Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHERIA NGOWI : Nitaisaidia Serikali kupunguza tatizo la ajira

Ni nembo iliyojizolea umaarufu mkubwa duniani. Imewahi kuvaliwa na watu maarufu wakiwamo Rais Jakaya Kikwete pamoja na rais Edgar Lungu wa Zambia, si ajabu kusikia nembo hii ikivalisha mawaziri na hata Rais mpya wa nchi hii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

GODTEC yasaidia kupunguza tatizo la ajira kwa Vijana

Meneja wa POSO Kanda ya Ziwa Bw. Emmanuel Kisamba (kushoto) akitoamaelezo kwa mwananchi aliyetembelea banda la Kampuni ya GODTEC katika viwanja vya Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora ambapo Maonyesho ya Wiki ya Vijana Kitaifa yanayofanyika mkoani humo kuelekea Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru na Kumbukumbu ya Miaka 15 ya Kifo cha Baba wa Taifa Hayati Mwl. Julius Nyerere. Afisa Mtendaji Mkuu wa PAFRI Bw. Boniphace Alex akitoa maelezo namna ya jiko lilotengenezwa na Kampuni yake...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AHIDI KUFUFUA VIWANDA MKOANI TANGA KUPUNGUZA TATIZO LA AJIRA KWA VIJANA

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli akifafanua jambo mbele ya maelfu ya wakazi wa jiji la Tanga waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni,uliofanyika katika viwanja vya Tangamano jioni ya leo mjini Tanga. 
  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Tanga kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya angamano,jioni ya leo ambapo aliahidi kuboresha Bandari ya...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yaweka Mkakati kupunguza changamoto ya ajira kwa Vijana

 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Fatma Mwassa akizungumza na wananchi jana wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya Vijana yanayofanyika katika viwanja vya Ali Hassan Mwinyi Mkoani Tabora.  Katibu Mkuu wa Wizaraya Habari.Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akisalimia wananchi jana wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya Vijana yanayofanyika katika viwanja vya Ali Hassan Mwinyi Mkoani Tabora. Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora Kudra Mwinyimvua akisalimia wananchi jana wakati wa...

 

9 years ago

Bongo5

Sheria Ngowi afiwa na mama yake mzazi

Mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria Ngowi amefiwa na mama yake mzazi. “It is with deep sadness that I announce the passing of my beloved mother, Mary Thomas Ngowi,” ameandika Sheria. “She was an incredible soul who made countless sacrifices so that I could become the man – and now Sheria Ngowi– I am today,” […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Sheria Ngowi awataka wanamitindo wanaochipukia nchini kujitambua

ndo sheria

Sheria Ngowi pembeni yake ni Aj Mynah ambae ni Mkurugenzi wa Black Fox Model Afrika na anaefuata ni Ednda Ndebalema wa Ndibs Makeup wakizungumza na wanamitindo hao katika mafunzo yaliyoandaliwa na Black Fox katika klabu ya Paparaz iliyopo Sleep Way Masaki.

IMG_6577

Sheria Ngowi akiwafunda somo wanamitindo.

IMG_6596

IMG_6560

Wakapata nafasi ya kupiga nae picha.

IMG_6550

Wakiwa kwenye picha ya pamoja.

Na Evance Ng’ingo

WANAMITINDO wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua pamoja na kuwa na mikakati ya kujitangaza zaidi ili...

 

10 years ago

Michuzi

Wanamitindo wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua - Sheria Ngowi



Na Evance Ng'ingoWANAMITINDO wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua pamoja na kuwa na mikakati ya kujitangaza zaidi ili kupata soko la ndani na nje ya nchi.
Wito huo ulitolewa jana na Mwanamitindo mahiri wa mavazi nchini Sheria Ngowi wakati akizungumza na Wanamitindo kutoka kampuni ya Black Fox Model Africa.
Ngowi pamoja na mtaalamu wa urembaji Edna Ndibarema wa kampuni ya Ndiba Style walialikwa na Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, ya Black Fox Model Africa, Aj Mynah kuzungumzia fursa zilizopo...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNIFU WA MAVAZI SHERIA NGOWI AKUTANA NA WAZIRI MKUU PINDA

1
WaziriMkuu, MizengoPinda akisalimiana na Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi alipotembelewa jana nyumbani kwake Masaki jijini Dar esSalaam. (Picha Zote: AtuzaNkurlu-SheriaNgowi Brand).2Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi akimuonesha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baadhi ya vitambaa vya kisasa vya suti ambavyo vitatuka Kumtengenezea Waziri Mkuu jana jijini Dar es Salaam.3Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiangalia na kuchagua aina ya vitambaa vya suti amabvyo vitatumika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Sheria Ngowi Brand Proudly official designer of Diamond @MTV MAMA

sheria

Diamond

Diamond Platinumz and Wema Sepetu.

Being nominated in an internationally recognized award worldwide, is a sign of hardworking and thirst to achieve more.

You are really flying or Tanzanian flag globally and yet paved the way for international attention indeed.

Congratulations Diamond Platinumz, you have set a Benchmark. Keep up the good work.

Deogracious  Kessy- Head of Marketing

#Sheria Ngowi Brand#

 

9 years ago

Dewji Blog

Vote Sheria Ngowi for best East African fashion designer of the year @ASFA2015

IMG-20151104-WA0027

To cast your vote click this link www.abryanzstyleandfashionawards.com/vote

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani