Wanamitindo wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua - Sheria Ngowi
![](http://3.bp.blogspot.com/-_AFdTVSBWG8/VWwvcq0xFGI/AAAAAAAALoE/wS6P1uROuao/s72-c/IMG_6596.jpeg)
Na Evance Ng'ingoWANAMITINDO wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua pamoja na kuwa na mikakati ya kujitangaza zaidi ili kupata soko la ndani na nje ya nchi.
Wito huo ulitolewa jana na Mwanamitindo mahiri wa mavazi nchini Sheria Ngowi wakati akizungumza na Wanamitindo kutoka kampuni ya Black Fox Model Africa.
Ngowi pamoja na mtaalamu wa urembaji Edna Ndibarema wa kampuni ya Ndiba Style walialikwa na Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, ya Black Fox Model Africa, Aj Mynah kuzungumzia fursa zilizopo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Sheria Ngowi awataka wanamitindo wanaochipukia nchini kujitambua
Sheria Ngowi pembeni yake ni Aj Mynah ambae ni Mkurugenzi wa Black Fox Model Afrika na anaefuata ni Ednda Ndebalema wa Ndibs Makeup wakizungumza na wanamitindo hao katika mafunzo yaliyoandaliwa na Black Fox katika klabu ya Paparaz iliyopo Sleep Way Masaki.
Sheria Ngowi akiwafunda somo wanamitindo.
Wakapata nafasi ya kupiga nae picha.
Wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Na Evance Ng’ingo
WANAMITINDO wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua pamoja na kuwa na mikakati ya kujitangaza zaidi ili...
10 years ago
Michuzi03 Nov
SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI
![Mercedes-Benz-Fashion-Week-2014-Sheria-Ngwoi-Bellanaija-October2014016](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Mercedes-Benz-Fashion-Week-2014-Sheria-Ngwoi-Bellanaija-October2014016.jpg)
Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita 'PRIDE' yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru Afrika.
Afrika Kusini...
10 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mbunifu Sheria Ngowi afunika katika maonyesho ya mavazi ya ‘Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014′ nchini Afrika Kusini
Na Mwandishi wetu
Mbunifu wa kimataifa wa mavazi kutoka Tanzania, Sheria Ngowi amedhihirisha kuwa yeye ni nguli katika ubunifu baada ya kufinika katika onyesho la mavazi la kimataifa lijulikanalo kama Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014 lililofanyika juzi Ijumaa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita ‘PRIDE’ yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru...
10 years ago
Vijimambo03 Nov
MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Mercedes-Benz-Fashion-Week-2014-Sheria-Ngwoi-Bellanaija-October2014015.jpg?width=600)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4eVnJc0AsFU/VOdRLJ__QHI/AAAAAAAHEyo/WAWCTlW1_04/s72-c/DSC_0891.jpg)
MWANAMITINDO TAUSI LIKOKOLA AWASILI NCHINI,AWAPA CHANGAMOTO WANAMITINDO NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4eVnJc0AsFU/VOdRLJ__QHI/AAAAAAAHEyo/WAWCTlW1_04/s1600/DSC_0891.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tjNWY0bPwW8/VOdRK72AvtI/AAAAAAAHEys/Gf6cHCIYl4I/s1600/DSC_1094.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jE687D6VxOE/VOdRLAG2rjI/AAAAAAAHEyk/nSDj3cEBBZs/s1600/DSC_1152.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcrl-ZLvP-WuxQvZar0eDNxka-b3FtDNn-BvCiBh3zxVL1JncQZQmBY7X*Z4VYGT6Y7ymGab*EQYghxjnhDT46Tt/ttauswahili.jpg?width=650)
VODACOM KUWAUNGA MKONO WANAMITINDO NCHINI
9 years ago
Bongo505 Oct
Sheria Ngowi afiwa na mama yake mzazi
9 years ago
Mwananchi06 Dec
SHERIA NGOWI : Nitaisaidia Serikali kupunguza tatizo la ajira