Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMITINDO TAUSI LIKOKOLA AWASILI NCHINI,AWAPA CHANGAMOTO WANAMITINDO NCHINI

 Mwanamitindo,Tausi Likokola akiwasili leo wa uwanja wa Ndege Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akitoke nchini Marekani kwa ziara ya siku 10 kushoto ni mama mdogo,Beatrice Likokola Mwanamitindo,Tausi Likokola akizungumza na waandishi habari (hawapo pichani) mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere leo Jijini Dar es Salaam.Mwanamitindo Tausi Likokola akishiriki kucheza ngoma ya asili ya kundi la wanne Star mara baada ya kuwasili wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mwanamitindo Tausi Likokola azuru nchini, kuzindua manukato yake

DSC_0322

Mwanamitindo wa kimataifa Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Tausi Likokola akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere na kulakiwa na mama yake mdogo, Beatrice Likokola.(Picha zote na Zainul Mzige)

Na Andrew Chale wa modewji blog

MLIMBWENDE wa kitanzania anayefanya shughuli zake nchini Marekani, Tausi Likokola amewasili nchini mchana huu kwa lengo la kuzindua miradi yake anayoiendesha ambayo mingine ni kwa ajili ya kusaidia jamii ya...

 

10 years ago

GPL

MWANAMITINDO WA KIMATAIFA TAUSI LIKOKOLA ATEMBELEA GLOBAL TV

Mwanamitindo wa kimataifa Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Tausi Likokola akijiweka sawa kufanya mahojiano kupitia Global TV Online leo. ...Akifafanua jambo wakati wa mahojiano.…

 

9 years ago

Mtanzania

Tausi Likokola azindua vazi la amani

TAUS LIKOKOLANA CHRISTOPHER MSEKENA

ONYESHO la mavazi ‘Fashion for Peace’ limezindua vazi maalumu kwa ajili ya kuhamasisha amani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 25.

Onyesho hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa King Solomon, Dar es Salaam liliwajumuisha wabunifu, Mustafa Hassanali, Martin Kadinda na Kiki Zimba.

Onyesho hilo lilifunguliwa na mwanamitindo wa Tanzania anayefanya kazi zake barani Ulaya, Tausi Likokola, aliyevalia vazi la mbunifu Kiki Zimba kwa kuzingatia umuhimu wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Tausi Likokola achangisha milioni 14 kusaidia albino

Taus LikokoNa Mwandishi Wetu
BAADHI ya fedha zilizokusanywa usiku wa Tausi uliofanyika katika Hoteli ya Coral Beach Masaki jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, zimeelekezwa kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), kikundi cha Wamata na Kiwawede cha Mburahati ambacho kinatunza watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
Usiku huo ulihudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo mwandishi mashuhuri, Jenerali Ulimwengu, mwanamitindo Mustafa Hasanali, aliyekuwa Miss Tanzania, Sitti Mtemvu na wengine...

 

10 years ago

GPL

TAUSI LIKOKOLA FUND RAISING DINNER‏

Tausi Likokola was the first high fashion model to cross over international modeling industry on the 90's with credits from fashion houses such as Gucci, Christian Dior, Issey Miyake, Tommy Hilfger, Escada etc. Tausi also covered numerous fashion magazines and inspired many current models like Millen Magese, Flaviana Matata, Herieth Paul and others around the globe. Tausi used her name to help her own people in Tanzania in...

 

10 years ago

Mtanzania

Tausi: Nitaibua, kukuza vipaji vya wanamitindo

TausiNA SALMA MPELI, DAR ES SALAAM
MWANAMITINDO wa Tanzania ambaye anafanya shughuli zake nchini Marekani, Tausi Likokola, amepania kuibua na kukuza vipaji vya wanamitindo wachanga.
Akizungumza katika Ofisi za New Habari (2006) LTD hivi karibuni, Tausi alisema kwa kuona umuhimu wa kuibua vipaji vya wanamitindo ameamua kufungua studio yake binafsi ambayo itakuwa ikitoa mafunzo mbalimbali ya urembo.
“Tanzania tuna vipaji vingi tatizo hakuna watu wa kuviangalia na kusimamia, ndiyo maana nimeamua...

 

11 years ago

GPL

VODACOM KUWAUNGA MKONO WANAMITINDO NCHINI

Mkuu wa Idara ya Mahusiano ya Umma na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Joseline Kamuhanda,(kushoto)akikabidhi Tuzo ya Programu bora ya fasheni ya mwaka kwa waongoza kipindi cha “NIVARNA”kinachorushwa na EASTV Dar es Salaam, Zikiwa zimepita siku kadhaa baada ya kumalizika kwa mafanikio maonesho ya mitindo ya Swahili Fashion week, mdhamini wa maonesho hayo kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imeahidi kuendelea...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sheria Ngowi awataka wanamitindo wanaochipukia nchini kujitambua

ndo sheria

Sheria Ngowi pembeni yake ni Aj Mynah ambae ni Mkurugenzi wa Black Fox Model Afrika na anaefuata ni Ednda Ndebalema wa Ndibs Makeup wakizungumza na wanamitindo hao katika mafunzo yaliyoandaliwa na Black Fox katika klabu ya Paparaz iliyopo Sleep Way Masaki.

IMG_6577

Sheria Ngowi akiwafunda somo wanamitindo.

IMG_6596

IMG_6560

Wakapata nafasi ya kupiga nae picha.

IMG_6550

Wakiwa kwenye picha ya pamoja.

Na Evance Ng’ingo

WANAMITINDO wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua pamoja na kuwa na mikakati ya kujitangaza zaidi ili...

 

10 years ago

Michuzi

Wanamitindo wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua - Sheria Ngowi



Na Evance Ng'ingoWANAMITINDO wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua pamoja na kuwa na mikakati ya kujitangaza zaidi ili kupata soko la ndani na nje ya nchi.
Wito huo ulitolewa jana na Mwanamitindo mahiri wa mavazi nchini Sheria Ngowi wakati akizungumza na Wanamitindo kutoka kampuni ya Black Fox Model Africa.
Ngowi pamoja na mtaalamu wa urembaji Edna Ndibarema wa kampuni ya Ndiba Style walialikwa na Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, ya Black Fox Model Africa, Aj Mynah kuzungumzia fursa zilizopo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani