wafanyabiashara ndogondogo, wanaojulikana zaidi kwa jina la Machinga, kubomoa mabanda yao eneo la Jangwani, Dar es Salaam kwa maelezo kuwa ofisi yake haijatenga sehemu hiyo kwa ajili ya biashara.
9 years ago
Mwananchi06 Dec
SHERIA NGOWI : Nitaisaidia Serikali kupunguza tatizo la ajira
Ni nembo iliyojizolea umaarufu mkubwa duniani. Imewahi kuvaliwa na watu maarufu wakiwamo Rais Jakaya Kikwete pamoja na rais Edgar Lungu wa Zambia, si ajabu kusikia nembo hii ikivalisha mawaziri na hata Rais mpya wa nchi hii.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania